Hapana mimi sio moderator..ni story zilizozagaa tu mkuu
Oky bas sawa nimekuelewa mkuuHapana mimi sio moderator..ni story zilizozagaa tu mkuu
Hii media ni noma mkuuNi sosho midia pekee ninayoiadimaya kuliko zoote, nilijiunga kupata hoti nywuzi toka kwa greti thinkazi baada ya kumsikia kaka yangu akiizungumzia mara kwa mara
Poa sana mkuu
Kwa bahati mbaya sikupata kupitia JF
mi nilionyeshwa na roho mtakatifu kuwa nikija Jf mambo yangu yatanyooka, na kweli tangu niijue Jf sasa nimekuwa mtu mwingine kabisa!Hata sikumbuki ila nilijikuta nipo JF.
Namtumbo baby.
Hahahahaha hamna namna kwa kweli
Kumbe we jamaa una umri mdogo hvyo..!Niliijua tokea tumbon mwa mama angu nahisi alikua mtumiaji wa jf