Kwanini umuingilie mwenza wako kinyume na maumbile?

Kwanini umuingilie mwenza wako kinyume na maumbile?

Habari wakuu ..Kwanza natumain ni wazima na munaendelea na Kaz za kuliletea taifa maendeleo chanya.
Kwa jinsi navyowajua ,mmekuwa washauli wazuri wa mambo mbali mbali hasa inapotekea Jambo linalomtatiza mtu na kimsingi ktk hili mbalikiwe.
Mimi ktk hatua za ujana Niko kat kwa Kati siyo mzee ,mtoto, Wala kijana. Just middle.

Nina kamdada tunafanyaga vya michezo ya kikubwa na tulikutana kwa dhalura na mm nikaamin nidhalura kabisa kabisa ila pole pole nikaanza kumpenda ingawa sikuamin kama tutafika huku tuliko nilijua ni shoo ya siku moja tunaachana.

Ktk mazoea haya tumeanza mpaka kulala pamoja siku mbili anaondoka kwao kutokana mie sikai pamoja kutokana na Kaz nayoifanya so inamubidi aondoke kwao pia hatujaongea mambo ya kukaa pamoja.
Jana na juz ucku amenilazimisha nimuwekee vya nyuma yaan kinyume na maumbile Sasa nikagoma coz nahis kinyaa na siyo maadili na yangu kidini pia. Leo ameniandikia sms baada ya kwenda yaan baada kutoka kwangu kuwa Kama siwez hivo bac ananiacha na mm sitaki kumpoteza kutokana na ananifanya nijisikie kuwa Niko Duniani ila hili moja ndio Lina nishinda kwake na siwez ,natumia njia gani ili nibaki kuwanae Bila kushiriki huo ushenzi anaoniambia.


Nitashukuru kwa ushauli.
Eti siyo maadili yangu na kidini pia,kwani hilo unalolifanya ni nani kakwambia kuwa ni maadili ya kidini,au kuna dini inayoruhusu zinaa..?
 
Vip habar za kishirikina anazokuambia mnk naona kbsa kuwa unaelezea tu upande mmoja wa kuf...Rana je mambo gani ya kishirikina anakuuelezzea
 
Habari wakuu ..Kwanza natumain ni wazima na munaendelea na Kaz za kuliletea taifa maendeleo chanya.

Kwa jinsi navyowajua ,mmekuwa washauli wazuri wa mambo mbali mbali hasa inapotekea Jambo linalomtatiza mtu na kimsingi ktk hili mbalikiwe.

Mimi katika hatua za ujana Niko kat kwa Kati siyo mzee ,mtoto, Wala kijana. Just middle.

Nina kamdada tunafanyaga vya michezo ya kikubwa na tulikutana kwa dhalura na mm nikaamin nidhalura kabisa kabisa ila pole pole nikaanza kumpenda ingawa sikuamin kama tutafika huku tuliko nilijua ni shoo ya siku moja tunaachana.

Katika mazoea haya tumeanza mpaka kulala pamoja siku mbili anaondoka kwao kutokana mie sikai pamoja kutokana na Kaz nayoifanya so inamubidi aondoke kwao pia hatujaongea mambo ya kukaa pamoja.

Jana na juz ucku amenilazimisha nimuwekee vya nyuma yaan kinyume na maumbile Sasa nikagoma coz nahis kinyaa na siyo maadili na yangu kidini pia. Leo ameniandikia sms baada ya kwenda yaan baada kutoka kwangu kuwa Kama siwez hivo bac ananiacha na mm sitaki kumpoteza kutokana na ananifanya nijisikie kuwa Niko Duniani ila hili moja ndio Lina nishinda kwake na siwez ,natumia njia gani ili nibaki kuwanae Bila kushiriki huo ushenzi anaoniambia.


Nitashukuru kwa ushauli.
Mfile tu bro, sianataka
 
Wazanzibar na watu wa pwani wanawafanya sana wake zao...bisha!
 
Wanaume tuna asili ya kupenda kujaribu kila kitu na hasa kwa mada kama hizi sio nzuri kabisa kwa kijana kwani huchochea ubongo wake kutaka kujaribu kunaniiiii mbona watu waongelea sana huko kwa mpalangeee!?na kisha kijana huyo kujisemea em ngoja nijaribu, sasa ipo hivi kuna vitu vingine havijaribiwi ukijaribu unakuwa mraibu. na mjaribuji na mjaribiwaji wote wanakuwa waraibu kama ilivyo kwa madawa ya kulevya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom