Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,403
- 1,837
Nimecheka sana.Nami pia nulingia JF Oct 14.2011wakati siasa zimepamba moto chini ya Dr Slaa katibu chadema.
Nilivyoingia nikawa mwerevu wa kujua mambo na kuzungumza mbele za watu MAKINIKIA yote nilikuwa nayachukuqa huku JF watu kitaani wakawa wananielewa hatari mpaka wazee.
Almanusura nigombee udiwani!!!
JF is never boring..!
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
hahahahahah so wewe unaogopa wasomi?
nauliza tu
Inasemekana wewe ni mod.. Kwiyo sema uliijua wakat we na wenzako mnaitengenezaNilijiunga kwa sababu ya kupata habari, kupata elimu, kupata burudani... Niliijulia kwenye simu yangu
But then i forgot it.. Till last year mwshonMi nliiona kwenye simu za watu nikawa naishangaa.. Badae nkajiuliza awa watu venye wanatumia jf mbona wanaonekana wanajua vitu vingi so nkaamua kujoin.. On 2015
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa katika bwana
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Kila binadamu hujiunga mtandao anaoupenda kwa wakati wake na sababu zake kuna wengine hujiunga mitandao fulan ili wapate mademu kwa urahis, wengine hujiunga ili watoe darasa na wengine ili wapige hela, hawa wanaopiga hela wana njia njia nyingi lakin wengi ni kutapel watu
Mimi nilijuanga humu ndan ili nipate kuchangia mambo fulan hasa ya din na siasa na wakati najiunga humu kipindi hicho mijadala ya din na siasa ilikuwa imepamba moto ile mbaya
Wapi niliijulia jamii forum niliijulia mozambiqe nikiwa nimekaa na masela sasa kuna jamaa mmoja alikuwa anajua vitu vingi sana kitendo kilichopelekea nimuulize wewe jamaa mambo haya huyatolea wapi jamaa alilinga kunambia lakin mwisho wa siku alinambia kuwa ni jamii forum hapo hapo nilianza kuitafuta jamii forum na kujiunga mazima
Nawe waweza sema kwanini ulijiunga na wapi kitu gan kilikushawishi
Nawasilisha
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa katika bwana
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Kila binadamu hujiunga mtandao anaoupenda kwa wakati wake na sababu zake kuna wengine hujiunga mitandao fulan ili wapate mademu kwa urahis, wengine hujiunga ili watoe darasa na wengine ili wapige hela, hawa wanaopiga hela wana njia njia nyingi lakin wengi ni kutapel watu
Mimi nilijuanga humu ndan ili nipate kuchangia mambo fulan hasa ya din na siasa na wakati najiunga humu kipindi hicho mijadala ya din na siasa ilikuwa imepamba moto ile mbaya
Wapi niliijulia jamii forum niliijulia mozambiqe nikiwa nimekaa na masela sasa kuna jamaa mmoja alikuwa anajua vitu vingi sana kitendo kilichopelekea nimuulize wewe jamaa mambo haya huyatolea wapi jamaa alilinga kunambia lakin mwisho wa siku alinambia kuwa ni jamii forum hapo hapo nilianza kuitafuta jamii forum na kujiunga mazima
Nawe waweza sema kwanini ulijiunga na wapi kitu gan kilikushawishi
Nawasilisha
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kumsahau mzizi mkavu,cute bHa ha mkuu kwenye simu wewe ni kama Mimi dah nilikuwa natumia Nokia express music! Kipindi hiko majina ya JF yalikuwa yakunitesa haswa kuyakariri kumchwa.
Watu maarufu ni Rejao sijui yuko wapi siku hizi, Mingoi sijui ni mwamke? Alikuwa akikwaruzana na makamanda wakawa wanamwiita wewe mama mingoi nenda katumbuize twang a pepeta.
The Boss yupo mpaka Leo! Maalim @kanah bingwa wa kutukana Christian.
2013 .
@khaatan
Katavi
@nguruv3 makamanda ulingo wa siasa kutoka Arusha Arushaone Mungi Mungu akupe maisha mareeefu!! Wengine majina ya menitoka since 2012
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Unajua makamanda wengi wamevunjika moyo baada ya Dr Wilbroad Ku resign na badae Edwad Lowassa kuukosa urais.Bila kumsahau mzizi mkavu,cute b
[Color= yellow]Triple A[/color]
Hao makamanda walikuwa na spirit ya madiliko kwa namna yeyote ile.Bila kumsahau mzizi mkavu,cute b
[Color= yellow]Triple A[/color]
Kabisa aisee af walichokaUnajua makamanda wengi wamevunjika moyo baada ya Dr Wilbroad Ku resign na badae Edwad Lowassa kuukosa urais.