Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila mtu ana kipajiKwanini unasema ni kipaji mkuu
Duuh aiseeeMuacheni mshamba_mwingine wangu, yeye hanukagi ila napendaga kaharufu cha pumbUh lake
Bukta safi au chafu?Tena mimi nikiwa nyumbani navaa bukta tu.
Kazia hasa wanawake walioolewa. Yaani wanavaa kama hayawani.Kwa uzoefu wangu wa maisha ya mtaani, nimegundua wababa au wanaume wengi wakiwa nyumbani siku za mapumziko au siku yoyote, hawajiweki smart kama ambavyo wanafanya wakiwa wanatoka.
Nyumbani ni sehemu muhimu kuwa smart kwani ndyo kipindi ambacho upo na mwenza wako na anafurahi akikuona umevaa na kuwa na muonekano mzuri.
Kwanini ukitoka unavaa smart na nguo nzuri na kunukia vizuri lakini ukiwa nyumbani unavaa matambara na nguo ambazo zimechoka na hazina mvuto?
Unaenda nje kuwaonyesha wengine umaridadi wako lakini mke wako unamvalia mapensi na mavest yaliyo gimbaa....
Naamini wanawake wengi wanapenda wanaume wasafi hasa wakati ambao wapo wote nyumbani...
Tubadilike......
Pia soma: Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa
Na kuoga hawaogiKazia hasa wanawake walioolewa. Yaani wanavaa kama hayawani.
Na vest kubwa ukivaa kitambi chote njeNna mpensi Nyanya wangu huo ukinikuta home MBUPU njee
Ni kweli lakini sio sababu ya kuvaa nguo mbaya au ambazo zimechakaaKwa sis tulio kwenye ndoa tuna vaaa kulingana na mazingira kwa sababu mara mtoto akuchezee kidogo nyumban pia kuna shughuli nying
Sio kuvaa shati na tai, ila hata ukivaa simple ni muhimu kuzingatia usafi na unadhifuWe taratibu buana yani nile moka yangu safi inang'aa kama kipara cha january kadeti zito zito na shati langu kama mobutu alafu nikae sebuleni niangalie chanel za wanyama ,
Nikimaliza hapo naenda kwenye mabanda ya kuku kusafisha khaaaaah
Ni ujinga tu kwakweliKwa uzoefu wangu wa maisha ya mtaani, nimegundua wababa au wanaume wengi wakiwa nyumbani siku za mapumziko au siku yoyote, hawajiweki smart kama ambavyo wanafanya wakiwa wanatoka.
Nyumbani ni sehemu muhimu kuwa smart kwani ndyo kipindi ambacho upo na mwenza wako na anafurahi akikuona umevaa na kuwa na muonekano mzuri.
Kwanini ukitoka unavaa smart na nguo nzuri na kunukia vizuri lakini ukiwa nyumbani unavaa matambara na nguo ambazo zimechoka na hazina mvuto?
Unaenda nje kuwaonyesha wengine umaridadi wako lakini mke wako unamvalia mapensi na mavest yaliyo gimbaa....
Naamini wanawake wengi wanapenda wanaume wasafi hasa wakati ambao wapo wote nyumbani...
Tubadilike......
Pia soma: Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa
Hamjasema hivyo kwenyw kichwa cha uzi nyie mmeita pigo zetu matambaraSio kuvaa shati na tai, ila hata ukivaa simple ni muhimu kuzingatia usafi na unadhifu
🤣🤣🤣🤣Nna mpensi Nyanya wangu huo ukinikuta home MBUPU njee
Ni kweli watu wanavaa matambara wakiwa nyumbaniHamjasema hivyo kwenyw kichwa cha uzi nyie mmeita pigo zetu matambara
Maji yakikosekana tissue hutumika kama mbadalaNdio ninyi wanaume mnaenda na tissue kukojoa
Hayo maji unafanyia nini baada ya kutokea?Maji yakikosekana tissue hutumika kama mbadala
Kutokea wapi? Kama maji hakuna tissue inatumikaHayo maji unafanyia nini baada ya kutokea?