Kwanini Ukristo na Uislam unashamiri kwenye nchi masikini na duni kielimu?

Kwanini Ukristo na Uislam unashamiri kwenye nchi masikini na duni kielimu?

Kama wewe ni muumini mmojawapo wa dini hizi mbili utaelewa ninachokisema hasa kama hupendi kuidanganya nafsi yako. Tangu malalamiko ya wananchi, mashirika na wadau mbalimbali kuwa kuna ombwe la uongozi tangu jk aingie ikulu waumini wa dini hizi mbili walianza kuumana hadharani kwa maneno; kwanza kama utani kisha kama vita vya maneno.

Wale waliobahatika kuhudhuria mihadhara ya malumbano ya kidini wataniunga mkono kwa sababu ilikuwa inatia hamasa kupinga kauli ya upande mmoja tena mbaya zaidi kwa kutumia misahafu ya dini husika. Siku moja nilihudhuria kwa dakika chache ikanilazimu kushindwa kuvumilia kusikiliza maneno yaliyokuwa yakitolewa kukashifu dini fulani kuwa wanaruhusiwa kuwafira/kuwalawiti wake zao! Kumbuka hapa ni kupeana vidonge kwa zamu kulingana na muda mliopangiana. Serikali ilikuwepo na polisi walihusika kutoa vibali! Jamani hivi tumlaumu nani kwa kutuchonganisha kama siyo rais wetu?

Mwaka 2004/2005 kulitokea sintofahamu kati ya wakristo na waislam baada ya waislam kuendesha mhadhara wa kukashifu ukristo, kisha wakristo kuendesha mhadhara kama huo wiki iliyofuata huku wakikashfu taratibu za hitma/arobaini ya waislam kiasi kwamba wakristo wakaanza kuingia tashwishwi kushirikiana na waislam katika masuala ya vyakula ikiwemo kuchinja.

Mzunguko wa mihadhara hiyo nchi nzima kuliwazindua watu (negatively or positively) kuhusu ushabiki na chuki za kidini. Tangu hapo watanzania wengi tumeingizwa kwenye mtego huo hasa wanazi wa ukristo na uislam! Tunapokataa uwepo wa udini kama kinamwigulu nchemba tunaharibu kabisa maana badala ya kutibu tunabomoa. Nafsi zetu zinajua tulivyo! Hata rais kikwete anaijua nafsi yake juu ya suala hili! Wakristo na Waislam wa kweli wanalijua hili na wanatamani suluhu ipatikane.
 
Ni dini zote mbili i.e ya rais na ya waziri mkuu ni tatizo la afrika kusini mwa jangwa la sahara.
 
Ni juzi juzi tu ndo mambo haya yamekuja zamani wote walikuwa wanaishi kwa amani na upendo
 
Ni juzi juzi tu ndo mambo haya yamekuja zamani wote walikuwa wanaishi kwa amani na upendo

Zindiki wewe,Udini ulikuwepo tokea mara tu baada ya Uhuru

Hivi sasa tunaelekea kwenye balance ya Dini Tanzania ndio maana waislamu na Wakristo wote wanalalamikia Udini,tulizoea zamani kuwasikia waislamu tu wakilalamia Udini na Majerani zao wakristo wakiwabeza ya kwamba waislamu ni walalamishi.

Matukioa ya udini wa Wakristo zidi ya Waislamu ndani ya nchi hii ni mengi tukianza kuyaorozesha hapa hatuatalala,acheni kupayuka nyinyi Wakristo au ndio mmezoea kutudhulumu
 
Zindiki wewe,Udini ulikuwepo tokea mara tu baada ya Uhuru

Hivi sasa tunaelekea kwenye balance ya Dini Tanzania ndio maana waislamu na Wakristo wote wanalalamikia Udini,tulizoea zamani kuwasikia waislamu tu wakilalamia Udini na Majerani zao wakristo wakiwabeza ya kwamba waislamu ni walalamishi.

Matukioa ya udini wa Wakristo zidi ya Waislamu ndani ya nchi hii ni mengi tukianza kuyaorozesha hapa hatuatalala,acheni kupayuka nyinyi Wakristo au ndio mmezoea kutudhulumu
MMmmhhhh sijui kama tutaweza kutatua tatizo kwa mtazamo huu.
 
Zindiki wewe,Udini ulikuwepo tokea mara tu baada ya UhuruHivi sasa tunaelekea kwenye balance ya Dini Tanzania ndio maana waislamu na Wakristo wote wanalalamikia Udini,tulizoea zamani kuwasikia waislamu tu wakilalamia Udini na Majerani zao wakristo wakiwabeza ya kwamba waislamu ni walalamishi.Matukioa ya udini wa Wakristo zidi ya Waislamu ndani ya nchi hii ni mengi tukianza kuyaorozesha hapa hatuatalala,acheni kupayuka nyinyi Wakristo au ndio mmezoea kutudhulumu
Tutafika kweli kama tunaingia kwenye majadiliano na watu wenye akili ndogo kama yako kweli? Nenda kwenye chanzo acha kulaumu matokeo. Unashindwa kuelewa nini chanzo cha hiyo unayoiita "dhuluma" Kama ungekubali kufifungua akili yako hatakamani ndogo bila shaka ungepata jibu zuri. Nikutaarifu tu kuwa nilisoma shule ya msingi na vijana walokuwa na Imani kama yako, walibaki kupiga kelele na kusoma Madras wakikariri Qur an wakati mimi na wenzangu tukiwa busy na kusoma tukifuata syllabus ya serikali, matokeo yake ni kuwa WENGI wao ni wachoma mkaa na kama wamepanda kidogo watakuwa stendi wakipiga debe hata kama ni watu wazima. Mara kwa mara nikirudi nyumbani nawakuta katika hali mbaya zaidi na hatimaye nasema "ee Mungu bora ungeiacha dunia hii ibaki kama ilivyokuwa kabla ya 630 AD" bila shaka watu hawa wangekuwa mbali. Fungueni macho acheni kuruhusu akili ndogo iongoze akili kubwa. Mtabaki kulalamika tu!!!
 
Huwezi kumsimamisha Padri agombee Urais halafu utarajie asitumie fursa hiyo kuomba kura kanisani halafu Wasio kwenye hiyo dini yake wamwangalie tu.Halafu 2015 wanamrudisha tena ndo moto wake utauwona.
 
mleta mada kakwapua,brazil ni taifa la kikristu longtime ,lilikuwa chini kwa kunyonywa sasa uchumi wake unakuwa km umeme huku watu wakianza kuwa aware na ukristo wao huku wengine wakizidi kuwa evengelicals..

Pia hataki jua Yesu kaja komboa wenye shida na si wazima..kwani hajajiuliza kwanini ukristu ukiingia nchi inaanza kuwa. Na uislam huacha misery tuu.

Propanda za kulinganisha terrorist na mwokozi,kelele za ccm na ustaarabu wa cdm km wabunge wote wameongea matusi,ukristu na kurhindwa kwa uislam kuongeza ubora wa maisha ya wanadamu zaidi kukalama,kuua na kutaka pewa hakila toa haki.ni tabia mbaya kwa vijbmb.
 
mleta mada kakwapua,brazil ni taifa la kikristu longtime ,lilikuwa chini kwa kunyonywa sasa uchumi wake unakuwa km umeme huku watu wakianza kuwa aware na ukristo wao huku wengine wakizidi kuwa evengelicals..

Pia hataki jua Yesu kaja komboa wenye shida na si wazima..kwani hajajiuliza kwanini ukristu ukiingia nchi inaanza kuwa. Na uislam huacha misery tuu.

Propanda za kulinganisha terrorist na mwokozi,kelele za ccm na ustaarabu wa cdm km wabunge wote wameongea matusi,ukristu na kurhindwa kwa uislam kuongeza ubora wa maisha ya wanadamu zaidi kukalama,kuua na kutaka pewa hakila toa haki.ni tabia mbaya kwa vijbmb.

Mbona hueleweki....
Unatetea Ukristo au CHADEMA ?
Au ni wewe ni walewale ?
CHADEMA ni dhehebu la Kikiristo
 
Mbona hueleweki....
Unatetea Ukristo au CHADEMA ?
Au ni wewe ni walewale ?
CHADEMA ni dhehebu la Kikiristo
Gamba ni gamba tuu.ulishawahi elewa nini wewe km mwenyewe hujijui wala kuelewa usemalo?

Ulichouliza na conclussion zinaonyesha jinsi ulivyo na logic ya ponda.
 
Shetani huyoooooo baba shtuka! usifurahie makanisa kuwa museum

Sio tu hivyo lakini makanisa mengi sasa hivi uingereza yamegeuzwa miskiti.Hii ni kwasababu wazungu wengi wamegundua asili ya dini na mungu ni mmja tu.ila wakristo na wayahudi walijua kuna mjumbe wamungu atakuja wakawa wanamsubiri.alipokuja kuona katokea arabuni wakamkataa kwakua walishazoea wajumbe wamungu(MITUME) wengi huwa ni wayahudi.Mungu alifanya hivyo kwakua wayahudi hudai miujiza mingi toka kwajumbe hao ilyo nje yauwezo wao ili wawaamini.Hatahivyo wakifanya kwauwezo wa mungu bado huumkanusha.Mifano ni mingi kwauchache rejea kwayesu mpaka walitaka kusulubu pamoja nakuponya watu,kufufua wafu etc.hivyo mungu akaamua mjumbe wakewamwisho atoke Arabuni.Mbaya zaidi Mungu kilicho muudhi pale walipoanza kunyofoa maneno ya mungu nakupachika yakwao ili wapate urahisi waibada.(magugu katkat ya ngano).Uliona wapi yesu akisalimia watu"yesu" watuwajibu"tumainiletu"gugu ilo. yesu husalimia kwa "Amani iwe pamoja nanyi" kiarabu ni Salaam alaykum.Ni juu yako kukubali ama kukataa.jitahidi mjue ukweli utwasaidi ndugu zangu ktk ADAM.
 
Kwa hiyo Tuko unamaanisha neno ustaarabu ni pamoja na maadili ambayo jamii iliyooendelea ndiyo nguvu kuu katika maisha yao wakati less developed countries zinakuwa na tatizo la ustaarabu katika maisha yao.

Nadhani pia kuna mambo kadhaa yanaweza kuongezeka hapo

1. Nchi zilizoendelea level ya elimu ni kubwa. Hiyo inawafanya watu wawe very objective na kuwa na critical thinking. Hivyo hawawezi kuchukua kila propaganda inayoletwa na wachache wenye agenda binafsi.

2. Nchi zilizoendelea watu wapo busy na mikosanyiko ya kidini isiyokuwa na tija haipewi kipaumbele. Watu wanahudhuria kwenye vyumba vya ibada wanapokwenda kuabudu. Huwezi ukawakuta kila siku wanakimbizana kariakoo kwa maandamano yasiyo na uelewa.Tanzania tunayo idadi kubwa sana ya watu wasio na shughuli maalumu ambao wapo tayaru kupelekwa na kila linalokuja
 
Last edited by a moderator:
Wa Busiya,
Unapendekeza nini! Tuzifute dini hizi kwa kuwa ni tatizo?

Carlmax alipata kusema kua "religion is opium of the people"Aliyasema haya kipindi ukristo ulipo tamalaki huko ulaya.Aliona wazi kua Dini imekua biashara serikali inakosa mapato kwasababu za misamaha yakodi kwa makanisa,huku wananchi nao wakikamuliwa."Toa ulichonacho toa".kibay zaidi bado walikua wanahitaji hata hicho kidogo chaserikali wapewe kama ruzuku.

Kama mnakumbuka kikwete linamtesa hilo pale mkulo aliposema anataka kufuta misamaha yakodi lakini pia ruzuku za taasisi za DINI(MoU) zikaguliwe na CAG moto uliwaka nabado unaendelea Mkulo out. Hali hii Nchi lazima iwe maskini kwasababu serikali ndiyo yenyedhamana kutoa huduma za jamii.Tasisi zadini zinapofanya huambiwa wameisaidia serikali waongezwe ruzuku.mtihani sana.

Suluhisho ni kufuta misamaha yakodi,pia tukemee uonevu kuwapa wakristo babilion bila kuwapa na waislam.Najua kua usomi wetu kwenye mambo yadini unapotea kabisa kiasi mtu anateteA hata upuuzi.
 
mleta mada kakwapua,brazil ni taifa la kikristu longtime ,lilikuwa chini kwa kunyonywa sasa uchumi wake unakuwa km umeme huku watu wakianza kuwa aware na ukristo wao huku wengine wakizidi kuwa evengelicals..
Tatizo lako unaacha msingi wa mada yangu na kuanza kujaza maneno ambayo hayapo. Nimetoa takwimu kama zilivyojitokeza baada ya utafiti wa Gallup International na kugundua kuwa Uislam na Ukristo unashamili sana nchi za kimaskini lakini pia unapungua au kuisha katika nchi zilizoendelea, especially Europe.

Brazil siyo nchi iliyoendelea hata hivyo utagundua katika research iliyofanyika kwa sasa ukristo umepungua kwa 1.62% kutoka mwaka 2003 to 2009 kama mchanganuo unavyoonyesha hapa chini.

A new study released recently by the Getulio Vargas Foundation (FGV) revealed that the evangelical population in Brazil has grown 13.13 percent between 2003 and 2009.
Despite being a country with a great majority of Catholics the "New Religious Map" showed that Catholics have decreased significantly since the 90's, whilst evangelicals have seen an increase.
In 1991, Catholics accounted for 83.34 percent of the population, but by 2000 the percentage had dropped to 73.89 percent, and in 2009 Catholics accounted for just 68.43 percent.
Meanwhile, both traditional and evangelical Pentecostals jumped from 17.9 percent in 2003 to 20.2 percent in 2009.
The data seems to confirm the previously touted estimate that the evangelical population in the country could represent more than 50 percent by 2020; a figure touted by the "Servindo aos Pastores e Líderes" (SEPAL) last year.
"We believe 52 per cent of the population will be evangelical by 2020, or about 109.3 million evangelicals within a total population of 209.3 million," said SEPAL researcher Luis André Brunet, in an interview with The Christian Post in February.


The New Religious Map also found that the number of people who have no religion increased from 5.1 percent to 6.72 percent between 2003 and 2009.
Pia hataki jua Yesu kaja komboa wenye shida na si wazima..kwani hajajiuliza kwanini ukristu ukiingia nchi inaanza kuwa. Na uislam huacha misery tuu.

Propanda za kulinganisha terrorist na mwokozi,kelele za ccm na ustaarabu wa cdm km wabunge wote wameongea matusi,ukristu na kurhindwa kwa uislam kuongeza ubora wa maisha ya wanadamu zaidi kukalama,kuua na kutaka pewa hakila toa haki.ni tabia mbaya kwa vijbmb.
Hapa ndiyo nashindwa kukelewa pale unapoaanza kuchanganya siasa na dini halafu hapo hapo unaingiza itikadi za CCM na CHADEMA.
Mada yangu haigusi siasa na wala mawazo yangu hayakufikiria kama siasa za Tanzania zinaweka kupata nafasi katika mada.

I'm sorry, nimegundua kama hauko tayari kujibu hoja za utafiti kwa vile tu zinagusa imani yako kidini pamoja nakuwa hatuwezi kuuondoa ukweli kwa kupinga tu.

Haijalishi Yesu ni nani au Terrost ni yupi, ukweli ni kwamba hizi dini zinaanguka kadri jamii inavyoendelea au kupiga hatua kimaendeleo.

Kwa msaada zaidi, Biblia inaposema Yesu alikuja kwa wenye shida na maskini haikuwa na maana ya wenye shida ya pesa au elimu bali alikuja kwa wenye shida ya roho. Maskini wa roho wako sehemu zote na hawawezi kuwa tu katika maskini wa mali na elimu.
 
Nadhani pia kuna mambo kadhaa yanaweza kuongezeka hapo

1. Nchi zilizoendelea level ya elimu ni kubwa. Hiyo inawafanya watu wawe very objective na kuwa na critical thinking. Hivyo hawawezi kuchukua kila propaganda inayoletwa na wachache wenye agenda binafsi.

2. Nchi zilizoendelea watu wapo busy na mikosanyiko ya kidini isiyokuwa na tija haipewi kipaumbele. Watu wanahudhuria kwenye vyumba vya ibada wanapokwenda kuabudu. Huwezi ukawakuta kila siku wanakimbizana kariakoo kwa maandamano yasiyo na uelewa.Tanzania tunayo idadi kubwa sana ya watu wasio na shughuli maalumu ambao wapo tayaru kupelekwa na kila linalokuja
Point zako ni kweli lakini ninashindwa kukuelewa unaposema mikusanyiko isiyo na tija wakati katika mikusanyiko hiyo, uponyaji hutokea kwa maana kuwa watu "wanakombolewa" kutoka katika mikono ya shetani.

Kwani filosofia ya hizi dini ikoje mpaka zinakataliwa katika nchi zilizoendelea huku zikishamili katika nchi maskini na elimu ndogo?. Kuna uhusiano gani kati ya kukua kiuchumi na elimu kuongezeka huku dini ikishuka pia.

It's interesting kuona hizi dini zinashamili sana wakati wa umaskini na kadri jamii inavyopiga hatua, ndiyo graph yake nayo inaanza kushuka.
 
MkombozM

Duh..unatia huruma.kwa jinsi mlivydannganwa na kudanganyika sijui haya mataputap utapata wapi pa kuyaosha na aliyekufundisha nae yupo kwa baba jehanum anaungua tuu.

Mkiwa duniani mnkatembelea jehanum mnapewa nguvu sana za kuweza danganya na mengine.ila mkipatembelea baada ya kufa huwa mnakula dose mbaya toka waliokuwa wanawaponza na kuwadanga wakati mkiwa hai kwa kuwapa nguvu na mapete..

Wewe umeona ulaya tuu?h ujasikia waislam wasio waarabu wanavyolalamikia waarabu kuofuata uislam km nyie viherehere?km si kulazimishana waislam wangeuza misikiti mingi tuu iwe madanguro na kambi za kivita.hapa tuu majmbia,mabomu,karate etc misikitini ni kawaida kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Imani ya Dini yoyote ikizidi kila kitu hugeuka dhambi..... Vyakula,vinywaji,mafundisho,lifestyle,mavazi,wajibu,muda wa kusali/kuswali,kukosoa waumini tofauti,matarajio ya kusadikika,matibabu etc etc
ukizidisha ni kama ulozi maana kila kitu utategemea imani ya dini
 
Back
Top Bottom