Sema Urusi amechukua maamuzi ya haraka sana bila kuangalia madhara ya baadae, killing of innocent people is totally unacceptable, mimi nahisi Putin amenunua silaha nyingi sana na alikua anatafuta pa kuzitimia maana ameona zinakaa tu hazina kazi sasa anata kuonyesha ulimwengu kwamba ana stock ya kutosha
Natamani wasitishe hii vita maana raia na watu wasio na hatia wanateseka, shughuli za maendeleao zimekwama, uchumi utatikisika na mbaya zaidi wanazalisha wakimbizi ilhali funia bado ipo kwenye janga la Korona