Kwanini Ulaya haina majengo marefu kama ilivyo Asia Na America?

Kwanini Ulaya haina majengo marefu kama ilivyo Asia Na America?

Sasa Tanzania kuna majengo gani ya histolia Old Boma au unataka DSM kuwe kama nyamisati, tukisema ulaya kuna majengo ya kihistolia ni mijengo hasa usifananishe na ujinga wa Tz.
We mjinga Miji kama Moscow, hajagusa majengo yao yenye zaidi ya miaka 2000 walicho fanya ni kwenda kujenga majengo ya kisasa pembeni. Kariakoo bado ingebakia na zile nyumba zao, na majengo ya kisasa yajengwa sehemu nyingie, Dar ingejenga mji mpya wa kisasa na ikaacha ule wa zamani, tena wangepiga sana pesa kwenye utaliii. Unajua sababu za Moroco kuvutia watalii milio zaidi ya 20 kwa mwaka? au unazania wanaenda kuona twiga huko Moroco?

SHida nchi imejaa wajinga tupu, wanaona kubomoa nyumha ya udongo na kujenga gorofa ni sifa
 
Sasa Tanzania kuna majengo gani ya histolia Old Boma au unataka DSM kuwe kama nyamisati, tukisema ulaya kuna majengo ya kihistolia ni mijengo hasa usifananishe na ujinga wa Tz.
Majengo ya Historia kwani lazima yawe vipi? Ile Kariakoo na zile nyumba zake tiyali ni majengo ya historua, shida huko shule meenda kuongeza ujinga. Kwa akili zako unazania majengo ya historua ni yapi? Ila karikaoo ilikuwa imejaa majengi ya Kihistoria na lait kariakoo inemgeachwa ba majengo yake na mji mpya ukajengwa huko pembeni.
 
We mjinga Miji kama Moscow, hajagusa majengo yao yenye zaidi ya miaka 2000 walicho fanya ni kwenda kujenga majengo ya kisasa pembeni. Kariakoo bado ingebakia na zile nyumba zao, na majengo ya kisasa yajengwa sehemu nyingie, Dar ingejenga mji mpya wa kisasa na ikaacha ule wa zamani, tena wangepiga sana pesa kwenye utaliii. Unajua sababu za Moroco kuvutia watalii milio zaidi ya 20 kwa mwaka? au unazania wanaenda kuona twiga huko Moroco?

SHida nchi imejaa wajinga tupu, wanaona kubomoa nyumha ya udongo na kujenga gorofa ni sifa
Wewe pimbi unafananisha Moscow na DSM umetimia kichwani kweli, DSM kuna majengo ya kihistoria ya kuacha mji usijengwe kweli WHAT THINKING YOU HAVE

mji gani wa kale hapo DSM na majengo jifunze kutofanaisha vitu visivyofanana
 
Nenda majiji ya china ya kisasa
Kwa akili zako nazani unajua miji au majiji ni Magorofa tupu, hizi ndio akili zako, umekomaa sana na China na Dubai.Ulaya hawashindwi kujenga Magorofa. Pia elewa Ulaya imejengwa enzi hizo, wana underground barabara na reli tangu miaka ya 1900+.
 
Sijajuaga kwa Nini Watu wanaipenda Dubai
Ni kawaida ya saikplojia ya binadamu kitu kikiwa maafuru na trend sana tunatafuta namna ya kufanya kionekane cha kawaida.

Tunazungumzia miji iliyojengeka then unajifanya hujui nini Dubai haya jiji gani Tara wewe
 
We mjinga Miji kama Moscow, hajagusa majengo yao yenye zaidi ya miaka 2000 walicho fanya ni kwenda kujenga majengo ya kisasa pembeni. Kariakoo bado ingebakia na zile nyumba zao, na majengo ya kisasa yajengwa sehemu nyingie, Dar ingejenga mji mpya wa kisasa na ikaacha ule wa zamani, tena wangepiga sana pesa kwenye utaliii. Unajua sababu za Moroco kuvutia watalii milio zaidi ya 20 kwa mwaka? au unazania wanaenda kuona twiga huko Moroco?

SHida nchi imejaa wajinga tupu, wanaona kubomoa nyumha ya udongo na kujenga gorofa ni sifa
Ujinga bado ni tatizo kubwa sana Tanzania. Unaweza kua unabishana na mtu mjinga ambae kaenda tu hapo Dubai ama Malaysia mara moja tu anajifanya anajua kila kitu.

New York Underground Train ilizinduliwa mwaka 1904, Moscow ilizinduliwa mwaka 1930, China ama Asia hawakua na subways miaka hiyo ndio wanajenga leo.

Sasa mtu anataka miji iliyojengwa 1600 ama 1500 ivunjwe kisa majengo mapya? Wenzetu wanachokifanya ile miji mikongwe inabaki vile vile ila wanaanzisha mini mipya maili kadhaa ya mji mkongwe.

Hata Beijing ile miji yao ya kihistoria haijavunjwa bado iko pale pale.
 
Ulaya ilijengeka zamani. Huwezi amini kwenye miji kama Rome kuna barabara na majengo yaliyojengwa ezi za Roman Empire. Yani miaka zaidi ya 2000 iliyopita na still yapo.

Ila Medieval Archtecture iko very impressive.

Kwenye nchi kama Italy kuna sheria ya kukataza kujenga majengo marefu ili kulinda majengo ya kihistoria.
 
Laiti ile kariakoo ingebakia vile vile,na majengi yake yale ya zamani, leo hii pale ingekuwa inapiga pesa nyingi sana za wazungu.

Dar ilikuwa na eneo kubwa la kuanzisha mji mpya na kuweka sheria kari majengi ya zamani kwenye mji wa zamani yasiguswe wala kubomolewa.

Moroco inaingiza watalii million 20 kwa mwaka Tanzania watalii milion 1.5 angalia tofauti hapo. Moroco watu wanaenda kushangaa miji yenye majengo ya kizamani, kuwa na majengi yalio jengwa hata kwa tope ilikuwa ni dili sana kwetu shida sasa ni hizi akili zetu.
 
Kama kiuchumi wako vizuri na wana historia kubwa kwenye mifumo ya maendeleo ya ulimwengu ila ukija kwenye upande wa majengo marefu (skyscrapers) mazuri inapigwa chini na nchi za Asia

Shida nini je, ni utamaduni Wao tu au kuna nini yaani majengo 20 marefu zaidi Duniani hakuna hata moja kutoka Bara la Ulaya.
Hawapendi showoff kama Ali Kiba
 
Ulaya ilijengeka zamani. Huwezi amini kwenye miji kama Rome kuna barabara na majengo yaliyojengwa ezi za Roman Empire. Yani miaka zaidi ya 2000 iliyopita na still yapo.

Ila Medieval Archtecture iko very impressive.
Sasa humu wanakuambia majengo makari ni Dubai na China, Waafrica tuna akili za ajabu sana
 
Back
Top Bottom