GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu niwaombe mno Wazee mnaoendesha Magari / Mabasi hebu pangeni Siku muwe mnatoa Elimu kwa Vijana Ok?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi tayari?Halafu niwaombe mno Wazee mnaoendesha Magari / Mabasi hebu pangeni Siku muwe mnatoa Elimu kwa Vijana Ok?
Wa Mumeo.Uzi tayari?
Bima gani hyo mzeee?Kwanini ukienda kukatia bima gari yako premium rate ya bima kama ni kijana itakuwa kubwa tofauti na mtu mzima au mzee au mwanamke wakati aina ya gari ni ile ile? Ukisha pata jibu utakuwa umejibu swali lako.
Comprehensive nafahamu wewe unakata third partyBima gani hyo mzeee?
Mbona unatupiga kamba
Vijana wana wenge,wanakunywa visungura dabo kik,ugoro mixer mirungiHalafu niwaombe mno Wazee mnaoendesha Magari / Mabasi hebu pangeni Siku muwe mnatoa Elimu kwa Vijana Ok?
Wanasema ujana maji ya moto,Halafu niwaombe mno Wazee mnaoendesha Magari / Mabasi hebu pangeni Siku muwe mnatoa Elimu kwa Vijana Ok?
Mh 🤣🤣Kwanini ukienda kukatia bima gari yako premium rate ya bima kama ni kijana itakuwa kubwa tofauti na mtu mzima au mzee au mwanamke wakati aina ya gari ni ile ile? Ukisha pata jibu utakuwa umejibu swali lako.