Kwanini USA na EUROPE wamelitawala sana anga la ndege za abiria ulimwenguni?

Taja makampuni mengine ambayo yanatumika duniani kuzidi hayo siyo unakata mauno hapa
Hana alijualo Mkuu ndiyo maana kaishia kudemka tu.Mwenzie anataka kujifunza na wengine kupitia thread hii tunajifunza
 
Hana alijualo Mkuu ndiyo maana kaishia kudemka tu.Mwenzie anataka kujifunza na wengine kupitia thread hii tunajifunza
watu kama hao wanajifanya wajuaji wa kila kitu lakini vichwani hamna kitu
 
Hujajiuliza kwanini Afrika hatuwezi tengeneza hata vifaa vya mashambanj
 
Kuuuuumbeeeeeee[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]
 
Mkuu asante kwa kutujuza vitu hivi.
 
Ulaya na USA.Canada, New zealand Australia yaani hawa bana ni wale waleeee!!...Mtu namwanae kamwe hawadhuliani!!....wao hao ndo waanzilishi wenye hati miliki wengine wooote wame copy!

Lazima wakaombe rhuksa kwa wenye Hati miliki...ambao pia wana wapa masharti nafuu km hayo!! kitu pekee alichogundua mchina labda majungu!!...

Ulaya wako ivo ukigundua tu, ng'ombe anaye zaa nyama ya kula basi hiyo ni mali yako mpaka kifo!...utalipwa mpaka unye!...ndo maana mie natamani sana nijue kuruka kwa ungo!! ili niwe na hati milki hii!

Machawi ya africa majinga sana hayajui yakienda ulaya yatakuwa matajiri kufuru...cha kwanza ni kumroga Rais akiwa ikulu alafu anamzindua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…