Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Mkuu hizi mambo zishakuwa universal na saa hizi ziko exposed sana bila hata aibu. Kwenye entertainment ndio wanapitia huko Sasa kufanya promotion zao. I feel sorry for the futuresNashukuru Mungu nilipofika si habari, nimekula kula chumvi kidogo
Kwahiyo mambo mengi tunayoyaona na kuyasoma humu Kwa kiasi kikubwa yanakuwa mageni Kwa sisi wenye umri huu wa Uzee
Miaka yetu ilikuwa Mwanaume mmoja anaoa wake hata watatu lakini Siku hizi Mwanaume anaona fahari kuchukua dudu yake na kumuingiza Mwanaume mwenzake
Kama sio kukosa akili ni nini huku?
Badala ya kuonesha urijali Kwa Kuoa, wao wanaona urijali ni kuwageza Wanaume wenzao Wanawake 🙌
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa anakuambia wewe hayo ya kuwashwawashwa?
Hatimaye umewasili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km wee ulivyowahi kuwasili.Hatimaye umewasili
Haya mambo ukiamua kujiweka nayo karibu na kuyafuatilia utakutana nayo ila ukiamua kuishi maisha yako hutakutana nayo maisha yako yoteNimekwenda Zanzibar mara nyingi lakini sijabahatika kukutana na hao mashoga
Nimetembea na hapo Forodhani nyakati za Usiku lakini sijabahatika kuwaona hao mashoga
Labda kama wanafanya huo ushoga wao Kwa kificho
Lakini pia kama una nafasi lete ripoti ya hali ya ushoga Kwa Mikoa ya DSM na Arusha pia.
NB; tuwalinde watoto wetu
Nilikuwa nakuangaza. Usingetokea huu Uzi ungekuwa ni batiliKm wee ulivyowahi kuwasili.
Michezo hiyooo!! [emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa nakuangaza. Usingetokea huu Uzi ungekuwa ni batili
We si ndio kontawa. Nashangaa kwanini hawajakupa u-PLATINUM member. Au haujapita Kwa Pdidy kuidhinishwa?Michezo hiyooo!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Zanzibar kama Mombasa Kenya au Nairobi au Tanga, hata humu kuna jamaa wa Mombasa Kenya status anweka taarabu kabisaKhaaa🤣🤣🤣
Taarabu ni nyimbo, ushoga ni kitu kingine kbisa. Alafu unatakiwa ujue kuna cultural difference ambayo inakupa shida kuhus wazanzibar. Hivi unajua wanaume wa wazanzibar wanapenda sana kupika?Sasa ndio waimbe hadi mashoga mkuu? Wewe unaona sawa tu?
Umesema sahihi, labda Kwa kuwa Mimi sio mdau wa hayo mambo ndiyo maana imekuwa vigumu kufahamu hizo habariHaya mambo ukiamua kujiweka nayo karibu na kuyafuatilia utakutana nayo ila ukiamua kuishi maisha yako hutakutana nayo maisha yako yote
Naskiaga tu hayo mambo lkn sijawahi ona hamna haja ya kujiweka nayo karibuUmesema sahihi, labda Kwa kuwa Mimi sio mdau wa hayo mambo ndiyo maana imekuwa vigumu kufahamu hizo habari
Kwa kweli Mungu atulindie Vizazi vyetuMkuu hizi mambo zishakuwa universal na saa hizi ziko exposed sana bila hata aibu. Kwenye entertainment ndio wanapitia huko Sasa kufanya promotion zao. I feel sorry for the futures
KabisaNaskiaga tu hayo mambo lkn sijawahi ona hamna haja ya kujiweka nayo karibu
Hili halina ubishi, upo sahihiMaeneo yote kulikokuwa na waarabu wengi, ushoga umeshamiri sana, Zanzibar, Mombasa, Tanga.
Nilishangaa nilipoenda Zanzibar, kijana muongozaji watalii, ananiambia kuwa watalii wazungu wakifika Zanzibar wanataka ku-enjoy sana, na wao wanahakikisha wateja wao wanapata chochote wanachotaka. Nikamwuliza kupata ufafanuzi, ndipo akasema kuwa wengine wakifika tu wanataka wanataka mabinti. Nikamwuliza kuwa wanafanikiwa kuwapata ukizingatia Zanzibar ina watu wachache, na practically ni kama nchi ya kiislam. Akasema wanawake wapo wengi sana, umri wowote utakaotaka. Hawapo mabarabarani kwa sababu wanaogopa, ila malaya ni wengi sana. Akasema ukitaka waafrika tiii, wapo. Ukitaka mashombe wa kiarabu, wapo wengi sana, japo wengine wanataka wazungu tu kwa hofu kuwa waafrika watawatangaza.
Mkuu hiyo hoja ya OIC nimeitolea ufafanuzi kwenye uzi. Hebu rudia kusoma hasa kwenye conclusion ya uzi.Tuletee takwimu basi, na chanzo cha takwimu hizo. Naona unaruka ruka tu na hoja ya OIC, unaweza kuianzishia uzi wake hapa unajichanganya tu blaza.