Kwanini ulijiunga JamiiForums na uliijulia wapi?

Kwanini ulijiunga JamiiForums na uliijulia wapi?

Nami pia nulingia JF Oct 14.2011wakati siasa zimepamba moto chini ya Dr Slaa katibu chadema.
Nilivyoingia nikawa mwerevu wa kujua mambo na kuzungumza mbele za watu MAKINIKIA yote nilikuwa nayachukuqa huku JF watu kitaani wakawa wananielewa hatari mpaka wazee.

Almanusura nigombee udiwani!!!
JF is never boring..!

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Nimecheka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jf nilijua kupitia kwa rafik yang msichana.. na lengo kuu la kujiunga nilipenda sana jukwaa la MMU.. na best yangu aliniambia watu wanapata mwenza tena hata kama mim HIV+ naweza pata mwenza humu.. bac nikajiunga nikapata wenza weng nikachagua mmoja.. ukwel ckufanikiwa kufikia malengo yangu.. but naipenda sana JF inanitoa stress na upweke na smile kila nikiingia humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliijua JF kupitia kwa bro wangu, enzi hizo nipo Primary, na Ac yangu yakwanza nilijiunga nikiwa darasa lasaba,
Na nipo JF kama mwenyekiti wa Kambi ya kiumeni. OVA
 
Nilijiunga kwa sababu ya kupata habari, kupata elimu, kupata burudani... Niliijulia kwenye simu yangu
Inasemekana wewe ni mod.. Kwiyo sema uliijua wakat we na wenzako mnaitengeneza

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Mi nliiona kwenye simu za watu nikawa naishangaa.. Badae nkajiuliza awa watu venye wanatumia jf mbona wanaonekana wanajua vitu vingi so nkaamua kujoin.. On 2015

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Mi nliiona kwenye simu za watu nikawa naishangaa.. Badae nkajiuliza awa watu venye wanatumia jf mbona wanaonekana wanajua vitu vingi so nkaamua kujoin.. On 2015

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
But then i forgot it.. Till last year mwshon

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi niliingiA kuchukua siri mpya ila siku hizi zimepungua

kimeo
 
Advanced level 2010 mwanangu mmoja aliniambia wanaharakati wanapatikana huku.

Bas mzee simu za net za kuazima nikawa situlii maanan sana na Id nikasahau

2013 nikiwa chuo nikapata access ya net ndonikajiunga upya nikalisongesha.
 
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa katika bwana

Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu

Kila binadamu hujiunga mtandao anaoupenda kwa wakati wake na sababu zake kuna wengine hujiunga mitandao fulan ili wapate mademu kwa urahis, wengine hujiunga ili watoe darasa na wengine ili wapige hela, hawa wanaopiga hela wana njia njia nyingi lakin wengi ni kutapel watu


Mimi nilijuanga humu ndan ili nipate kuchangia mambo fulan hasa ya din na siasa na wakati najiunga humu kipindi hicho mijadala ya din na siasa ilikuwa imepamba moto ile mbaya


Wapi niliijulia jamii forum niliijulia mozambiqe nikiwa nimekaa na masela sasa kuna jamaa mmoja alikuwa anajua vitu vingi sana kitendo kilichopelekea nimuulize wewe jamaa mambo haya huyatolea wapi jamaa alilinga kunambia lakin mwisho wa siku alinambia kuwa ni jamii forum hapo hapo nilianza kuitafuta jamii forum na kujiunga mazima

Nawe waweza sema kwanini ulijiunga na wapi kitu gan kilikushawishi

Nawasilisha

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa katika bwana

Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu

Kila binadamu hujiunga mtandao anaoupenda kwa wakati wake na sababu zake kuna wengine hujiunga mitandao fulan ili wapate mademu kwa urahis, wengine hujiunga ili watoe darasa na wengine ili wapige hela, hawa wanaopiga hela wana njia njia nyingi lakin wengi ni kutapel watu


Mimi nilijuanga humu ndan ili nipate kuchangia mambo fulan hasa ya din na siasa na wakati najiunga humu kipindi hicho mijadala ya din na siasa ilikuwa imepamba moto ile mbaya


Wapi niliijulia jamii forum niliijulia mozambiqe nikiwa nimekaa na masela sasa kuna jamaa mmoja alikuwa anajua vitu vingi sana kitendo kilichopelekea nimuulize wewe jamaa mambo haya huyatolea wapi jamaa alilinga kunambia lakin mwisho wa siku alinambia kuwa ni jamii forum hapo hapo nilianza kuitafuta jamii forum na kujiunga mazima

Nawe waweza sema kwanini ulijiunga na wapi kitu gan kilikushawishi

Nawasilisha

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha mkuu kwenye simu wewe ni kama Mimi dah nilikuwa natumia Nokia express music! Kipindi hiko majina ya JF yalikuwa yakunitesa haswa kuyakariri kumchwa.
Watu maarufu ni Rejao sijui yuko wapi siku hizi, Mingoi sijui ni mwamke? Alikuwa akikwaruzana na makamanda wakawa wanamwiita wewe mama mingoi nenda katumbuize twang a pepeta.

The Boss yupo mpaka Leo! Maalim @kanah bingwa wa kutukana Christian.
2013 .
@khaatan
Katavi
@nguruv3 makamanda ulingo wa siasa kutoka Arusha Arushaone Mungi Mungu akupe maisha mareeefu!! Wengine majina ya menitoka since 2012

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Bila kumsahau mzizi mkavu,cute b

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Bila kumsahau mzizi mkavu,cute b

[Color= yellow]Triple A[/color]
Unajua makamanda wengi wamevunjika moyo baada ya Dr Wilbroad Ku resign na badae Edwad Lowassa kuukosa urais.
 
Unajua makamanda wengi wamevunjika moyo baada ya Dr Wilbroad Ku resign na badae Edwad Lowassa kuukosa urais.
Kabisa aisee af walichoka
Sana pale lowassa nae alvokosa
Hiki kiti

Masai dada cjui ako wap aisee

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Sikumbuki niliijulia wapi


ila nimejikuta tu naitumia baada ya form 6

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Ilikuwa kama 2009 hivi nilikuwa na sim ya nokia flani hivi very smart nikawa nagoogle masuala ya kazi ikaja link ya jamii kupita nikaona watu wanachangia kwa weledi kweli basi nami nikaamua kuanza kuingia kama guest hadi 2010 nilipoingia rasmi kama member

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa aisee af walichoka
Sana pale lowassa nae alvokosa
Hiki kiti

Masai dada cjui ako wap aisee

[Color= yellow]Triple A[/color]
Cc: Maasai Dada popote ulipo mic u..! Hii team ilikuwa imekamilika bila kumsahau Nifah
 
Dah.... Mie nilijulia Uganda wakati wa vita vya kumg'oa Nduli mwaka 1978[emoji13] [emoji41]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
 
Back
Top Bottom