Siyo kwamba hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu bali hawataki tu kukubali hadharani kuwa Mungu yupo.....Mkuu
Upo sahihi,inashangaza wanasayansi huiga hutengeneza vitu kwa kuiga viumbe hai,lakini wanakataa kuwepo kwa original designer
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Kwahyo ukifanya hivo ndio utakuwa ushahidi kwamba Mungu yupo? [emoji1]Umeshawahi kushindana gumbo lako na kujizuwia usinye au usikojoe?
Bahati mbaya sana ni kwamba umeshafafanuliwa kwenye post uliyoinukuu kuhusu makosa ya kumuweka Mungu na sababu nyingi tu umepewa lakini swali lako hili ambalo linaonesha makosa yale yale ya kimantiki yaliyosababisha ukapewa maelezo hayo hapo kwenye hiyo post uliyoinukuu either umeshindwa kuielewa au umeelewa lakini hutaki kuelewa au zaidi kabisa huna uwezo wa kuelewa.....Mungu kama yupo,hana haja ya kujificha inabidi ajidhihilishe tu aseme alitoka wapi na yuko wapi.
Jibu swali nililouliza.Kwahyo ukifanya hivo ndio utakuwa ushahidi kwamba Mungu yupo? [emoji1]
Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Kigagula upoJibu swali nililouliza.
Maana halisi ya kuwaaminisha watu kuwa hakunaSiyo kwamba hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu bali hawataki tu kukubali hadharani kuwa Mungu yupo.....
Hawa wana ajenda yao.....
Hahahahahahahaaaa......Kigagula upo
Binafsi ninakuelewa sana unaposema "hawa watu wanamjua Mungu vizuri" kwasababu nishafanya utafiti sana tu na wao wako upande mwingine wa Shetani na hili lipo wazi kwa yoyote anayetaka kuujua ukweli na afanye tafiti....Maana halisi ya kuwaaminisha watu kuwa hakuna
Mungu,
Ni kuwashawishi watu waamini kuwa hakuna
dhambi.
Hivyo kuwashawishi watu wafanye dhambi yoyote bila woga wowote, kwani hakuna Shetani, hakuna Motoni, hakuna Mbinguni, ndio maana halisi ya neno hakuna chochote.
Nia ni kuwaunganisha watu kwenye adhabu ya mauti na Shetani siku za
mwisho.
Hii ni kampeni ya Shetani mwenyewe, maana alipofukuzwa mbinguni alimwahidi Mungu kuwa atawashawishi watu wengi sana wawe upande wake kuzidi wa upande
wa Mungu.
Hao watu wanamjua vizuri sana Mungu, ila wameshatekwa na kujiunganisha na Ibada za Shetani kwa viapo vizito vya makafara.
Hapo wanaona aibu tu kumsifia waziwazi Shetani, badala yake ndio wanasema hayo maneno ya kumdhihaki Mungu.
Ukisha wajua hawakusumbui maana wako kazini.
Habari ndiyo hiyo.
Ha..ha..haBinafsi ninakuelewa sana unaposema "hawa watu wanamjua Mungu vizuri" kwasababu nishafanya utafiti sana tu na wao wako upande mwingine wa Shetani na hili lipo wazi kwa yoyote anayetaka kuujua ukweli na afanye tafiti....
Karibia wanasayansi wengi ni waumini wa dini lakini ni waumini wa dini ambazo zinampa utukufu huyo kiumbe hatari kabisa ambaye watu wanamchukulia kawaida sana vijana wa mjini wanasema "wanamchukulia poa"....
Hata wewe pia unaweza ukawa hujaelewa na haujawahi kuelewa cha msingi leta ushahidi wa maswala.Bahati mbaya sana ni kwamba umeshafafanuliwa kwenye post uliyoinukuu kuhusu makosa ya kumuweka Mungu na sababu nyingi tu umepewa lakini swali lako hili ambalo linaonesha makosa yale yale ya kimantiki yaliyosababisha ukapewa maelezo hayo hapo kwenye hiyo post uliyoinukuu either umeshindwa kuielewa au umeelewa lakini hutaki kuelewa au zaidi kabisa huna uwezo wa kuelewa.....
Mara nyingi sana huwa ninawaeleza watu wenye maswali kama yako kuwa hawaelewi Mungu ni nani/nini na ndiyo maana wanauliza maswali ambayo yana makosa....
Watu hawajui kuwa kuna maswali yenye makosa,wanadhani majibu pekee tu ndiyo hukosewa wakati siyo sahihi.....
Naaamini unachokisema...Maana halisi ya kuwaaminisha watu kuwa hakuna
Mungu,
Ni kuwashawishi watu waamini kuwa hakuna
dhambi.
Hivyo kuwashawishi watu wafanye dhambi yoyote bila woga wowote, kwani hakuna Shetani, hakuna Motoni, hakuna Mbinguni, ndio maana halisi ya neno hakuna chochote.
Nia ni kuwaunganisha watu kwenye adhabu ya mauti na Shetani siku za
mwisho.
Hii ni kampeni ya Shetani mwenyewe, maana alipofukuzwa mbinguni alimwahidi Mungu kuwa atawashawishi watu wengi sana wawe upande wake kuzidi wa upande
wa Mungu.
Hao watu wanamjua vizuri sana Mungu, ila wameshatekwa na kujiunganisha na Ibada za Shetani kwa viapo vizito vya makafara.
Hapo wanaona aibu tu kumsifia waziwazi Shetani, badala yake ndio wanasema hayo maneno ya kumdhihaki Mungu.
Ukisha wajua hawakusumbui maana wako kazini.
Habari ndiyo hiyo.
Endelea kuota mkuu...Mungu yupo ?
Anakaa wapi ?
Anakula chakula gani? ..majani,nyama au mchanganyiko tu
Ana umri gani ?
Analala na kuamka saa ngapi?
Huwa anaoga ?
Ukweli wa jambo haupatikani sababu tu linaungwa mkono na 99% ya watu...
Cha ajabu wanaomini uwepo wa Mungu ndo vinara wa maovu,kutukana,kuingia Jukwaa la Wakubwa(X) humu Jf,utapeli na wizi,unafiki,ugomvi,kukashifiana wao kwa wao(Waislamu V Wakristo) n.k
What a stupidity ?
Mimi naamini katika upendo na kutomfanyia mtu jambo baya ila siamini hili ni dhambi na lile siyo dhambi hivyo nakunywa pombe,nazini n.k sababu tu simkwazi au kumdhuru mtu
Maandiko si yameandikwa samehe 7 X 70 hivyo kama ni ya kweli basi tusio amini uwepo wake tutasamehewa hata 500 X 700,000
Shida ipo wapi ?
Duuu hii kubwa,yaani hata maumbile ya binadamu tumboni hayakupi maono kuwa kuna Mkuu wa kuumba na ni msimamizi wa uhai na ndie alive dhibiti siri ya umauti wa kila mmoja we tu .Hivi ninani anapenda kufa? Kwa mini hakuna anayedhibiti uhai wake,pamoja na sababu zote za uhai kuwepo bado binadamu ana decay na kutoweka duniani bila ya mapenzi take,tens kila mmoja ana kufa kwa aina take tofauti na mwengineUkiangalia jinsi mambo yalivyo kwa undani,kuhusu miti,wadudu,wanyama,ndege,binadamu,bahari,anga,upepo,madini nk...utagundua kua Mungu hayupo kabisa
Kama Mungu yupo inabidi aseme yeye chanzo chake ni nini?
Mana mpaka leo...watu wa dini hawajui Mungu/Allah alitoka wapi,lakini pia wanasayansi nao hawajui chanzo cha sayari na nyota na viumbe vingine.
Kwa ufupi mpaka sasa hakuna taarifa sahihi kuhusu Mungu na Dunia
Miongo mingi ilipita kabla ya binadamu kuwepo hali kukiwa na viumbe anuwai katika ardhi,mifumo ya viumbe,gelogia na kutegemeana kwao (heredity ) inaonesha kuwa yuko msimamizi na mastermind wa hii dunia.Lakini msimamizi wa dunia ambae ndie mmiliki anaiendesha dunia kwa utashi na mfumo wake aliopendezwa nao,na sio tupendavyo sisi.Mtu bila Mungu ni Atheist, Mungu bila mtu hakuna kitu.
Kwahiyo Mungu yupo kwa sababu watu wapo na siyo kinyume chake.
Mungu ni fikra za kibinadamu na siyo kitu halisi.
Hayo maswali yako 5 ya juu ni kiboko!Mungu yupo ?
Anakaa wapi ?
Anakula chakula gani? ..majani,nyama au mchanganyiko tu
Ana umri gani ?
Analala na kuamka saa ngapi?
Huwa anaoga ?
Ukweli wa jambo haupatikani sababu tu linaungwa mkono na 99% ya watu...
Cha ajabu wanaomini uwepo wa Mungu ndo vinara wa maovu,kutukana,kuingia Jukwaa la Wakubwa(X) humu Jf,utapeli na wizi,unafiki,ugomvi,kukashifiana wao kwa wao(Waislamu V Wakristo) n.k
What a stupidity ?
Mimi naamini katika upendo na kutomfanyia mtu jambo baya ila siamini hili ni dhambi na lile siyo dhambi hivyo nakunywa pombe,nazini n.k sababu tu simkwazi au kumdhuru mtu
Maandiko si yameandikwa samehe 7 X 70 hivyo kama ni ya kweli basi tusio amini uwepo wake tutasamehewa hata 500 X 700,000
Shida ipo wapi ?
Una uhakika upi kwamba Mungu ndiye aliyeumba hii dunia na vyote vilivyomo?Miongo mingi ilipita kabla ya binadamu kuwepo hali kukiwa na viumbe anuwai katika ardhi,mifumo ya viumbe,gelogia na kutegemeana kwao (heredity ) inaonesha kuwa yuko msimamizi na mastermind wa hii dunia.Lakini msimamizi wa dunia ambae ndie mmiliki anaiendesha dunia kwa utashi na mfumo wake aliopendezwa nao,na sio tupendavyo sisi.
Mifumo (ecosystem) inaonesha wazi ufundi na usanii Mkubwa wa muumba ambaye ndiye mungu,na hakuna mwingine aliyedai umiliki na uendeshaji wa ulimwengu.
Post sent using JamiiForums mobile app
Mwongozo wa viumbe wengine ni upi??? Manake unadai hauwezi kuletwa duniani bila mwongozo.Mungu yupo kwa ushahidi huu wakimazingira uwepo wa mbingu na ardhi, usiku na mchana, mke na mume, majini na nnchi kavu, wanyama na mimea, ndege na wadudu, wanaadam na majini. Ushahid Surat n'nabai (78:8) m/mungu anasema "na nimekuumbeni kwa jozi" hakika ni ushahidi tosha kuwa sote tumetoka kwa Allah. Kuhusu yy kama tunataka kumjua zaid, Surat Al-iqlas sura ya 112 m/mungu anasema "yy ni wapekee, yy ndio mkusudiwa, hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hana mfanoe", kumbuka Qur'an an ni ujalizo wa Taurat, Zaburi na Injili vyote ni vitabu vya mungu vilivyo teremshwa kwa mitume wake Daud, Mussa, Issa, a.s na mtume Muhammad s.a.w iwe muongozo kwa wanaadam huwez letwa duniani bila muongozo, kama unapo nunua gari au chombo chochote cha electronic utapewa muongozo vip utumie so Allah ndio katuletea hii miongozo hata ukipinga mungu hayupo utashindwa pinga maut basi kubali mungu yupo na kuna maisha baada ya maut wabilah tawfiq m/mungu mjuzi zaid.
Watajua kimetengenezwa kama terminology ya kutengeneza inaexist kwao... maana yake na wao pia watakuwa wanatengeneza.... kama watakosa hicho kitendo hawatajua katu.!!!!!
hivi kwamfano binadamu akituma chombo anga za mbali sana hlf asiweke kitu chochote kitakachotambulisha kuwa hicho kifaa kimetengenezwa na binadamu kwa bahati nzuri au mbaya kifaa hicho kikashikwa na viumbe wengine huko anga za mbali je,hao viumbe watajua kuwa kifaa hicho kimetengenezwa na binadamu..?