Mungu alimuumba Mwanaume kwanza, mwanaume akatawala kila kitu kabla ya ujio wa Hawa.
Utawala wa maisha upo chini ya Uume, mwanaume/baba akiwa vizuri kiroho, anapokutamkia kitu mwanae au hata kwake yeye mwenyewe ni rahisi zaidi mambo kufunguka zaidi utawala wa kuamua chochote kile duniani kipo chini yake.
Utawala wa maisha upo chini ya Uume, mwanaume/baba akiwa vizuri kiroho, anapokutamkia kitu mwanae au hata kwake yeye mwenyewe ni rahisi zaidi mambo kufunguka zaidi utawala wa kuamua chochote kile duniani kipo chini yake.