Kwanini unapaswa kununua bond au Hati fungani ya NMB?

Kwanini unapaswa kununua bond au Hati fungani ya NMB?

hebu tuelimishane. nini maana ya kusema bond ime mature/iva? baada ya muda gani unaweza toa pesa zote? vipi kampuni ikifilisika? hizi za makampunii na serikali zipi nzuri?
 
hebu tuelimishane. nini maana ya kusema bond ime mature/iva? baada ya muda gani unaweza toa pesa zote? vipi kampuni ikifilisika? hizi za makampunii na serikali zipi nzuri?
Kumature ni wakat wanapo kurudishia uwekezaji wako, ila hiyo interest ya asilimia 13 ndio annual return, ambayo wanakupa kila baada ya miez 6, kwa hiyo utakuwa unalipwa kila baada ya miez 6 kwa miaka mitatu ambapo ndio wanarudisha mtaji.
Kwa nchi zilizoendelea hizo corporate bond huwa zinafanyiwa rating ili kutoa credit quality, yaan kunakuwa na taasis ambazo zinatoa credibility ya usalama wa uwekezaji, kwa hiyo wanafanya grading ili mwekezaji upime risk.
Serikali ni risk free lakin return huwa inakuwa iko chin kidogo kulinganisha na privates sababu ya risk premium. Siandiki kukatisha tamaa au kuharibu hilo tangazo la The boss ila hiyo return inatakiwa kuwa juu ya return za serikal zenye maturity kama hiyo kwa maana ya medium term treasury bonds.
 
Kumature ni wakat wanapo kurudishia uwekezaji wako, ila hiyo interest ya asilimia 13 ndio annual return, ambayo wanakupa kila baada ya miez 6, kwa hiyo utakuwa unalipwa kila baada ya miez 6 kwa miaka mitatu ambapo ndio wanarudisha mtaji.
Kwa nchi zilizoendelea hizo corporate bond huwa zinafanyiwa rating ili kutoa credit quality, yaan kunakuwa na taasis ambazo zinatoa credibility ya usalama wa uwekezaji, kwa hiyo wanafanya grading ili mwekezaji upime risk.
Serikali ni risk free lakin return huwa inakuwa iko chin kidogo kulinganisha na privates sababu ya risk premium. Siandiki kukatisha tamaa au kuharibu hilo tangazo la The boss ila hiyo return inatakiwa kuwa juu ya return za serikal zenye maturity kama hiyo kwa maana ya medium term treasury bonds.
shukrani kwa elimu mkuu.
 
Nilipita NMB mliman city nikapata elimu ya hii kitu,nakubaliana na wew hii kitu ili uone faida yake lazima uwe na mtaji mkubwa watu wanasahau kuwa hiyo 13% inakatwa kodi ya karibu 10% ..! Ni wazo zuri kwa watu wenye fedha za kutosha..!

Inabidi kufahamu zaidi. Maana nathani,kama nijuavyo investment kama hizi zikiwa invest in a long haul then the tax percentage reduces.but if you sell your bonds in a span of less than a specified time then yes you have a huge due to pay.
 
utaratibu wa kununua ukoje?? naomba kujuzwa

Fika tawi lolote la NMB watakupa details vizuri

Kulingana na taarifa iliyopo katika microsite yao, mahitaji ni haya;

- Fomu ya maombi iliyojazwa na kuwekwa sahihi kikamilifu

- Nakala ya kitambulisho – Pasipoti, Leseni ya udereva, Kitambulisho cha taifa, Kitambulisho cha mpiga kura.

- Akaunti ya CDS (kama hauna namba ya akaunti ya CDS, utahitaji kujaza na kisha kuwasilisha fomu ya maombi ya akaunti ya CDS pamoja na fomu ya maombi ya hati fungani. Benki itakabidhi fomu yako ya maombi kwa wakala anayetambulika)

- Kiwango cha fedha cha uwekezaji kisichopungua TZS 500,000

- Taarifa kamili za akaunti yako ya benki utakapowekewa riba na marejesho ya fedha zako.
 
Tena kwa hela kidogo kama 500,000 ndo hamna kitu kabisa, yan uweke 500,000 unasubiri 65,000 baada ya mwaka mzima. Mkuu hiyo hela si bora ukanywe bia tu. Hii inataka watu wenye hela nyingi ambazo bado hawajajipanga wafanyie nin, au makampuni yenye malengo flan ya kibiashara. Sio watu wa kawaida. Ukiweka mil 100 mwisho wa mwaka unapata mil 13. kama return.

Mkuu kuna watu wana vikundi vya kuweka na kukopa pia hii inawafaa. Uzuri wa NMB za NMB ni kwamba unaweza kuwekeza kama mtu binafsi au pamoja na mtu mmoja mwingine.
 
Kuna mdau mja hapo juu anashaka kuhusu future ya uwekezaji kwenye bonds za mabenki kwa vile makampuni ya simu yanaleta shaka,kazi kuu ya benki ni kukopesha na tele companies ni kuwezesha mawasiliano,mutual hapa ni money transactions lakini tele companies haziruhusiwi ku transact volume kubwa ya pesa,hiyo ni kazi ya banks so kushuka kwa thamani za baadhi ya benk huko ulaya kuna sababu kubwa kuliko hii lakini bonds ni guarantee unlike shares.NMB inge offer attractive packages zaidi ya ile ya Exim sasa wamerudi nyuma kidogo but ni good kwa kuwa ni kampuni ya 2 ku ishu bonds,soko linakua
 
Kuna mdau mja hapo juu anashaka kuhusu future ya uwekezaji kwenye bonds za mabenki kwa vile makampuni ya simu yanaleta shaka,kazi kuu ya benki ni kukopesha na tele companies ni kuwezesha mawasiliano,mutual hapa ni money transactions lakini tele companies haziruhusiwi ku transact volume kubwa ya pesa,hiyo ni kazi ya banks so kushuka kwa thamani za baadhi ya benk huko ulaya kuna sababu kubwa kuliko hii lakini bonds ni guarantee unlike shares.NMB inge offer attractive packages zaidi ya ile ya Exim sasa wamerudi nyuma kidogo but ni good kwa kuwa ni kampuni ya 2 ku ishu bonds,soko linakua

Bank bado zitabaki muhimu
bank zenyewe zinakua digital

bonds ni kuikopesha bank na mkataba unasema utalipwa tu bila kujali bank imepata faida au hasara
 
Tarehe 8 mwei huu wa June itakuwa siku ya mwisho kununua Bonds za NMB..
NMB ndio kampuni ya kwanza kuuza Bonds Tanzania kwa public...
Bonds tofauti na hisa huwa hazishuki thamani..ziko fixed
Nchi za wenzetu ni kawaida sana hapa ketu ndo baado tunaanza...

Ushauri wangu wale ambao mnaweza kununua bonds hizi mjitokeze kabla ya deadline
ili angalau zoezi hili liwe la mafanikio kampuni zingine zivutike kuuza bonds pia..

Kwa wale ambao hawajui tu ni kuwa NMB sasa ndo benki kuubwa kuliko zote Tanzania
kwa kila kitu.....(i stand to be corrected)

Kwa idadi ya wateja
ukubwa wa mtaji
thamani ya kampuni na kadhalika....

na sekta ya benki Tanzania bado changa sana...kwani watanzania wanaotumia banks
hawafiki mlioni 3 huku wenye uwezo wa kutumia bank wapo zaidi ya milioni 20

hii ina maana bank zitazidi tu kukua....na thamani ya hizi bank itazidi kuongezeka

mfano mzuri ni hisa tu za NMB....walionunua wakati zinaanza (IPO) leo thamani ya hisa zao
wengi ni mabilioni ya shilingi...na sasa watu kutoka Europe hadi USA wanakuja kununua hisa za NMB

Na hizi Bonds za NMB mwaka huu ndo mwanzo tu .....miaka michache ijayo usishangae zikavuta watu kutoka mbaali sana huku sisi wenyewe tukiwa hapa hapa...

Ningependa hii thread tueleweshane faida za bonds hizi.....na tuhamasishane......

Samahani braza naomba niulize maswali mawili tu..
1.je baada ya kununua hizo bond unaweza kujitoa endapo unaona mambo hayaendi km ulivyo tarajia or something else? if the answer is yes ni baada ya muda gani? 6months,a year or? masharti yake yakoje?

2.Je naweza kuongeza au kupunguza kiasi cha pesa niliyowekeza kununua bond?

Asante.
 
Back
Top Bottom