Kwanini ushoga ni mwingi Zanzibar kuliko Tanzania Bara?

Kwanini ushoga ni mwingi Zanzibar kuliko Tanzania Bara?

According to the 2022 Population and Housing Census, the population ratio of men to women in Zanzibar is 48% to 52%:

AI Overview
1733258210004.jpeg

The 2012 population census for Tanzania showed that the ratio of men to women was 21,869,990 men to 23,058,933 women, or roughly 1:1.06:

The United Arab Emirates (UAE) has a skewed sex ratio, with more men than women.
Population: In 2022, 69% of the UAE's population was male and 31% was female.




RegionMale populationFemale population
Tanzania Mainland21,239,31322,386,041
Tanzania Zanzibar630,677672,892
The total population of Tanzania in 2012 was 44,928,923, with 43,625,354 people living on the mainland and 1,303,569 living in Zanzibar.


  • The gender ratio in Saudi Arabia is 135.32 males per 100 females as of 2023. In 2022, 61.2% of the population was male


AI Overview
1733259343018.png

1733259343159.png


Highest male % in the world 💀 : r/qatar


Qatar has a male-to-female ratio of 266 males for every 100 females, the highest in the world. This is due to the large number of male migrant workers from countries such as South Asia, Egypt, and the Philippines. These workers fill labor-intensive roles in Qatar's oil-rich economy.











Here are some other statistics about gender in Qatar:
  • In 2022, the sex ratio at birth in Qatar was 1.039, meaning there were 1.039 male births for every female birth.






  • In 2023, 4.4% of seats in Qatar's national parliament were held by women. This is lower than the average rate in high income economies.






  • In 2020, the sex ratio for Qataris was 97 males per 100 females, while the ratio for non-Qataris was 332 males per 100 females.





The male-to-female ratio in Qatar can have economic and social consequences. For example, a male-heavy population can lead to fewer families, which can slow birth rates and hinder economic growth. It can also disrupt family dynamics and marital stability, and may influence crime rates.












 
Ivivu wa kufanya kazi za nguvu na kutapakaa kwa mapepo katika maeneo husika
Kuwakaribisha Majini katika jamii pia kunachangia kwa kiasi kukubwa sana
Wale wanaowasema eti Majini wema. Kumbe yalishafukuzwa Mbinguni kwa uchafu wao.

وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا

(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
 
Ivivu wa kufanya kazi za nguvu na kutapakaa kwa mapepo katika maeneo husika
Kuwakaribisha Majini katika jamii pia kunachangia kwa kiasi kukubwa sana
Wale wanaowasema eti Majini wema. Kumbe yalishafukuzwa Mbinguni kwa uchafu wao.

وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا

(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
Hicho KIMONDO ni kitu gani mkuu?
 
Maeneo yote kulikokuwa na waarabu wengi, ushoga umeshamiri sana, Zanzibar, Mombasa, Tanga.

Nilishangaa nilipoenda Zanzibar, kijana muongozaji watalii, ananiambia kuwa watalii wazungu wakifika Zanzibar wanataka ku-enjoy sana, na wao wanahakikisha wateja wao wanapata chochote wanachotaka. Nikamwuliza kupata ufafanuzi, ndipo akasema kuwa wengine wakifika tu wanataka wanataka mabinti. Nikamwuliza kuwa wanafanikiwa kuwapata ukizingatia Zanzibar ina watu wachache, na practically ni kama nchi ya kiislam. Akasema wanawake wapo wengi sana, umri wowote utakaotaka. Hawapo mabarabarani kwa sababu wanaogopa, ila malaya ni wengi sana. Akasema ukitaka waafrika tiii, wapo. Ukitaka mashombe wa kiarabu, wapo wengi sana, japo wengine wanataka wazungu tu kwa hofu kuwa waafrika watawatangaza.
Kwa hali hii, tutarajie uharibifu zaidi wa jamii kadri siku zinavyosonga mbele. Inasikitisha sana aisee!
 
Takwimu zinaonyesha na ukweli unadhihirisha kwamba vitendo vya kishoga nchini Tanganyika ni vichache kuliko ilivyo nchini Zanzibar, hadi kufikia hatua ya kukemewa na viongozi wa dini wanaokerwa na tabia hizi chafu.

View attachment 3168326
Tazama jinsi mashoga yanavyofanya shughuli zao na kujinadi hadharani bila kushughulikiwa. Sio viongozi wa dini wala serikali inayochukua hatua kukomesha vitendo hivi.

View attachment 3168338
Imefikia hatua hadi mashoga wamejipenyeza kwenye tasnia ya utumbuizaji na watu wanafurahia kazi zao za sanaa licha ya kuonyesha ushoga wao kinaghaubaga. Kwa kweli inasikitisha na inahudhunisha sana. Mungu atufanyie wepesi atunasue kutoka kwenye kadhia hii.

View attachment 3168343
Sababu zinazopelekea hali hii kuwa kama ilivyo bado hazijawahi kutolewa majawabu na wanazuoni. Tanganyika imeikalia Zanzibar kimabavu hadi wameshindwa kabisa kudhibiti vitendo vya kishoga kwenye nchi yao wamebaki kuilaumu Tanganyika kuwa chanzo cha mashoga. Sasa walitarajia Tanganyika iwasaidie kupambana na mashoga kwenye nchi yao?

Lakini kwa upande mwingine Tanganyika imesababisha matatizo makubwa sana kwa Zanzibar pale ilipolizuia koloni lake hili kujiunga na OIC. Kama Zanzibar wangejiunga na OIC huenda uchafu huu ungepungua au ungetokomezwa kabisa kwenye nchi yao kwa kushirikiana na nchi rafiki za kiarabu.
Tuletee takwimu basi, na chanzo cha takwimu hizo. Naona unaruka ruka tu na hoja ya OIC, unaweza kuianzishia uzi wake hapa unajichanganya tu blaza.
 
Takwimu zinaonyesha na ukweli unadhihirisha kwamba vitendo vya kishoga nchini Tanganyika ni vichache kuliko ilivyo nchini Zanzibar, hadi kufikia hatua ya kukemewa na viongozi wa dini wanaokerwa na tabia hizi chafu.

View attachment 3168326
Tazama jinsi mashoga yanavyofanya shughuli zao na kujinadi hadharani bila kushughulikiwa. Sio viongozi wa dini wala serikali inayochukua hatua kukomesha vitendo hivi.

View attachment 3168338
Imefikia hatua hadi mashoga wamejipenyeza kwenye tasnia ya utumbuizaji na watu wanafurahia kazi zao za sanaa licha ya kuonyesha ushoga wao kinaghaubaga. Kwa kweli inasikitisha na inahudhunisha sana. Mungu atufanyie wepesi atunasue kutoka kwenye kadhia hii.

View attachment 3168343
Sababu zinazopelekea hali hii kuwa kama ilivyo bado hazijawahi kutolewa majawabu na wanazuoni. Tanganyika imeikalia Zanzibar kimabavu hadi wameshindwa kabisa kudhibiti vitendo vya kishoga kwenye nchi yao wamebaki kuilaumu Tanganyika kuwa chanzo cha mashoga. Sasa walitarajia Tanganyika iwasaidie kupambana na mashoga kwenye nchi yao?

Lakini kwa upande mwingine Tanganyika imesababisha matatizo makubwa sana kwa Zanzibar pale ilipolizuia koloni lake hili kujiunga na OIC. Kama Zanzibar wangejiunga na OIC huenda uchafu huu ungepungua au ungetokomezwa kabisa kwenye nchi yao kwa kushirikiana na nchi rafiki za kiarabu.
Waaache wabokoane tu ndiyo maisha waliyoyachagua wenyewe.
 
Back
Top Bottom