Kwanini unamuingiza mtu kwenye kundi (group) bila ridhaa yake?

Kwanini unamuingiza mtu kwenye kundi (group) bila ridhaa yake?

Wakiku add kwenye jukwaa la wakubwa hata bila ridhaa yako hulalamiki...

Unapitia maudhui kimya kimya na last seen unaficha kabisa...
 
Ewe admin,

Labda mtoto wako anaoa, anagraduate, kipaimara, au la shule huko, hivi kwanini una muadd mtu tu bila taarifa? Yaani nani kakwambia kwamba I'm interested in groups' chat?

Halafu nani kawaambieni nyinyi maadmin kwamba ukimuadd mtu then akaleft hataki shirikiana nanyi? Kwani ukishanipa taarifa ya tukio haitoshi? Must you add me? Please!

Nimekuwa added kwa group nikaleft. Baada kila ya kuturn on data nakutana na messages 100+ huko halafu hazina maana. Napigiwa simu eti mbona nimeleft?!

Come on you admins, YOU NEED TO MAN & GROW UP.

OVER.
Ungetisha zaizi baada ya kuleft unamblock huyo bwege alokuunga.
 
Pamoja na kwamba kuungwa kwenye groups bila taarifa inakera lakini kuungwa kwenye groups na nia yao utoe pesa ni shida kubwa.Watu wamepigika wanawaza Januari itakuchaje,halafu mtu anakuja kisanii kutaka pesa.
Kuna uzi mmoja ulichangiwa unaohusu sherehe binafsi hasa harusi,komunio,ubatizo,kipaimara nk.Tulitoa mawazo kwamba sherehe hizi haziji ghafla kama misiba.Watu wenye hizo shughuli wajipange kifedha na wahudumie sherehe zao.Watumie hata mwaka mzima kujipanga.Zamani haya mambo hayakuwepo.Dunia inakua halafu sisi tunarudi nyuma?Tuchangiane vitu vya msingi kama vile elimu za watoto wetu.Tuache kusumbuana.
 
Ewe admin,

Labda mtoto wako anaoa, anagraduate, kipaimara, au la shule huko, hivi kwanini una muadd mtu tu bila taarifa? Yaani nani kakwambia kwamba I'm interested in groups' chat?

Halafu nani kawaambieni nyinyi maadmin kwamba ukimuadd mtu then akaleft hataki shirikiana nanyi? Kwani ukishanipa taarifa ya tukio haitoshi? Must you add me? Please!

Nimekuwa added kwa group nikaleft. Baada kila ya kuturn on data nakutana na messages 100+ huko halafu hazina maana. Napigiwa simu eti mbona nimeleft?!

Come on you admins, YOU NEED TO MAN & GROW UP.

OVER.
Jana tu kuna mtu kaniunga kwenye group sijui la afya bila raarifa. Nika left.
 
kwenye setting kuna sehemu ya kupiga pin ujinga wote unao fanana na huo,binafsi sipendi magroup yasokuwa na kichwa na mkia mbaya zaidi mtu anakuadd bila taarifa
unaweza kuta hata hamna mazoea yoyote yani
 
mtoto wako anagraduate, eti ubarikio, kumunio, kipaimara kisha unataka watu wakuchangie ili iweje? Mambo ya ajabu kabisa

Jamani
Siku hizi kuna mpaka michango ya birthday Za Watoto
 
Mbona sio big deal mkuu, si una-left tu kwani shida inakua wapi?
 
Ewe admin,

Labda mtoto wako anaoa, anagraduate, kipaimara, au la shule huko, hivi kwanini una muadd mtu tu bila taarifa? Yaani nani kakwambia kwamba I'm interested in groups' chat?

Halafu nani kawaambieni nyinyi maadmin kwamba ukimuadd mtu then akaleft hataki shirikiana nanyi? Kwani ukishanipa taarifa ya tukio haitoshi? Must you add me? Please!

Nimekuwa added kwa group nikaleft. Baada kila ya kuturn on data nakutana na messages 100+ huko halafu hazina maana. Napigiwa simu eti mbona nimeleft?!

Come on you admins, YOU NEED TO MAN & GROW UP.

OVER.
Hii imenitokea niungwa kwenye group la ujenzi na kupangisha Nyumba bila ya ridhaa yangu tulipo mhoji admin katoa wapi number zetu kalifunga group hauruhusiwi kutuma sms yoyote, basi ni kiji toa tu, ustaarabu ni hekima kubwa.
 
Back
Top Bottom