Kwanini umuingilie mwenza wako kinyume na maumbile?

Wanaofanya hicho kitendo mara nyingi hutegemea labda kuna kitu kipya watakipata na badala yake majibu huwa ni kinyume na matarajio. Wengine huishia kujuta majuto makubwa sana na wengine huridhishwa na kani ya usumaku wanayoipata! Yote kwa yote kwa mtazamo wangu naona ni ujinga mkubwa sana kufanya hivyo.
 
wanasema kwa mpalange kuna jooooto kwa sauti ya Neywa mitego
 
Katika Site 10 zinazotembelewa sana Duniani site 5 ni za ngono. Na ktk hzo site category inayoongozwa kwa kutafutwa ni ANAL sex lakini ukija kuuliza watu je unaangaliaga porn 95% watakwambia hawaangalii sasa jiulize hawa 5% ndo wanatumia internet peke yao na kuvunja record ya kufanya site za porn kuwa na traffic kubwa?

Sikia ukitaka ushauri wa hili jambo huwezi kupata majibu coz ni kama biashara haramu hakuna anayekili kuifanya ,watu unaowauliza wengi wao aidha wanafanya au walifanya au walishashawishiwa kufanya au wanatamani kufanya au wanajamaa au ndugu zao wanafanya lakini hakuna atakayekili au kukwambia kulingana na uzoefu wake ktk hili kila mtu atajifanya hajawai,hapendi lakini kwenye kuta nne huko ambako kuna VPN kubwa kuliko zote wanauzoefu mkubwa sana.

Kupambana na hili swala ni kutokulizungumzia tu coz mnapolipa airtime ndo mnafanya watu walitamani au kutaka kulijua au kushawishika kumbuka bidhaa inayotangazwa sana ndo bidhaa yenye nafasi kubwa kufanya vizuri sokoni .
 
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Naapa kupitia uzi huu sifanyi tena uhayani huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…