Tatizo lako unaacha msingi wa mada yangu na kuanza kujaza maneno ambayo hayapo. Nimetoa takwimu kama zilivyojitokeza baada ya utafiti wa Gallup International na kugundua kuwa Uislam na Ukristo unashamili sana nchi za kimaskini lakini pia unapungua au kuisha katika nchi zilizoendelea, especially Europe.
pia ujue hawa jamaa si credible kihivyo,ni kama wewe tuu ukiwa ktk propaganda
Brazil siyo nchi iliyoendelea hata hivyo utagundua katika research iliyofanyika kwa sasa ukristo umepungua kwa 1.62% kutoka mwaka 2003 to 2009 kama mchanganuo unavyoonyesha hapa chini.
umeanza danganya hata ktk references zako,hiyo asilimia ni kuongezeka kwa evengelicals.Evengelicals ni wakristal wewe.tena wakristo wenye siasa kali ila si km za waislam ambazo zikiwa kali wanakuwa terorists
Umbea uwe unaacha basi.waislam huharibu tafiti na report wanapolisilimisha.
Brazil ipo ktk brics kundi moja na india,china
South africa.uchumi wake unahemeana na uk,ni vigezo kidogo tuu ndivyo vinaiweka nchi zinayoendelea.mojawapo ni uchumi kuwa na nafasi ya kukua sana,pengine gap ya kiuchumi kwa raia.
Bado hapa utaona positive line of growth ktk ukristo inakwenda na rapid positive growth line ya uchumi. Hayo mengine kawapigie hadith wala tende.
Hapa ndiyo nashindwa kukelewa pale unapoaanza kuchanganya siasa na dini halafu hapo hapo unaingiza itikadi za CCM na CHADEMA.
Mada yangu haigusi siasa na wala mawazo yangu hayakufikiria kama siasa za Tanzania zinaweka kupata nafasi katika mada.
nani hawajui akili zenu zinawatosha nyie tuu ktk kuwa keep busy ubish i wa kijinga huku mkidhani mpo sahihi.waislam wamefight kwa generations bila mafanikio only kuishia ktk umasikini hata pale wanapopata hela nyingi huku wakifikiri kuwa wakiongeza dose ya dini basi watasave kumbe wanaishia jaza magaidi duniani.
I'm sorry, nimegundua kama hauko tayari kujibu hoja za utafiti kwa vile tu zinagusa imani yako kidini pamoja nakuwa hatuwezi kuuondoa ukweli kwa kupinga tu.
pole sana.hao jamaa hawapo credible kihivyo,halafu blah blah zako hazina tofauti na mouth piece zingine.zinazosambaza uongo kwa tafiti za kupika toka ktk vibaraka wa kiislam wanaota ukuza sana uislam.
Huna lolote wewe.unaweza pata wakristu dhaifu elf ila akabaki mmoja mwenye Mungu akakurudi nyuma hadi ulipokea ktk uongo wako.
Haijalishi Yesu ni nani au Terrost ni yupi, ukweli ni kwamba hizi dini zinaanguka kadri jamii inavyoendelea au kupiga hatua kimaendeleo.
nani kakuambia?Yesu alikuja komboa na alipokuwa anakula na masikini ,wakoma na wadhambi aliwaambia wale waliojiona wapo matawi hakuwafuata hao,ila wenye dhiki mbalimbali na kuwakomboa,na baadae ushahidi wa hapo juu,wangu,wako na hata research ya kupika hawakuona ni kwamba, kumkataa Yesu matokeo ni miseries na change kidogo ina effects kubwa sana.ukristu kidogo mashariki ya mbali ukuaji mkubwa,kutoa ukristu kidogo kuanguka kukubwa kwa ulaya.hii issue si sahihi Ukristu kuwa kapu moja na uislam ktk kapu moja.km mnavyofanya bongo kwa kushindwa sema wabunge ccm wanatukana na kufanya fujo. Utasubiri sana south korea ,brazil,agentina ukristu upungue uchumi unavyopanda.
Hata bongo yenyewe wenye vipato na wasomi ndi wanajaa makanisani.
Kwa msaada zaidi, Biblia inaposema Yesu alikuja kwa wenye shida na maskini haikuwa na maana ya wenye shida ya pesa au elimu bali alikuja kwa wenye shida ya roho. Maskini wa roho wako sehemu zote na hawawezi kuwa tu katika maskini wa mali na elimu.
Sasa unasema nini kwa ujumla wake.Yesu alitolea majibu material things,philosophical na hata spiritual
Problems.Aliposema usimpe mtu samaki ila mfunze kuvua tayari alikuwa anapiga chini
Tatizo linalowatafuna waislam leo la kupokea futari+tendena bure nyinine,ipo mifano mini tuu hata pale alipowashuku watu walomfuata ili wale bure tena samaki.alifight hata umasikini wa mwili na fedha..ktk mfano wa watu walioachiwa fedha na mtu alisafiri na aliporudi alikuta matokeo tofauti.kuna waliozusha na kufanya faida,kuna walioacha km wenzetu wasiotaka riba na kuna wengine roho mbaya wakidhani bosr atafaidika.mwenye mali alipokuja aliwapa ile ziada na kuwaongezea waliojituma.na kuwanyang'anya walikuwa bika kitu kwa vile hawakutumia hiyo nafasi ya mitaji mapema.
Hembu rudi jipange na useme vyema proganda zako .soma agano jipya.wakristu ni chachu ukiweka pish moja calabashi yote huchachuka.
.ni taa na kila waendapo nuru huwafuata.waondokapo nuru huzimika.Tazama ulaya,misri,ethiopia,sudan,lebanon,syria,cyprus,..zimekuwa giza tazama brazil,south korea,china, na mwanga unaowaangaza.
Its funny hata waganga wa kiislam wanaamini kutafuta nyota ya mkrist inalipa.