Kwanini ukitoka unavaa vizuri lakini ukiwepo nyumbani unavaa matambara?

Kwanini ukitoka unavaa vizuri lakini ukiwepo nyumbani unavaa matambara?

Kwa uzoefu wangu wa maisha ya mtaani, nimegundua wababa au wanaume wengi wakiwa nyumbani siku za mapumziko au siku yoyote, hawajiweki smart kama ambavyo wanafanya wakiwa wanatoka.

Nyumbani ni sehemu muhimu kuwa smart kwani ndyo kipindi ambacho upo na mwenza wako na anafurahi akikuona umevaa na kuwa na muonekano mzuri.

Kwanini ukitoka unavaa smart na nguo nzuri na kunukia vizuri lakini ukiwa nyumbani unavaa matambara na nguo ambazo zimechoka na hazina mvuto?

Unaenda nje kuwaonyesha wengine umaridadi wako lakini mke wako unamvalia mapensi na mavest yaliyo gimbaa....

Naamini wanawake wengi wanapenda wanaume wasafi hasa wakati ambao wapo wote nyumbani...

Tubadilike......

Pia soma: Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa
Kazia hasa wanawake walioolewa. Yaani wanavaa kama hayawani.
 
We taratibu buana yani nile moka yangu safi inang'aa kama kipara cha january kadeti zito zito na shati langu kama mobutu alafu nikae sebuleni niangalie chanel za wanyama ,
Nikimaliza hapo naenda kwenye mabanda ya kuku kusafisha khaaaaah
 
Kwa sis tulio kwenye ndoa tuna vaaa kulingana na mazingira kwa sababu mara mtoto akuchezee kidogo nyumban pia kuna shughuli nying
Ni kweli lakini sio sababu ya kuvaa nguo mbaya au ambazo zimechakaa
 
We taratibu buana yani nile moka yangu safi inang'aa kama kipara cha january kadeti zito zito na shati langu kama mobutu alafu nikae sebuleni niangalie chanel za wanyama ,
Nikimaliza hapo naenda kwenye mabanda ya kuku kusafisha khaaaaah
Sio kuvaa shati na tai, ila hata ukivaa simple ni muhimu kuzingatia usafi na unadhifu
 
Kwa uzoefu wangu wa maisha ya mtaani, nimegundua wababa au wanaume wengi wakiwa nyumbani siku za mapumziko au siku yoyote, hawajiweki smart kama ambavyo wanafanya wakiwa wanatoka.

Nyumbani ni sehemu muhimu kuwa smart kwani ndyo kipindi ambacho upo na mwenza wako na anafurahi akikuona umevaa na kuwa na muonekano mzuri.

Kwanini ukitoka unavaa smart na nguo nzuri na kunukia vizuri lakini ukiwa nyumbani unavaa matambara na nguo ambazo zimechoka na hazina mvuto?

Unaenda nje kuwaonyesha wengine umaridadi wako lakini mke wako unamvalia mapensi na mavest yaliyo gimbaa....

Naamini wanawake wengi wanapenda wanaume wasafi hasa wakati ambao wapo wote nyumbani...

Tubadilike......

Pia soma: Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa
Ni ujinga tu kwakweli
 
Back
Top Bottom