Ng'wamapalala,
Asante sana kwa kunialika katika mjadala huu mzuri; kwa kweli nikiri kwamba mimi sina utaalamu wala uzoefu wowote wa maana katika suala husika, kwahiyo nitachofanya hapa ni kutoa tu mawazo yangu na ninasimama kupingwa:
Kwanza nakubaliana na hoja kwamba economic performance ya jamii fulani has something to do with dini lakini nakataa pia kwamba such a performance is a function of a certain religious doctrine; Nitajaribu kufafanua:
Nadhani wengi wetu tunakubaliana kwamba kilichonyanyua uchumi wa jamii mbalimbali duniani - jamii mbalimbali za magharibi, mashariki ya kati, afrika n.k na hata kabla ya ukoloni was TRADE; Kwa maana nyingine, Trade is what sparked economic growth, development, hivyo military strengths katika jamii mbalimbali; sasa kilichokuja tofautisha mafanikio ya jamii moja dhidi ya nyingine ikaja kuwa ni matumizi ya such strengths kutaka ku dominate wengine ili uwe na surplus kutokana na pressure mbalimbali za ndani ya jamii husika;
Kama tupo pamoja so far, tukirejea katika historia ya dunia kwa ujumla, both wakristo, waislamu, wahindi, budhists na hata waumini mizimu katika jamii zetu afrika wakati ule kama wahehe, wahaya, wakamba, wanyamwezi n.k, wote hawa walifaidika sana na TRADE na ikawa ni kichocheo kikubwa sana cha economic growth, scientific development, na ustawi wa jamii zao kwa ujumla; upo ushahidi tosha kwamba baadhi ya inventions katika nchi tajiri za leo zilitokana na traders wa nchi hizo kuiba ideas, tools from africa, asia n.k kisha kwenda kuzifanyia more improvements na baadae sasa walipokuja to conquer these societies, wakawaingiza katika mfumo wa to produce what they didn't consume and consume what they didn't produce, tatizo ambalo ni mataifa machache sana ambayo yameweza kulitatua katika karne iliyopita yani 1900 - 2000;
Kwa maana hii, mtazamo wangu ni kwamba mafanikio ya kiuchumi don't depend on one particular religious doctrine but other exogenous factors kama nilivyojadili hapo juu; ndio maana karne ya 20 na sasa 21 zitaendelea kutawaliwa na clashes of civilization kwani dini moja ndio imejiona kwamba ina mamlaka to set the world order na sio out of consensus bali kupitia military mighty;
Nimalizie kwa kusema kwama - economic performance is an outcome ya culture ya mtu au jamii yake, and as we know, culture ni moja ya key dimensions of religion; And culture influences economic outcomes in a major way kwani it affects personal traits kama honesty, nidhamu katika matumizi ya fedha (kuepuka ubadhirifu), willingness to work hard, openness to strangers (ambayo ni muhimu for business or commercial success) n.k; kwa maana hii, mkinga, mpemba, mchaga, myoruba, mzulu, mwingereza, mchina, mhindi, mjapani n.kn wote wana religious beliefs and practices that are needed to succeed in commercial ventures based on budhism, hinduism, islam, christianity and how these religions or cultures influences economic outcomes per my discussion above;
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums