data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Ewe admin,
Labda mtoto wako anaoa, anagraduate, kipaimara, au la shule huko, hivi kwanini una muadd mtu tu bila taarifa? Yaani nani kakwambia kwamba I'm interested in groups' chat?
Halafu nani kawaambieni nyinyi maadmin kwamba ukimuadd mtu then akaleft hataki shirikiana nanyi? Kwani ukishanipa taarifa ya tukio haitoshi? Must you add me? Please!
Nimekuwa added kwa group nikaleft. Baada kila ya kuturn on data nakutana na messages 100+ huko halafu hazina maana. Napigiwa simu eti mbona nimeleft?!
Come on you admins, YOU NEED TO MAN & GROW UP.
OVER.
Labda mtoto wako anaoa, anagraduate, kipaimara, au la shule huko, hivi kwanini una muadd mtu tu bila taarifa? Yaani nani kakwambia kwamba I'm interested in groups' chat?
Halafu nani kawaambieni nyinyi maadmin kwamba ukimuadd mtu then akaleft hataki shirikiana nanyi? Kwani ukishanipa taarifa ya tukio haitoshi? Must you add me? Please!
Nimekuwa added kwa group nikaleft. Baada kila ya kuturn on data nakutana na messages 100+ huko halafu hazina maana. Napigiwa simu eti mbona nimeleft?!
Come on you admins, YOU NEED TO MAN & GROW UP.
OVER.