Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Huwa siwaelewi kabisa 🙌Hao wanafiki sana
Mwezi Ramadan wanazunguka mtaani kusaka wanaokula mchana
Yaani wanaona anaekula mwezi Ramadan ana dhambi kuliko ushoga
Ila kumbe wao wanafanya ushoga kama utamaduni
Ukiwaona na makanzu Yao kama watakatifu kumbe wanafanya ushenzi
Unataka kubisha kuwa majani hayana rangi ya kijani?Uislamu n
a ushoga wapi na wapi mkuu?
Bora usiwaone🤣Basi sijabahatika kuonana nao huko
pamoja na kwenda mara kadhaa
Khaaa🤣🤣🤣Zqnzibar taarabu anaimba mtu yoyote. Watu wanachanganya zege na taarabu wanaimba mwanzo mwisho
Oooh! Haya bwanaUnataka kubisha kuwa majani hayana rangi ya kijani?
Very trueUISLAM ni utamaduni wa waarabu. Hivyo waislam wamekopi tamaduni nyingi sana kutoka kwa waarabu, ikiwemo ufiraji/ufirwaji.
vipi tena we mzeeArusha
Pale michenzani Serikali ilitaka kuwaboreshea makazi kwa kuwataka wachangie kwenye kulipa kodi wakakataa.Ina maana wazanzibar wanapenda maisha mazuri kuliko watanganyika au unataka kusemaje mkuu?
Wazungu watalii,ndio kichecheo kikubwa cha ushoga,miji yenye beach nzuri na za uhakika,zinakuwa nq ushoga kutokana na utalii,ukiangalia,Mombasa,Unguja(sio Pemba),Visiwa vya Hawaii,nkTakwimu zinaonyesha na ukweli unadhihirisha kwamba vitendo vya kishoga nchini Tanganyika ni vichache kuliko ilivyo nchini Zanzibar, hadi kufikia hatua ya kukemewa na viongozi wa dini wanaokerwa na tabia hizi chafu.
View attachment 3168326
Tazama jinsi mashoga yanavyofanya shughuli zao na kujinadi hadharani bila kushughulikiwa. Sio viongozi wa dini wala serikali inayochukua hatua kukomesha vitendo hivi.
View attachment 3168338
Imefikia hatua hadi mashoga wamejipenyeza kwenye tasnia ya utumbuizaji na watu wanafurahia kazi zao za sanaa licha ya kuonyesha ushoga wao kinaghaubaga. Kwa kweli inasikitisha na inahudhunisha sana. Mungu atufanyie wepesi atunasue kutoka kwenye kadhia hii.
View attachment 3168343
Sababu zinazopelekea hali hii kuwa kama ilivyo bado hazijawahi kutolewa majawabu na wanazuoni. Tanganyika imeikalia Zanzibar kimabavu hadi wameshindwa kabisa kudhibiti vitendo vya kishoga kwenye nchi yao wamebaki kuilaumu Tanganyika kuwa chanzo cha mashoga. Sasa walitarajia Tanganyika iwasaidie kupambana na mashoga kwenye nchi yao?
Lakini kwa upande mwingine Tanganyika imesababisha matatizo makubwa sana kwa Zanzibar pale ilipolizuia koloni lake hili kujiunga na OIC. Kama Zanzibar wangejiunga na OIC huenda uchafu huu ungepungua au ungetokomezwa kabisa kwenye nchi yao kwa kushirikiana na nchi rafiki za kiarabu.
Zanzibar ni Nchi .Kwani Zanzibar ni kitu gani?
Tuanzie kwanza hapo.
Ni mkoa, ni Jimbo au ni Kanda?
Kuna fukwe (beach),nzuri duniani katibia 25,ziko Mecico,ziko Brazil,Cuba nk,hizo zote zina mashoga wengi sana,kutokana na utalii.Watalii wakizungu ndio wanaonezq ushoga,hata maeneo yenye mbuga za wanyama,pia ushoga uko sana,ila wanafanya siri sana.Hayo mashoga yapo mkuu
Wenyewe watamchapa mtu anaekula mchana wa Ramadan ila mashoga yamejaa
Boss nchi hii kuna stori kibao za wanaume kuolewa na majority wanatoka Arusha, Nchi hii kuna mashoga wengi na majority wanatoka hio hio mikoa yenu, kuna ushahidi kibao ila mnajitoa tu ufahamu.Sio zanzibar tu sema kwanini ushoga umeshamiri miko ya pwani ambako ndiko kuna uislam mwingi? Maana kumpata shoga mara ujikamue kweli kweli
Bado atatokea mtu apinge hichi ulichoandika hapa ila ukweli ndio huo,watalii wengi wanaoenda zanzibar huwa wanawapenda sana wanawake wa kizanzibarMaeneo yote kulikokuwa na waarabu wengi, ushoga umeshamiri sana, Zanzibar, Mombasa, Tanga.
Nilishangaa nilipoenda Zanzibar, kijana muongozaji watalii, ananiambia kuwa watalii wazungu wakifika Zanzibar wanataka ku-enjoy sana, na wao wanahakikisha wateja wao wanapata chochote wanachotaka. Nikamwuliza kupata ufafanuzi, ndipo akasema kuwa wengine wakifika tu wanataka wanataka mabinti. Nikamwuliza kuwa wanafanikiwa kuwapata ukizingatia Zanzibar ina watu wachache, na practically ni kama nchi ya kiislam. Akasema wanawake wapo wengi sana, umri wowote utakaotaka. Hawapo mabarabarani kwa sababu wanaogopa, ila malaya ni wengi sana. Akasema ukitaka waafrika tiii, wapo. Ukitaka mashombe wa kiarabu, wapo wengi sana, japo wengine wanataka wazungu tu kwa hofu kuwa waafrika watawatangaza.
Utalii wa wazungu,ziko fukwe 25,duniani ,zina mashoga wengi sana,kutokana na utalii wa wazungu.tatizo vijana wanakula urojo sana
Takwimu zinaonyesha na ukweli unadhihirisha kwamba vitendo vya kishoga nchini Tanganyika ni vichache kuliko ilivyo nchini Zanzibar, hadi kufikia hatua ya kukemewa na viongozi wa dini wanaokerwa na tabia hizi chafu.
View attachment 3168326
Tazama jinsi mashoga yanavyofanya shughuli zao na kujinadi hadharani bila kushughulikiwa. Sio viongozi wa dini wala serikali inayochukua hatua kukomesha vitendo hivi.
View attachment 3168338
Imefikia hatua hadi mashoga wamejipenyeza kwenye tasnia ya utumbuizaji na watu wanafurahia kazi zao za sanaa licha ya kuonyesha ushoga wao kinaghaubaga. Kwa kweli inasikitisha na inahudhunisha sana. Mungu atufanyie wepesi atunasue kutoka kwenye kadhia hii.
View attachment 3168343
Sababu zinazopelekea hali hii kuwa kama ilivyo bado hazijawahi kutolewa majawabu na wanazuoni. Tanganyika imeikalia Zanzibar kimabavu hadi wameshindwa kabisa kudhibiti vitendo vya kishoga kwenye nchi yao wamebaki kuilaumu Tanganyika kuwa chanzo cha mashoga. Sasa walitarajia Tanganyika iwasaidie kupambana na mashoga kwenye nchi yao?
Lakini kwa upande mwingine Tanganyika imesababisha matatizo makubwa sana kwa Zanzibar pale ilipolizuia koloni lake hili kujiunga na OIC. Kama Zanzibar wangejiunga na OIC huenda uchafu huu ungepungua au ungetokomezwa kabisa kwenye nchi yao kwa kushirikiana na nchi rafiki za kiarabu.
Ni kweli kabisa,ndio maana ukienda Phuket au Pattaya huko Thailand Kuna mpaka wale wanaoitwa ladyboys kwa kuwa ni miji ya pwani..jiulize kwa Nini?Kuna fukwe (beach),nzuri duniani katibia 25,ziko Mecico,ziko Brazil,Cuba nk,hizo zote zina mashoga wengi sana,kutokana na utalii.Watalii wakizungu ndio wanaonezq ushoga,hata maeneo yenye mbuga za wanyama,pia ushoga uko sana,ila wanafanya siri sana.
we sio mtumiaji ulizia machimbo ukasuuze nafsiBasi sijabahatika kuonana nao huko
pamoja na kwenda mara kadhaa