matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
Kwa makini braza,Wadau wengi mna mchango sana.
Cheki na hii hapa:
247 Prayers Army - Jeshi la Maombi
Maombi ya saa 24 kwa kila siku kwa kila mwaka yanafanyika kwa watu wa Mungu ili kusudi la Mungu liwe imara ndani yao. Karibu ungana nasi.t.me
Unmaskini unarithishwa?
Unaweza kukomaa bila mafanikio kumbe kuna madesa ya jadi uliyoaminishwa kimyakimya (subliminally) yanakuvuta shati.
Mfano, moja ya ukoo nilioufuatilia
1: Ukiwa tajiri utalogwa hadi uwe kama wenzako
2: Waliofanikiwa kidogo wanastrago kuhakikisha kila mwana ukoo anawategemea wao tu.
3: Baba, Mama, Ukoo mzima unajuhudi kubwa katika kulaani na sio kubariki, kukuza mabaya badala ya mema.
Ukiona ukoo au familia ina hizi mentality piga chini kwa hekima lakini. Ikiwezekana kaa mbali hizo ni tabia za kimasikini. Hama hata mkoa ukaanzishe ukoo na familia mpya maana utaambukizwa.
Uo sio utajiri ni ujinga na utumwa.Kheri uwe broken, kuliko kuwa litajiri la majini yaan una ishi a ndoa ya majini...kuna chalii mmoja yupo Korogwe dogo ana hela ila kila mwezi kunantarehe ikifika dogo anajinyea .(involuntary)
Kuna dogo mwengine yupo kibaha picha ya ndege ..dogo na yy ana mpunga kajenga vijumba vya kupangisha lkn vina masharti kama kambi ya jeshi..mm huwa naviita bijumba vyake kambi ya majini..ktk bijumba ivyo mkristo hupangi nyumbaa wala frame zake, kula kiti moto marufuku, kuuza bia ktk frame zake ni marufuku..
Sasa kwa scenario izo chache hapo ivi huo utajiri utaufurahia kweli ?
Kaukoo ketu ni kaajabu mnoo. Yaan wao hawajui kutamkia watoto wao baraka. Ni laana kwa laana.Kaukoo ketu nikaajabu sanaa,mwenye nazo wachacheee wanataka muwasujudie...usipo jipendekeza hawakupi ramani wala msaada,ukijiweka mbalii Ni majungu na lawama oooh mtoto wa Fulani anajiskia....Mara anajitenga na wezake,michango hatoi dah hizi Koo nyingine basi ingekiwa naweza ningehamaa ukoo.....laana na kulaaniana ndo usisemeee,kulogana Nako....
nimekuelewa ndugu, ila usiache kuwasiadia ndugu wenye uhitaji...Ndugu ni wengi sana. Na shida zao haziishi. Na wana wivu sana. Na wanataka uwape msaada hadi ulingane nao. YANI DUNIA YA LEO UKITAKA KUFELI, Kuwa karibu na ndugu kama umefanikiwa. Najua mifano kibao watu waliajiri ndg kwa biashara nzuri zikafa kabisa.
Mimi nilishaacha kusaidia ndugu. Na nilivyoacha ndio mambo yangu yamekuwa yananyooka kweli kweli. Kwanza kufanikiwa nimepambana mwenyewe tu na Mungu wangu. Wao kwani nani aliwazuia wasipambane kama mimi? Yani mimi afadhali nisaidie mjane au mtu mgeni kuliko ndugu. Hao wasio ndugu wana shukrani sana. Ila ndg wanaona ni wajibu wako.
Ah sawa mkuuUo sio utajiri ni ujinga na utumwa.
Mungu anataka tuwe matajiri Kwa kufuata formula sio mihemko ya kiganga. Pia umaskini ni laana sio kitu cha kujivunia
Unmaskini unarithishwa?
Unaweza kukomaa bila mafanikio kumbe kuna madesa ya jadi uliyoaminishwa kimyakimya (subliminally) yanakuvuta shati.
Mfano, moja ya ukoo nilioufuatilia
1: Ukiwa tajiri utalogwa hadi uwe kama wenzako
2: Waliofanikiwa kidogo wanastrago kuhakikisha kila mwana ukoo anawategemea wao tu.
3: Baba, Mama, Ukoo mzima unajuhudi kubwa katika kulaani na sio kubariki, kukuza mabaya badala ya mema.
Ukiona ukoo au familia ina hizi mentality piga chini kwa hekima lakini. Ikiwezekana kaa mbali hizo ni tabia za kimasikini. Hama hata mkoa ukaanzishe ukoo na familia mpya maana utaambukizwa.
FactUnmaskini unarithishwa?
Unaweza kukomaa bila mafanikio kumbe kuna madesa ya jadi uliyoaminishwa kimyakimya (subliminally) yanakuvuta shati.
Mfano, moja ya ukoo nilioufuatilia
1: Ukiwa tajiri utalogwa hadi uwe kama wenzako
2: Waliofanikiwa kidogo wanastrago kuhakikisha kila mwana ukoo anawategemea wao tu.
3: Baba, Mama, Ukoo mzima unajuhudi kubwa katika kulaani na sio kubariki, kukuza mabaya badala ya mema.
Ukiona ukoo au familia ina hizi mentality piga chini kwa hekima lakini. Ikiwezekana kaa mbali hizo ni tabia za kimasikini. Hama hata mkoa ukaanzishe ukoo na familia mpya maana utaambukizwa.