Mada sio ulaya kuweza au kushindw kujenga hayo majengo wala sijui walijenga tangu lini acha kudundadundaKwa akili zako nazani unajua miji au majiji ni Magorofa tupu, hizi ndio akili zako, umekomaa sana na China na Dubai.Ulaya hawashindwi kujenga Magorofa. Pia elewa Ulaya imejengwa enzi hizo, wana underground barabara na reli tangu miaka ya 1900+.
Wanajua madhala yatakayo tekea miaka100 baadaye na madhala ya matetemeko,fikilia jengo kama burkhalfa likipolomoka lita leta majanga kiasi gani?.Kama kiuchumi wako vizuri na wana historia kubwa kwenye mifumo ya maendeleo ya ulimwengu ila ukija kwenye upande wa majengo marefu (skyscrapers) mazuri inapigwa chini na nchi za Asia
Shida nini je, ni utamaduni Wao tu au kuna nini yaani majengo 20 marefu zaidi Duniani hakuna hata moja kutoka Bara la Ulaya.
Ndicho tulipaswa kufanya hata kwa Dar, shida ni hizi akilu zetu. Watu wanazania Miji ni Magorofa, hizi ndio akili zetu WaafricaUjinga bado ni tatizo kubwa sana Tanzania. Unaweza kua unabishana na mtu mjinga ambae kaenda tu hapo Dubai ama Malaysia mara moja tu anajifanya anajua kila kitu.
New York Underground Train ilizinduliwa mwaka 1904, Moscow ilizinduliwa mwaka 1930, China ama Asia hawakua na subways miaka hiyo ndio wanajenga leo.
Sasa mtu anataka miji iliyojengwa 1600 ama 1500 ivunjwe kisa majengo mapya? Wenzetu wanachokifanya ile miji mikongwe inabaki vile vile ila wanaanzisha mini mipya maili kadhaa ya mji mkongwe.
Hata Beijing ile miji yao ya kihistoria haijavunjwa bado iko pale pale.
Fumbafu ostadh🤣🤣🤣naitwa Yohana Ndahazye kutoka Kasulu Kigoma.
nawomba kuwurisa swari,ngo hivi yinchi ya wuchina yipo humuhumu mwenye bara la Avrica au ipo hukohuko wuraya.
azaniteni.
Hayo uzuri wake ni urefu na vioo/rangi za kung'aa tu. Ila mijengo na monuments za kizamani asee zina archtecture/design za kusisimua sana na zimedumu mamia kwa maelfu ya miaka.Sasa humu wanakuambia majengo makari ni Dubai na China, Waafrica tuna akili za ajabu sana
Mada haihusu kuvunja miji nani aliyesema hio miji ya zamani ivunjwe mbona kama hamujui mada ni ipi, mada ni hio miji ya zamani na miji ya kisasa yep mizuri mbona kitu simple sana munapindisha mada.Ujinga bado ni tatizo kubwa sana Tanzania. Unaweza kua unabishana na mtu mjinga ambae kaenda tu hapo Dubai ama Malaysia mara moja tu anajifanya anajua kila kitu.
New York Underground Train ilizinduliwa mwaka 1904, Moscow ilizinduliwa mwaka 1930, China ama Asia hawakua na subways miaka hiyo ndio wanajenga leo.
Sasa mtu anataka miji iliyojengwa 1600 ama 1500 ivunjwe kisa majengo mapya? Wenzetu wanachokifanya ile miji mikongwe inabaki vile vile ila wanaanzisha mini mipya maili kadhaa ya mji mkongwe.
Hata Beijing ile miji yao ya kihistoria haijavunjwa bado iko pale pale.
So Barcelona na Dubai ni mji gani unspoken idadi kubwa ya wataliina ni moja ya Majiji yanayo pokea idadi kubwa ya watalii Duniani, shida sasa kwa akili zetu tunazania miji ni Magorofa.
Daraja lililojengwa 1700 nalinatumika?.Sababu ni kuwa miji mingi ya unayoiona Ulaya, ilijengwa zaidi ya miaka 200 iliyopita, itakuwa gharama sana kubomoa majengo ili kujenga skyscrappers.
Unakuta madaraja yalijengwa 1700, barabara zao karibu zote hadi mwaka 1900 zilikuwa zimejengwa pamoja na reli hata trams, barabara za chini ya ardhi, mipango miji
Waafrika wengi wana lack of exposure tuwavumilieSasa humu wanakuambia majengo makari ni Dubai na China, Waafrica tuna akili za ajabu sana
Sikui hata kama shule ulienda na kama ulienda mtihani wa darasa la nne ulifaulu vipi?🙄Mada
Mada haihusu kuvunja miji nani aliyesema hio miji ya zamani ivunjwe mbona kama hamujui mada ni ipi, mada ni hio miji ya zamani na miji ya kisasa yep mizuri mbona kitu simple sana munapindisha mada.
Tujiulize tutaendelea kusifia vya wenzetu mpaka lini!? Basic plans tu za kufanya mtu afike nyumbani imetushinda!! Waziri anahangaika na vituo vya mafuta badala ya kuangalia tatizo lililopo mbele yetu!? Poor my countryUnajaambiwa miji mibaya tunapokosana kusema nzuri kuliko miji ya kisasa unaijua miji ya China wewe unajua Dubai
Yap.Daraja lililojengwa 1700 nalinatumika?.
Hivi unatuchukuliaje watu wa kasulu kwa mfanonaitwa Yohana Ndahazye kutoka Kasulu Kigoma.
nawomba kuwurisa swari,ngo hivi yinchi ya wuchina yipo humuhumu mwenye bara la Avrica au ipo hukohuko wuraya.
azaniteni.
Eti unasikia mtu kaenda Dubai kutalii! Ile natural environment huioni!Sijajuaga kwa Nini Watu wanaipenda Dubai
Londo bridge, kwa msaada wa Wikipedia.Daraja lililojengwa 1700 nalinatumika?.
Unaandika nini, Soma mada na hoja unaandika.Sikui hata kama shule ulienda na kama ulienda mtihani wa darasa la nne ulifaulu vipi?🙄
Umeuliza swali miji ya Asia ina majengo mareru kuliko ya ulaya. Kwa tafsiri yako miji yenye majengo marefu ni mizuri kuliko ya ulaya. Huo uzuri wewe umeuweka kwenye urefu wa majengo.
Wadau wamekufahamisha kwamba Ulaya miji yao ilijengwa miaka mingi sana na hawako tayari kuivunja kujenga majengo marefu ili iwe mizuri kwa mtazamo wako.
Pamoja na huo ufafanuzi bado hutaki kuelewa.