Kwanini ukitoka polisi/jela ndugu wanakwambia uvue nguo zako ili zichomwe moto

Kwanini ukitoka polisi/jela ndugu wanakwambia uvue nguo zako ili zichomwe moto

rajiih

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2019
Posts
489
Reaction score
744
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.

Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.

Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.

Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
 
Me ilinitokea niliswekwa Sello kwa muda wa dk 10 nikatolewa basi nikachukulia poa zile nguo sikuchoma moto nikawa naendelea kuzivaa!!!! Baba yaliyokuja kunikuta sitasahau inshort niliswekwa Sello kwa msala mwingine kimasihara
 
Mzee acha mchezo sio Masihara maana nilitaka kugoma lakini biti nililopigwa mbona nilienda mwenyewe chooni
Me ilinitokea niliswekwa Sello kwa muda dk 10 nikatolewa basi nikachukulia poa zile nguo sikuchoma moto nikawa naendelea kuzivaa!!!! Baba yaliyokuja kunikuta sitasahau inshort niliswekwa Sello kwa msala mwingine kimasihara
tag
 
Me naona hilo swala liko more spiritual zaidi.

Kwanini usingewauliza waliokuzuia tena kwa kukupiga biti kabisa, maana inaonekana wao ndio wenye kuelewa zaidi 😎
 
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.

Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.

Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.

Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
Wanajua ulibakwa nayo. Unataka uingie Na uchafu wako ndani?! 😡😡😡.
 
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.

Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.

Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.

Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
hata ukitoka msibani unatakiwa ukoge na nguo utoe zifuliwe,au kama mama anayonyesha akitoka msibani aoge kwanza na kubadili nguo husika ndo mtoto anyonye
visingo mother vina kiburi vitakosoa hili
 
Kuna jamaa yangu juzi nimemtoa selo namfikisha kwake Kuna mama jirani mtu mzima akamletea magadi akamsihi sana aogee, hata mi nilibaki nashangaa
Haha mpka magadi huli jambo liko serious sana kumbe
 
Back
Top Bottom