BBIVyakula vya kidhungu vina nguvu. Huwezi fananisha na ugali
ππππHello jf..
Nimebahatika kutembea nje ya bara la africa sehemu kama Sydney,London,Denver,New york,Istanbul,Melbourne na Madrid.
Nimegundua ukiwa huko hata husikii njaa hovyo tofauti na bongo ukiamka tu asubuhi unaamka na ubao wa kufa mtu.
Kwa nin iko hivyo?
Energy ya ushamba ina-preoccupy ubongo, ina-divert attention --- kile ambacho kingewazwa kwa ajili ya tumbo kinahamishiwa ushambani.Ushamba ndio mtu asihisi njaa?
Kapime minyoo --- unakumbuka staili ya minyoo ya saluni ilhali unasahau kuna minyoo kibao kumtumbo. Njoo tukupatie dawa na ushauri nasihi.Yaani hapa njaa ishaanza. Wakati nimekula sio muda.
Sydney,London,Denver...Hello jf..
Nimebahatika kutembea nje ya bara la africa sehemu kama Sydney,London,Denver,New york,Istanbul,Melbourne na Madrid.
Nimegundua ukiwa huko hata husikii njaa hovyo tofauti na bongo ukiamka tu asubuhi unaamka na ubao wa kufa mtu.
Kwa nin iko hivyo?
Hello jf..
Nimebahatika kutembea nje ya bara la africa sehemu kama Sydney,London,Denver,New york,Istanbul,Melbourne na Madrid.
Nimegundua ukiwa huko hata husikii njaa hovyo tofauti na bongo ukiamka tu asubuhi unaamka na ubao wa kufa mtu.
Kwa nin iko hivyo?