kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Si unaona sasa watanzania vile akili zenu mbovu. Na hii si kashfa bali ni ukweli.
Wewe mtu anatoa hoja ingine wewe unaikwepesha na kujenga ya kwako ili ulete fitna ya udini humu!.
Hivi nyie watu mtaendelea lini na kuwa na fikra wazi. Halafu unapochangia hoja wacha ujinga wa kutuandikia maneno mawili matatu ya kiingereza ili tukuone umesoma. Huo ni utumwa wa kiakili. Watu wanfahamu hicho kiingereza bora kuliko wewe lkn hapa sio mahala pake. Hii inatwa JAMII FORUM na sio society forum.
Wewe mtu anatoa hoja ingine wewe unaikwepesha na kujenga ya kwako ili ulete fitna ya udini humu!.
Hivi nyie watu mtaendelea lini na kuwa na fikra wazi. Halafu unapochangia hoja wacha ujinga wa kutuandikia maneno mawili matatu ya kiingereza ili tukuone umesoma. Huo ni utumwa wa kiakili. Watu wanfahamu hicho kiingereza bora kuliko wewe lkn hapa sio mahala pake. Hii inatwa JAMII FORUM na sio society forum.