Ukiwa na haya unaweza kumove on kwa hapa Tanzania:
1. Mtaji pesa kulingana na wazo lako.
2. Knowledge teknolojia/ufundi/fani/ujuzi mfano capenta, welding, seremala, sonara, mekanika, fundi mavazi na viatu, fundi wa electricity na fundi electronics simu, jagi ,pasi, n.k
3.Ukikosa hayo hapo juu au ukiwa huna sifa hizo itakulazimu ufanye kazi za vibarua kama kubeba tofali, kupakia mizigo na kubeba mizigo, kufanya kazi zisizohitaji ujuzi au teknolojia, kufanya kazi za ndani, maids wa bar au hotels
N.B jitahidi utoke kwenye option namba 3 kama unaishi kwa kuangukia hili kundi hapa Tanzania japo ukiwa huna namna sio vibaya kuwepo hapo ili ubangaize ushike option namba 1 au 2.
OPTION 1MTAJI KUTOKA KWA MKOPO, RAFIKI, HIZO MITAJI HUWA NI CHANGAMOTO UMAKINI NI MUHIMU. MTAJI WA KUUKUZA HUO HAUNA SHAKA SANA.