Kwanini ukimtongoza Mwanamke ndani ya Ndege anakukubalia kiurahisi mno kuliko ukimtongoza katika basi?

Hujanielewa nilichokimaanisha hapo na bahati nzuri Mlengwa kanielewa na kanijibu vyema tu, hivyo nikuombe tu endelea kubakia na Ujuha wako.
Dah
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema uzuri tu ni kwamba ID yake huwa haina Michango mingi ya Kumsema Mkemia wa Geita au hata Kukisoa popote Chama chake Cha Mapigano.
Mkuu kumbuka wewe ni kada kindakindaki wa chama kile aliko bashite, anyway mimi sijawahi pata wasaha wa kukaa karibu na pisi nzuri mpaka nirushe ndoano so sina experience yoyote juu ya hili.
 
Kipidi kile Air Uganda inakuja Tz ndiyo kidogo nilitaka kurusha ndoano japo nilisita.
 
aisee😂😂
 
Reactions: Pep
Tofauti ipo pale hata akikuomba nauli akasalimie kwao, anategemea umpe nauli ya ndege sio elfu 50 ya New Force [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thamani ya wapandao kule huwa juu na haina msaada wa nauli kwa asilimia kubwa.

Kwenye basi yawezekana umechangiwa na rafiki zako ili ukawahi msiba wa baba yako au mtu wako wa karibu ili uwahi mazishi nk.
Hahaa
 
UMALAYA HUO
WANWKE WA KUOKOTA, WAMESHAKULA WANGAPI KABLA YAKO HALAFU MUKIPATA UKIMWI ,MUMLAUMU MUNGU
Huyo hawezi kuwa mpenzi , ali wewe umekuwa msukule wake yeye, akipanda ndege akionana na mwengine shughuli ndo hiyo hiyo.
Mpaka mifuko yenu itakapo kauka ndio mtajifunza kuwa Tuylio owa tumepiga Mahesabu vizuri zaidi na faida tele tele.
 
Nyakyusa? Jipange
 
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…