heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Huendi mbinguniNimeshindwa Mimi. Demu aninyee hapana
Na athari zake ni kubwa mno , watu mpaka wanaweza viginzi vya mahindiMimi binafsi na huu uchakataji wangu wote sijawahi kufanya kitendo kisicho na stara kama hicho ata mara moja,
ingawa nilishapitia vikwazo na changamoto kadhaa kwa baadhi ya wanawake waliotaka nifanye hivyo kwa wao kama wao tena waking'ang'ania kabisa na bado nilikataa,
Nilikuwa najiuliza sana kwa nini nimuingilie kinyume na maumbile? Kuna kitu gani Extra ambacho nitakipata huko na kwenye papuchi nitakosa?
Nikaona hamna wacha nionekane mshamba , sitaki kusikia hayo mambo na demu akileta za kuleta kutaka kunibinulia binulia tako lake ili nimfyatue kinyume chake anakutana na banzi,
On that time namzaba kofi la tako na kupiga chini asepe zake?
Kwa nini umuingilie mwanamke kinyume na Maumbile,?
Ok sawa wengine wanapenda wenyewe lakini kwa nini wengine muwalazimishe wenza wenu kuwaingilia kinyume nyume kwa sababu tu unajua Tayari anakupenda na hawezi kukataa kwa nini?
Bado natafakari sana je ukishamaliza kufyatua Nyuma yake bado unakuwa na ujasiri wa kutazamana nae Usoni kuongea na kufeel hisia zake?
Cc Zero IQ
Zaidi soma : Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo
watu wanafiki snaUmenichekesha ulivyomalizia huzi wako,eti walalamikaji wamejazana alafu wahusika wapo kimya,Yaani kama tukio halijawai fanyika Duniani humu!!!
kama hawaoni vileWanajifanya hawapo.
Story gan hyoJamaa yangu juzi kanipa story nikamchana aache, sio poa!!
[emoji3][emoji3][emoji3]Nyuma kutam sana..asikwambie MTU..ni asali haswaa...tena ukute mke wa mtu! Loh loh.....
Sasa hadi hapo una la kumhoji tena lbd mpe ukiranja ,mkuu we kama ke unapenda kuingiziwa kwani?😊
Kuna watu mna dhambia aisee kumzidi shetwainKuna dem alikuwa ananisumbua sana ,kila mda anataka tuwe pamoja,nikaona njia pekee ni kumla Tigo, nilivyomla akaanza kulalamika kwa nn nimemfanyia hivyo ,nikamwomba samahanj, akasema anaomba tuachene nikamwambia poa, akapotea ,baada ya miezi kama 5 akanitafuta akaniambia amemisi penzi langu ,nikamwambia aje kama yupo tayari kunipa nyuma , mbele ananipa Mke Wangu ,hivyo sitaki anipe mbele akagoma
Afadhali umuoe unayemtoa bikra kwa mpalange wewe mwenyewe,Anataka nimtoe bikra kwa mpalange!.
Yamenikuta jana j3.. Sijui hawa Wanawake wakikutana wanaambizana nin kuusu kwa mpalange!.. Jana baada ya ku nyanduana na Shem wenu.. Baadae tulivyokua tunachat akaanza kuleta mada za kwa mpalange et next time tukimeet! Nimle jicho nikamwambia icho kitu hakiwezekan! Nikamwambia hasara lukuki ambazo zitasababishwa na tendo ilo za ki binadamu na kiimani!. Akawa ana force tu nimkubalie. nikamwambia nitakujibu.. Alitaka kuja kesho j5 Nikampiga stop aje alhamis.. & ijumaa..
Wanawake siku iz sijui wana nin alafu ndio anatka nimuoe uyu mm naanzaje kuoa machiz kama awa. uyu demu ukimuona ni wife material kabisa yuko vizul mzul wa sura mzur wa umbo. Anapiga kazi taasis flan kubwa kubwa tu tz. Ila kumbe kichwan kumejaa matope.. Imani tu ndio itaniokoa katka hil naamin nitashinda.
Note
Huyu mdada namjua sana sana. So kusema kwamba hii michezo ya kwa mpalange kaanza kitambo ni BIG NO!. Nadhan story wanazopiga wakikutana wao kwa wao na yaliyomitandaoni kuus kwa mpalange ndio yanampelekesha uyu bibie.. Siko tayalView attachment 1720751