Kwanini ukitoka polisi/jela ndugu wanakwambia uvue nguo zako ili zichomwe moto

Kwanini ukitoka polisi/jela ndugu wanakwambia uvue nguo zako ili zichomwe moto

Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.

Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.

Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.

Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
Huwa wanahisi zinakuwa na mikosi usije ukarudi tena jela Kwa makosa yaleyale ambayo umeyatumikia 😀😄
 
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.

Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.

Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.

Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
Siyo tu zichomwe.
Yaani kabla hajakanyaga maeneo ya nyumbani ni lazima uoge na ubadili hizo nguo.
Zipigwe moto ndipo uelekee nyumbani ukasalimiane na nduguzo.
 
Wengi wanadai kuingia selo ni mikosi sijui pengine mikosi inaweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine nazungumzia mamikosi ya watu unaokutana nao mle selo,ila kiuhalisi mle kuna majitu yenye laana na mikosi,kuna miuaji,mibakaji,na mijitu mingine ya hovyo hovyo
 
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.

Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.

Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.

Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
Mimi niliwai kukutana na kachero mmoja tukapishana KAULI Nika mchana aache uaskari wa kijima ule wa feudal mode of production 😊😊😊

Akanikamata kimabavu akanipiga pingu na kunisukuma nikamwelekeza P.G.O 😊😊 yule Askari alijutiaga vile vitendo tukaja suluhishwa na kushikana mikono kwa amani
Nikasikia maaskar wakiambizana Hawa vijana wa dar es salama sio wa kuendea kichwa kichwa😅😅

Mimi sikufuata huo muongozo Mbona na sijawai kurudi Tena kituoni kwa kosa lolote na sikuchoma nguo zangu (hiyo Ni mythology)
 
Mim
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini.

Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi.

Baada ya kusolve na kutolewa tulielekea moja kwa moja mpka home lakini ajabu baada ya kufika home.

Mzee na B mkubwa walinizuia kuingia ndani na zile nguo wakidai inatakiwa niende nikazitolee chooni kisha baada ya hapo zikachomwe moto Wazee nilistaajabu sana anyway wanaojua zaidi waje watujuze.
Mimi nilifunzwa hata ukitoka msibani hasa kufanya mazishi,kabla hauja beba ama kuwashika watoto wako anzia bafuni kaoge na ubadili nguo zifuliwe kivyake.

Hata sisi wenye safari ambazo njia hupita porini,ukifika nyumbani ni mhimu uoge na ubadili nguo ndipo ukaonane na watoto na hasa wale wadogo.

Sasa hawa mabinti wa Kichina ambao muda woote ni vikao vya vikoba mara sinema zao atachangamka kukuwekea maji ya kuoga kwa wakati?

Basi sisi watata unachelewa kuingia nyumbani kidogo ili kama ulipitia maporini na mkeo ni mtu wa vicoba basi ukute watoto wamelala tayari.
 
Mim

Mimi nilifunzwa hata ukitoka msibani hasa kufanya mazishi,kabla hauja beba ama kuwashika watoto wako anzia bafuni kaoge na ubadili nguo zifuliwe kivyake.

Hata sisi wenye safari ambazo njia hupita porini,ukifika nyumbani ni mhimu uoge na ubadili nguo ndipo ukaonane na watoto na hasa wale wadogo.

Sasa hawa mabinti wa Kichina ambao muda woote ni vikao vya vikoba mara sinema zao atachangamka kukuwekea maji ya kuoga kwa wakati?

Basi sisi watata unachelewa kuingia nyumbani kidogo ili kama ulipitia maporini na mkeo ni mtu wa vicoba basi ukute watoto wamelala tayari.
Good vijana wengi kazi ubishi tu na kujikuta wajuaji huku tukiwa hatujui kitu
 
Mimi niliwai kukutana na kachero mmoja tukapishana KAULI Nika mchana aache uaskari wa kijima ule wa feudal mode of production 😊😊😊

Akanikamata kimabavu akanipiga pingu na kunisukuma nikamwelekeza P.G.O 😊😊 yule Askari alijutiaga vile vitendo tukaja suluhishwa na kushikana mikono kwa amani
Nikasikia maaskar wakiambizana Hawa vijana wa dar es salama sio wa kuendea kichwa kichwa😅😅

Mimi sikufuata huo muongozo Mbona na sijawai kurudi Tena kituoni kwa kosa lolote na sikuchoma nguo zangu (hiyo Ni mythology)
KAZI NYINGINE HII
 
Afisa ulivyopita pita hapa kama sijakuelewa vizuri
Wengi wanadai kuingia selo ni mikosi sijui pengine mikosi inaweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine nazungumzia mamikosi ya watu unaokutana nao mle selo,ila kiuhalisi mle kuna majitu yenye laana na mikosi,kuna miuaji,mibakaji,na mijitu mingine ya hovyo hovyo
 
Back
Top Bottom