Kwanini Ukraine haikuomba kuwa sehemu ya USA ili kuepusha huu ujinga unaoendelea sasa?

Kwanini Ukraine haikuomba kuwa sehemu ya USA ili kuepusha huu ujinga unaoendelea sasa?

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari zenu wana JF wenzangu.. Ndugu zangu kinachoendelea leo huko Ukraine kinatokana na ujinga wa viongozi wa nchi hiyo kushindwa kujiongeza mapema huko nyuma ili kuepuka uvamizi huu unaofanywa na Urusi katika ardhi yake.

Ikumbukwe na ifahamike kwamba USA ni Super Power ktk dunia hii, na kamwe ukiachana na vita vya uhuru na vile vya wenyew kwa wenyewe, hakuna nchi nyingine yoyote iliyofanikiwa kupiga au kuingiza jeshi lake kivita ktk ardhi ya nchi hiyo. Ni nchi yenye ulinzi thabiti na imara sana iwe kwa anga, maji au ardhini.

Laiti kama viongozi wa Ukraine wangelitambua hili mapema na kuamua kuwa sehemu ya USA kama ilivyokuwa kwa majimbo mengine ya Alaska, California nk, nina imani leo hii wangekuwa wako salama salmini na kamwe Urusi asingekuwa hata na ndoto ya kusogelea mipaka ya nchi hiyo achilia mbalia kukanyaga ardhi yake kijeshi kama wanavyofanya sasa.

Alaska iliwahi kuwa sehemu ya Urusi, lkn toka imekuwa chini ya serikali ya shirikisho ya Amerika basi Urusi hakuwahi kufikiria au hata kuota kuivamia kama anavyofanya kwa vijirani vyake vinavyojitawala vyenyewe.

Anyway vita ni vita, acha tuone kitachotokea sasa, huenda ikawa ile ya mdharau mwiba mguu huota tende, tukaja kushtukia Urusi chali vitani.
 
Kutokana na ukaribu wa ki mipaka, baina ya ukraine na urusi, ni ngumu sana kwa Urusi kukubali hilo litokee, kwani poland ilipoingizwa NATO, urusi sasa anaona huko kunakoelekea siko, ndio wakawa wamekubaliana kuwa NATO, asizidi kujipanua kuelekea mashariki!!

Na putin hataki kuiona ukraine ina ingia NATO, ila ukraine hata kwenye katiba yao tayari waliisha weka, road map ya kujiunga NATO!!Kwani ndio wanaona itakuwa salama yao!!

Ila putin sasa anataka kuweka uongozi mpya hapo ili aweze kuu control, kama anavyofanya kwenye nchi nyingi za iliyokuwa USSR.
 
Kutokana na ukaribu wa ki mipaka, baina ya ukraine na urusi, ni ngumu sana kwa Urusi kukubali hilo litokee, kwani poland ilipoingizwa NATO, urusi sasa anaona huko kunakoelekea siko, ndio wakawa wamekubaliana kuwa NATO, asizidi kujipanua kuelekea mashariki!!
Na putin hataki kuiona ukraine ina ingia NATO, ila ukraine hata kwenye katiba yao tayari waliisha weka, road map ya kujiunga NATO!!Kwani ndio wanaona itakuwa salama yao!!
Ila putin sasa anataka kuweka uongozi mpya hapo ili aweze kuu control, kama anavyofanya kwenye nchi nyingi za iliyokuwa USSR.
Na ikiwa Urusi itashinda vita na kuweka vibaraka wao, basi nchi za magharibi pia zitatoa silaha na mafunzo kwa serikali hii iliyoanguka ambapo wakati huo watakuwa waasi ili kuyumbisha usalama wa serikali hiyo ya vibaraka. Hapo ndo hali ya usalama katika eneo hilo la mpakani mwa Urusi itakuwa mbaya zaidi. Ngoja tusubiri tuone kitachojiri.
 
Alaska na California unazilinganisha na Ukraine? Hoja yako siielewi.
Nimetolea tu mfano kuwa hayo majimbo hayakuwa sehem ya USA hapo kabla. Ila toka zilipofanikiwa kuwa chini ya serikali ya shirikisho ya marekani basi majimbo hayo yameweza kuwa sehemu salama kama zilivyo sehemu zingine zilizopo ndani ya muungano wa serikali ya amerika.
 
Nimetolea tu mfano kuwa hayo majimbo hayakuwa sehem ya USA hapo kabla. Ila toka zilipofanikiwa kuwa chini ya serikali ya shirikisho ya marekani basi majimbo hayo yameweza kuwa sehemu salama kama zilivyo sehemu zingine zilizopo ndani ya muungano wa serikali ya amerika.
Mkuu unapotoa hoja, angalia pia jiografia ya eneo unalolitolea mfano!

Yaani ni kama kutolea mfano wa: "kwanini Tz isijiunge na uingereza na kuwa chini ya muungano wa Uingereza?"
 
Habari zenu wana JF wenzangu.. Ndugu zangu kinachoendelea leo huko Ukraine kinatokana na ujinga wa viongozi wa nchi hiyo kushindwa kujiongeza mapema huko nyuma ili kuepuka uvamizi huu unaofanywa na Urusi katika ardhi yake.

Ikumbukwe na ifahamike kwamba USA ni Super Power ktk dunia hii, na kamwe ukiachana na vita vya uhuru na vile vya wenyew kwa wenyewe, hakuna nchi nyingine yoyote iliyofanikiwa kupiga au kuingiza jeshi lake kivita ktk ardhi ya nchi hiyo. Ni nchi yenye ulinzi thabiti na imara sana iwe kwa anga, maji au ardhini.

Laiti kama viongozi wa Ukraine wangelitambua hili mapema na kuamua kuwa sehemu ya USA kama ilivyokuwa kwa majimbo mengine ya Alaska, California nk, nina imani leo hii wangekuwa wako salama salmini na kamwe Urusi asingekuwa hata na ndoto ya kusogelea mipaka ya nchi hiyo achilia mbalia kukanyaga ardhi yake kijeshi kama wanavyofanya sasa.

Alaska iliwahi kuwa sehemu ya Urusi, lkn toka imekuwa chini ya serikali ya shirikisho ya Amerika basi Urusi hakuwahi kufikiria au hata kuota kuivamia kama anavyofanya kwa vijirani vyake vinavyojitawala vyenyewe.

Anyway vita ni vita, acha tuone kitachotokea sasa, huenda ikawa ile ya mdharau mwiba mguu huota tende, tukaja kushtukia Urusi chali vitani.
Daaaah, kwa hiyo Tanzania fasta/bila kuchelewa tuombe tuwe state ya 53 ya marekani. Kweli tutaula, yaani na mama mbona itampunguzia adha ya kutembeza bakuli ulaya kutuombea mikopo, misaada, na mitozo isiyo na kichwa wala miguu
 
Habari zenu wana JF wenzangu.. Ndugu zangu kinachoendelea leo huko Ukraine kinatokana na ujinga wa viongozi wa nchi hiyo kushindwa kujiongeza mapema huko nyuma ili kuepuka uvamizi huu unaofanywa na Urusi katika ardhi yake.

Ikumbukwe na ifahamike kwamba USA ni Super Power ktk dunia hii, na kamwe ukiachana na vita vya uhuru na vile vya wenyew kwa wenyewe, hakuna nchi nyingine yoyote iliyofanikiwa kupiga au kuingiza jeshi lake kivita ktk ardhi ya nchi hiyo. Ni nchi yenye ulinzi thabiti na imara sana iwe kwa anga, maji au ardhini.

Laiti kama viongozi wa Ukraine wangelitambua hili mapema na kuamua kuwa sehemu ya USA kama ilivyokuwa kwa majimbo mengine ya Alaska, California nk, nina imani leo hii wangekuwa wako salama salmini na kamwe Urusi asingekuwa hata na ndoto ya kusogelea mipaka ya nchi hiyo achilia mbalia kukanyaga ardhi yake kijeshi kama wanavyofanya sasa.

Alaska iliwahi kuwa sehemu ya Urusi, lkn toka imekuwa chini ya serikali ya shirikisho ya Amerika basi Urusi hakuwahi kufikiria au hata kuota kuivamia kama anavyofanya kwa vijirani vyake vinavyojitawala vyenyewe.

Anyway vita ni vita, acha tuone kitachotokea sasa, huenda ikawa ile ya mdharau mwiba mguu huota tende, tukaja kushtukia Urusi chali vitani.
Alaska haijawahi kuomba kuwa sehemu ya Marekani, Alaska ilinunuliwa na Marekani na iliuzwa na Russia
 
embu chukua atlas uangalie vizuri ramani ya dunia halafu labda kuna kitu utagundua. Ni sawa na useme kigamboni iwe sehemu ya mkoa wa kigoma badala ya dar es salam.
Umekariri. Dunia ni tufe. Chukua tufe halafu indicate West then Far East halafu uangalie ukaribu uliopo ndipo utagundua ni namna gani Urusi na USA zinakaribiana
 
Back
Top Bottom