Kwanini ukioa mwarabu/ mhindi inakuwa ngumu kwa wanafamilia wa upande wa waarabu/ wahindi kujenga undugu upande wa mme wa binti yao?

Kuna sababu practical na za kueleweka kabisa za kueleza utajiri wa asians na sio izo za kutunza familia. Kasome historia upya
Sasa km hizo sababu zinaeleweka kwanini usitufunze sisi waafrika na sisi tukawa km wao!
Mzee leo umepiga chibuku au ile namba 1
 
Mi nina demu wa kiarabu nataka nimwoe awe mke wa 3.
 
Hapa anaongelea wale waarabu safi. Sio hao wa ulyankulu au buseresere
Hao wengi tu..
Hata Hawa safi huwa uchumi ukiimarika hutoka Buseresere na kuishi Dar utasema sio wa Buseresere, we si unaona kina Rostam wazee wa Igunga ila vizazi vyao vimejikuta kuwa waarabu safi ila wazee wamepiga misele Igunga
 
Hata Hawa safi huwa uchumi ukiimarika hutoka Buseresere na kuishi Dar utasema sio wa Buseresere, we si unaona kina Rostam wazee wa Igunga ila vizazi vyao vimejikuta kuwa waarabu safi ila wazee wamepiga misele Igunga
Rostam sio mwarabu 🤣
Ni Mbulushi wa Igunga.
Hao asili yao Irani sio Uarabuni.
Hao ndio hawafai kabisa.
Akiwa na hela kidogo anakuwa bei juu kuliko almas.
Bora ukomae na hao hao wa Muheza na Igunga
 
Wewe umeowa au umeolewa kwa Waarabu?

Au ndiyo ya pilipili iko shamba inakuwasha wewe?
 
utamaduni tofauti
 
Sisi upendo wetu hauaminiki kabisa utampenda leo, unamchepuko mwingine , mara ndugu zako wamekushauri hivi, mara ndugu zako wamefungulia kizazi watoto wote karo kwa mjomba , na mjomba kwasababu ni jeuri anakazi mke hana sauti maamuzi niyake kwasababu ni mwanaume mke anabaki kutizama tu , sasa huo ujinga wao hawautaki bebaneni wenyewe kwa wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rostam sio mwarabu 🤣
Ni Mbulushi wa Igunga.
Hao asili yao Irani sio Uarabuni.
Hao ndio hawafai kabisa.
Akiwa na hela kidogo anakuwa bei juu kuliko almas.
Bora ukomae na hao hao wa Muheza na Igunga
Hivi hawa wabulushi ni tofauti na Warabu.
 
Sasa mtu mwenye kifafa si ugonjwa huo, zamani walikuwa wanachuza mgonjwa mengi kweli , hata familia zile zisizo lima pale kijijini hupati mke unaambia unaolewa kwa wasio shiba chakula walamba vidole wavivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hawa wabulushi ni tofauti na Warabu.
Ni kama wahindi na wachina.
Tofauti kubwa kabisa.
Wabulushi asili yao IRAN kutoka ktk jimbo la Baluchstan.
Hawaongei kiarabu wala hawali chakula cha kiarabu wala mavazi ya kiarabu.

Muha na mtusi wako karibu kuliko mwarabu na mbulushi.
 
Ni kama wahindi na wachina.
Tofauti kubwa kabisa.
Wabulushi asili yao IRAN kutoka ktk jimbo la Baluchstan.
Hawaongei kiarabu wala hawali chakula cha kiarabu wala mavazi ya kiarabu.

Muha na mtusi wako karibu kuliko mwarabu na mbulushi.
Okay, kule Mbarali wapo pia nikawa nahisi ni jina tu ila ni Warabu kumbe nilikuwa nyuma ya Dunia kidogo.
 
Ni kama wahindi na wachina.
Tofauti kubwa kabisa.
Wabulushi asili yao IRAN kutoka ktk jimbo la Baluchstan.
Hawaongei kiarabu wala hawali chakula cha kiarabu wala mavazi ya kiarabu.

Muha na mtusi wako karibu kuliko mwarabu na mbulushi.
Mbona waarab wa iraq wapo karibu mno na wa iran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…