Kwanini umuingilie mwenza wako kinyume na maumbile?

Kwanini umuingilie mwenza wako kinyume na maumbile?

Habari wakuu ..Kwanza natumain ni wazima na munaendelea na Kaz za kuliletea taifa maendeleo chanya.

Kwa jinsi navyowajua ,mmekuwa washauli wazuri wa mambo mbali mbali hasa inapotekea Jambo linalomtatiza mtu na kimsingi ktk hili mbalikiwe.

Mimi katika hatua za ujana Niko kat kwa Kati siyo mzee ,mtoto, Wala kijana. Just middle.

Nina kamdada tunafanyaga vya michezo ya kikubwa na tulikutana kwa dhalura na mm nikaamin nidhalura kabisa kabisa ila pole pole nikaanza kumpenda ingawa sikuamin kama tutafika huku tuliko nilijua ni shoo ya siku moja tunaachana.

Katika mazoea haya tumeanza mpaka kulala pamoja siku mbili anaondoka kwao kutokana mie sikai pamoja kutokana na Kaz nayoifanya so inamubidi aondoke kwao pia hatujaongea mambo ya kukaa pamoja.

Jana na juz ucku amenilazimisha nimuwekee vya nyuma yaan kinyume na maumbile Sasa nikagoma coz nahis kinyaa na siyo maadili na yangu kidini pia. Leo ameniandikia sms baada ya kwenda yaan baada kutoka kwangu kuwa Kama siwez hivo bac ananiacha na mm sitaki kumpoteza kutokana na ananifanya nijisikie kuwa Niko Duniani ila hili moja ndio Lina nishinda kwake na siwez ,natumia njia gani ili nibaki kuwanae Bila kushiriki huo ushenzi anaoniambia.


Nitashukuru kwa ushauli.
Mkuu niuzie namba huyo hakufai
 
Wanaofanya hicho kitendo mara nyingi hutegemea labda kuna kitu kipya watakipata na badala yake majibu huwa ni kinyume na matarajio. Wengine huishia kujuta majuto makubwa sana na wengine huridhishwa na kani ya usumaku wanayoipata! Yote kwa yote kwa mtazamo wangu naona ni ujinga mkubwa sana kufanya hivyo.
" kani ya usumaku" uliiota ndotoni mkuu?[emoji2]
 
Katika Site 10 zinazotembelewa sana Duniani site 5 ni za ngono. Na ktk hzo site category inayoongozwa kwa kutafutwa ni ANAL sex lakini ukija kuuliza watu je unaangaliaga porn 95% watakwambia hawaangalii sasa jiulize hawa 5% ndo wanatumia internet peke yao na kuvunja record ya kufanya site za porn kuwa na traffic kubwa?

Sikia ukitaka ushauri wa hili jambo huwezi kupata majibu coz ni kama biashara haramu hakuna anayekili kuifanya ,watu unaowauliza wengi wao aidha wanafanya au walifanya au walishashawishiwa kufanya au wanatamani kufanya au wanajamaa au ndugu zao wanafanya lakini hakuna atakayekili au kukwambia kulingana na uzoefu wake ktk hili kila mtu atajifanya hajawai,hapendi lakini kwenye kuta nne huko ambako kuna VPN kubwa kuliko zote wanauzoefu mkubwa sana.

Kupambana na hili swala ni kutokulizungumzia tu coz mnapolipa airtime ndo mnafanya watu walitamani au kutaka kulijua au kushawishika kumbuka bidhaa inayotangazwa sana ndo bidhaa yenye nafasi kubwa kufanya vizuri sokoni .
Una akili sana mkuu
 
Anal sex is overrated
Binafsi nikitaka kuona kuna raha gani, nilikutana na mwanamke pia anayetaka kuona kuna raha gani, akanipa kinyeo
Tukapachika.

Wa pili, nilimshawishi, tukapachika

Majibu, sijaona cha ajabu zaidi ya kuogopa kutoana vinyesi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....Mchafu wewe.
 
Wanawake wamezidi kutamanishia mat*ko ndio maana watu hujiwa na fikra ya kutaka kukionja kilichopo katikakati ya mat-ko.
Tuwaulize wanawake wanaotoa huu mtandao 071 wanajisikiaje kugawa kwa mpalange.
 
Back
Top Bottom