Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda mfano St petersburg, ni jiji leney majengo ya kizamani ya ukweli,
hasipokuerewahapannaombhunitaginaitwa Yohana Ndahazye kutoka Kasulu Kigoma.
nawomba kuwurisa swari,ngo hivi yinchi ya wuchina yipo humuhumu mwenye bara la Avrica au ipo hukohuko wuraya.
azaniteni.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Yap.
Wanafanya renovations tu, ila miundombinu tayari ilishawekwa mfano London bridge
Wako poa sana
Du hatari.Londo bridge, kwa msaada wa Wikipedia.
The current bridge stands at the western end of the Pool of London and is positioned 30 metres (98 ft) upstream from previous alignments. The approaches to the medieval bridge were marked by the church of St Magnus-the-Martyr on the northern bank and by Southwark Cathedral on the southern shore. Until Putney Bridge opened in 1729, London Bridge was the only road crossing of the Thames downstream of Kingston upon Thames
Yaani mwaka 1729 tayari walijua hapa kunahitaji Daraja, na Mahali popote kwenye Daraja kama Hilo ni Mji kama Magomeni.
Mwaka 2024 Tanzania Bado hatujaweza kuboresha kingo za mito kama mto msimbazi, Bado tuko kwenye SGR...
Unashangaa 1700? Kuna mijengo na barabara zimejengwa kabla ya Kristo yani miaka zaidi ya 2000 iliyopita na zipo zinatumika.Daraja lililojengwa 1700 nalinatumika?.
Hata kamji kadogo kama Ghent, huwezi bomoa yale majengo ya Karne za zamani. We kajenge huko pembezoni. Na unakuta watalii kibao wanamiminika.Sasa humu wanakuambia majengo makari ni Dubai na China, Waafrica tuna akili za ajabu sana
Hana shida ya makaziKama kiuchumi wako vizuri na wana historia kubwa kwenye mifumo ya maendeleo ya ulimwengu ila ukija kwenye upande wa majengo marefu (skyscrapers) mazuri inapigwa chini na nchi za Asia
Shida nini je, ni utamaduni Wao tu au kuna nini yaani majengo 20 marefu zaidi Duniani hakuna hata moja kutoka Bara la Ulaya.
Kama kiuchumi wako vizuri na wana historia kubwa kwenye mifumo ya maendeleo ya ulimwengu ila ukija kwenye upande wa majengo marefu (skyscrapers) mazuri inapigwa chini na nchi za Asia
Shida nini je, ni utamaduni Wao tu au kuna nini yaani majengo 20 marefu zaidi Duniani hakuna hata moja kutoka Bara la Ulaya.