rajiih
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 489
- 744
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.
Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.
Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.
Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.
Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.
Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.