Kwanini ukitoka unavaa vizuri lakini ukiwepo nyumbani unavaa matambara?

Kwanini ukitoka unavaa vizuri lakini ukiwepo nyumbani unavaa matambara?

kiredio Jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2024
Posts
989
Reaction score
1,843
Kwa uzoefu wangu wa maisha ya mtaani, nimegundua wababa au wanaume wengi wakiwa nyumbani siku za mapumziko au siku yoyote, hawajiweki smart kama ambavyo wanafanya wakiwa wanatoka.

Nyumbani ni sehemu muhimu kuwa smart kwani ndyo kipindi ambacho upo na mwenza wako na anafurahi akikuona umevaa na kuwa na muonekano mzuri.

Kwanini ukitoka unavaa smart na nguo nzuri na kunukia vizuri lakini ukiwa nyumbani unavaa matambara na nguo ambazo zimechoka na hazina mvuto?

Unaenda nje kuwaonyesha wengine umaridadi wako lakini mke wako unamvalia mapensi na mavest yaliyo gimbaa....

Naamini wanawake wengi wanapenda wanaume wasafi hasa wakati ambao wapo wote nyumbani...

Tubadilike......

Pia soma: Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa
 
Tena baadhi ya wanawake ukiwakuta nyumbani jinsi walivyo vaa unaweza jiuliza ndio Yule Yule kweli? ,kujipamba kunaficha mengi, katika maswala ya uzuri wa muonekano kuna usanii sanii mwingi sana.
Hata wanawake pia wakiwa nyumbani wengi wanajisahau na kukaa hovyo, ila wakitoka wanajipamba na kuonyesha uzuri wao kwa wengine huko barabarani
 
Kero
Usiku kucha mmelala bila kusumbuana
Kumekucha, mshaoga vizuri na kuvaaa nakishi nakishi ... mara mmoja anaka game hahaaaaaa
Kuvaa vizuri mda wote na usafi ni muhimu
Ukivaa vizuri unampa mwenzio ushawishi hata wa kukaa karibu na wewe, ukiwa unanuka jasho atakukimbia hata kukupa kumbato atashindwa
 
Back
Top Bottom