Kwanini ukitoka polisi/jela ndugu wanakwambia uvue nguo zako ili zichomwe moto

Kwanini ukitoka polisi/jela ndugu wanakwambia uvue nguo zako ili zichomwe moto

Oy rajiih sema pale sero ya msimbazi center siku hz kile kidirisha wameziba zamani ilikua unaita mtu Kwa pale akigeuka unamtajia no za simu ili usaidike
 
Nadhani mambo ya Imani zaidi .

Kwetu Bukoba huwa wanaoga dawa ukitoka nyuma ya nondo hauwezi kuingia ndani bila kuoga dawa.

Kuhusu kuchoma nguo hwazichomi Ila hauwezi kuingia ndani bila kuoga dawa.

Kuna dawa za kihaya unaoga ili uondoe mikosi.
Naomba kukuuliza swali lililo nje ya mada, cactus (dungusikakati) / Pricky pea ( opuntia) ni dawa ya nini? inachanganywa na nini ili itumike?
 
Kwahiyo hata yule mtoto wa waziri aliyegonga magari ya watu na kuwaita wesenge alipaswa nae achome nguo? Au yule ahesabiki kwakuwa alikaa viaipii?
 
Sio nguo tu kuchoma, watu tuliwekewa maji yana muosha fedha tuogee. Unaweza dharau hizi mambo ila puuzia uone kama Police hapajawa nyumbani kwako.
 
Yani ni hivii unatakiwa ukitoka tu unaenda kwa barba shop unanyoa then unaenda choo cha uma au gest unakoga vizuriii unanunua nguo mpya zile unazipiga kiberiti ndo urudi home
 
Back
Top Bottom