Kwanini ukoo wako ni masikini?

 
Uo sio utajiri ni ujinga na utumwa.

Mungu anataka tuwe matajiri Kwa kufuata formula sio mihemko ya kiganga. Pia umaskini ni laana sio kitu cha kujivunia
 
Kaukoo ketu ni kaajabu mnoo. Yaan wao hawajui kutamkia watoto wao baraka. Ni laana kwa laana.
 
Hata nchi yetu kuendelea kuiita masikini ni kuarika laana Kwa vizazi vyetu.

Tunatakiwa tuiite nchi yenye rasilimali ambazo bado hazijatumika kutunufaisha, ikiwemo rasilimali ubongo
 
nimekuelewa ndugu, ila usiache kuwasiadia ndugu wenye uhitaji...

siku ukipata shida, dunia yote itakutenga ila ndugu anaweza kukukumbuka.
 
Unategemea nini mtu anafikisha miaka 40 hana ujuzi wowote achana na elimu ya darasani.
Yaani ujuzi hata wa kupika maandazi au kusuka mkeka hana.
Vicious cycle ndio inayoua ichumi wa mwafrika.
Katika familia zeti za kiswahili hatuko serious na maisha.
Din nazo zimefubaza ubongo wa mtanzania vibaya sana wala haiitaji Phd, watu wanategemea kutoboa kwa mafuta ya upako, kuomba,kuombewa, dini zingine zinatufundisha kuwa tuache tamaa ya dunia kwa sababu vyote tutaviacha huko akhera thawabu ndio mtaji hivyo basi kuna kundi la watu lipo busy kujaza thawabu kwenye vitabu vyao.
 

umaskini unasababishwa na hivi
*kutokubali mabadiliko
*uliokuwepo nao mfano marafiki,kazi,biashara na elimu

hivi vitu kama utanielewa subiri kufirisika
 
Fact
 
Mkuu acha kuaminisha kua wote walio masikini wana mapungufu. Mali na Fedha ni Mali ya Bwana hivyo hutoa kwa awapendao. Umaskini na utajiri umekuepo toka enzi na enzi na hautaisha. Hivyo utajiri kwako kwa mwingine ni Umaskini. Okay.... naona bandiko lako limekaa ki kufitinisha fitinisha.
Na pia ukiwa tajiri then what? Na ukiwa masikini then what? Yote ni kujilisha upepo tu
N.b. Umaskini sio Mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…