Kutokana na ukaribu wa ki mipaka, baina ya ukraine na urusi, ni ngumu sana kwa Urusi kukubali hilo litokee, kwani poland ilipoingizwa NATO, urusi sasa anaona huko kunakoelekea siko, ndio wakawa wamekubaliana kuwa NATO, asizidi kujipanua kuelekea mashariki!!
Na putin hataki kuiona ukraine ina ingia NATO, ila ukraine hata kwenye katiba yao tayari waliisha weka, road map ya kujiunga NATO!!Kwani ndio wanaona itakuwa salama yao!!
Ila putin sasa anataka kuweka uongozi mpya hapo ili aweze kuu control, kama anavyofanya kwenye nchi nyingi za iliyokuwa USSR.