Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika inanifanya kuleta Threads mpya ya kuangazia juu ya masuala ya hizi lockup ndogo mpaka Magereza
Unakua utayaona mengi OdoHii mpya kwangu!
Iman tuHabari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.
Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.
Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.
Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
Hiyo iman ipo sanaHii mpya kwangu!
sawa mkubwaHiyo iman ipo sana
Kuvua nguo na kuzichoma
Kunyoa nywele
HahahahahaUnakua utayaona mengi Odo
Ananiona katoto ka afu 2 kumbe kazee😅Hahahahaha
Hahahahaha..inabidi umuoneshe wewe ni mkongweAnaniona katoto ka afu 2 kumbe kazee😅
Hii ya kupita njia yenye mapori au kama ulikua una shughuli maporini niliwahi kusikia kwa mzee wa jirani yetu na yeye alisema ukitoka au kupita hizo sehemu lazima uoge na nguo zikafuliwe ndo uje ujumuike na wengine hasa watoto na alisema hutakiwi kuingia chooni au kuoga bafu lenye choo ndani,, ukishaoga na kubadili nguo ndo unaweza kuingia chooniMim
Mimi nilifunzwa hata ukitoka msibani hasa kufanya mazishi,kabla hauja beba ama kuwashika watoto wako anzia bafuni kaoge na ubadili nguo zifuliwe kivyake.
Hata sisi wenye safari ambazo njia hupita porini,ukifika nyumbani ni mhimu uoge na ubadili nguo ndipo ukaonane na watoto na hasa wale wadogo.
Sasa hawa mabinti wa Kichina ambao muda woote ni vikao vya vikoba mara sinema zao atachangamka kukuwekea maji ya kuoga kwa wakati?
Basi sisi watata unachelewa kuingia nyumbani kidogo ili kama ulipitia maporini na mkeo ni mtu wa vicoba basi ukute watoto wamelala tayari.
Hivi bado wanapima kwa Ndonya?? Wapi huko?? Bila shaka upo kusini mwa nchi.Nimenunua Mchele ndonya Moja Leo, nipike punje ngapi
Hii ni kwa7bu huenda huko porini tupitako kukawa kumetupwa mizoga au mwili wa binadamu aliyeuawa ama kajiua na pengine hata bila kuiona.Hii ya kupita njia yenye mapori au kama ulikua una shughuli maporini niliwahi kusikia kwa mzee wa jirani yetu na yeye alisema ukitoka au kupita hizo sehemu lazima uoge na nguo zikafuliwe ndo uje ujumuike na wengine hasa watoto na alisema hutakiwi kuingia chooni au kuoga bafu lenye choo ndani,, ukishaoga na kubadili nguo ndo unaweza kuingia chooni
Je ulichoma Saa na Wallet.....?Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.
Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.
Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.
Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.