Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Extra ni kwamba hutumii kukaza misuli ndotoni kujikakamua kupiga bao..in reality situation unavuta hisia kwa nguvu na unakaza Tako ili kukamilisha mshindo wako.tukiacha habari za majini mkuu what is extra
nalala mwenywe kitanda changu yeye analala na wanawe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Extra ni kwamba hutumii kukaza misuli ndotoni kujikakamua kupiga bao..in reality situation unavuta hisia kwa nguvu na unakaza Tako ili kukamilisha mshindo wako.
no nikitanda cha muda kwani ni mzazi so sikupenda usumbufu kwao nikajitenga
Hapo kuna mambo mawilihabari za muda huu wakuu?
naomba kuleweshwa kidogo, tukiacha habari za majini mahaba na wenziwe.
ni kwa nini mtu ukiota unafanya mapenzi na mwanamke kwenye ndoto raha yake huwa ni kubwa mara mbili mpaka tatu kuliko ya mwanamke wa halisia?
kilicho nitokea mimi jana usiku wa kuamkia leo sijwahi kukihisi kwa kipindi chote toka kuanza kwa mambo haya ya ngono, sijui yule mwanamke aliokea wapi lakini kwakweli ile shoo sijawai iishi kamwe , mtu unaunganishia aisee!
niweke sawa pia sio kwamba niko na ukame sana laa! lakini niko na mke pia.
ila pamoja na hisia lakini kwa nini mwanamke wa kwenye ndoto ni mtamu hivyo? ninikiko nyuma yake labda?
Hapo kuna mambo mawili
Moja huenda akawa jini(sheitwan) na si dalili njema kwani inaonesha kiasi gani upo mbali sana na Mola wako Mlezi
Pili yaweza kuwa tu ya kawaida hasa kama una tabia ya kulala kifudifudi na uume ukapata joyo ila sasa kwenye hili haitakiwi itokee unayefanya naye awe na umbile complete la mwanadamu
Sawa mkuuRudisha avatar pi ha ya Ngwea weweee
We ulikuwa unapiga nyeto tutukiacha habari za majini mkuu what is extra