Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una uhakika gani kuwa hawa ni wazawa? Hawa ndio wale wanaotoka Zanzibar kuja kufuata watalii Arusha. Kumbuka Arusha ni mji wa kitalii.Kwa Arusha sio mmoja, kuna Nyuzi kibao humu, nakuwekea chache
Arusha Ushoga na Usagaji umeshamiri hadi Bar za kuuza mashoga zipo
Nipo Arusha yapata week ya pili kwa kazi zangu hizi za kuuza Unga wa lishe, nafaka na biashara ya kuleta Vitu huku Namkuta mtoto wa binamu yangu wa kiume kamaliza chuo kwa ngazi ya cheti simuelewi elewi ndio naambiwa ni shoga na ana mashoga wenzake Jioni moja kaja na marafiki zake wa kiume...www.jamiiforums.com
Nilidhani ni Dar tu kuna mashoga, Arusha hali inatisha!
Arusha mji umeharibika sana huu jana nikiwa Club moja hapa jijini wakaingia wanaume wawili ambao niliwahisi vibaya mara nikashangaa wanaanza kupakatwa tena live? Mwanaume unapakatwaje na mwanaume mwenzako nilivyomuuliza baamedi mmoja akanambia huyo ni mwanaume poa na akasema huku Arusha...www.jamiiforums.com
Arusha mashoga ni wengi kuliko madada poa hali ni mbaya sana viongozi wa dini hamuoni?
Aman itamalaki Tumezoea kuona mikoa karibia yote tanzania madada poa kuwa ni wengi kuliko makaka poa ila arusha siyo hivyo kule makaka poa ndo wengi zaidi Mashoga ni wengi sana huku aisee Unaenda club unakutana na vijana wamepaka poda wanarembua huku wakikata viuno wakitafuta mabwana Lazima...www.jamiiforums.com
Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga
Maandamano hayo yaliongozwa na viongozi wa dini, na wananchi walijitokeza kwa wingi kupinga matendo ya mapenzi ya jinsia moja. Hali hii imetokana na baada ya vikundi vya kutetea mapenzi ya jinsia moja duniani kuzidisha kasi na msukumo wa kuhalalisha matendo hayo. Tuliona presha nchi ya Qatar...www.jamiiforums.com
Mkuu wa Wilaya ya Arusha afichua mazito hali ya ushoga Arusha
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtehengerwa, amesema hali ya ushoga katika jiji la Arusha ni mbaya kwa sababu inakadiriwa zaidi ya vijana 400 wanajihusisha na vitendo hivyo na kuwataka madiwani kuvikemea katika maeneo yao. Aidha, amesema kuanzia hivi sasa nyumba za starehe zikiwemo baa na...www.jamiiforums.com
Hapo mambo Machache
1. Mkoa pekee ambao una hadi statistics ya idadi ya mashoga kama mkuu Wa wilaya alivyosema.
2. Kumewahi kuwa na maandamano kupinga
3. Wana Club zao kwamba ukiwa taka Anytime 24/7 unawapata.
Tuwe tu wakweli kuna mkoa wowote wa Pwani ambao umefika Stage hii?
Kumbe mnao wengi me nilijua Suphian Juma peke ake.mafirauni wakubwa nyie mnaocheza na kinyesi alaaa!!
kumbaf sana, uvivu tu katika kazi![]()
Ukisoma hizo thread zinajieleza kuna hadi binamu za watu humo. Pia Wazanzibari wengi ni wafanyabiashara zaidi kuliko Watu wa utalii, soko la Utalii Znz na hata Arusha halitawaliwi na Wazanzibari, Sex Tourism Znz haifanywi na Wazanzibari.Mkuu una uhakika gani kuwa hawa ni wazawa? Hawa ndio wale wanaotoka Zanzibar kuja kufuata watalii Arusha. Kumbuka Arusha ni mji wa kitalii.
Hee! Nimesikitika sana. Kumbe CCM ni Chama Cha Mashoga (CCM)? Hii nchi wanaipeleka wapi hasa?CCM maxhoko wengi sana hata yule aliyekuwa Mwenezi wao sasa hivi ni DC naye ni chakula hadi aliwahi kuolewa kabisa na basha toka Mombasa naye pia ni Mzanzibari
Siyo kweli, usiwatwishe Watanganyika zigo lisilowahusu broo.
Hao waarabu wenyewe ndiyo waanzilishi wa huo upimbi, na wanafukuana siyo poa...
View: https://youtube.com/watch?v=Vyuvi1uqaJs&si=tfYqC6xQD3AmRRRf
wazungu wanakuja ZNZ kuonja flavor ya kimasai, Wamasai wanafumuliwa marinda sana tu.Ukisoma hizo thread zinajieleza kuna hadi binamu za watu humo. Pia Wazanzibari wengi ni wafanyabiashara zaidi kuliko Watu wa utalii, soko la Utalii Znz na hata Arusha halitawaliwi na Wazanzibari, Sex Tourism Znz haifanywi na Wazanzibari.
sababu ni nyingi na kila mmoja ana yake.Kwa kweli hali inatisha
Sijui wanapata Faida gani kufanya hayo
Zenji UROJO MWINGI!Takwimu zinaonyesha na ukweli unadhihirisha kwamba vitendo vya kishoga nchini Tanganyika ni vichache kuliko ilivyo nchini Zanzibar, hadi kufikia hatua ya kukemewa na viongozi wa dini wanaokerwa na tabia hizi chafu.
View attachment 3168326
Tazama jinsi mashoga yanavyofanya shughuli zao na kujinadi hadharani bila kushughulikiwa. Sio viongozi wa dini wala serikali inayochukua hatua kukomesha vitendo hivi.
View attachment 3168338
Imefikia hatua hadi mashoga wamejipenyeza kwenye tasnia ya utumbuizaji na watu wanafurahia kazi zao za sanaa licha ya kuonyesha ushoga wao kinaghaubaga. Kwa kweli inasikitisha na inahudhunisha sana. Mungu atufanyie wepesi atunasue kutoka kwenye kadhia hii.
View attachment 3168343
Sababu zinazopelekea hali hii kuwa kama ilivyo bado hazijawahi kutolewa majawabu na wanazuoni. Tanganyika imeikalia Zanzibar kimabavu hadi wameshindwa kabisa kudhibiti vitendo vya kishoga kwenye nchi yao wamebaki kuilaumu Tanganyika kuwa chanzo cha mashoga. Sasa walitarajia Tanganyika iwasaidie kupambana na mashoga kwenye nchi yao?
Lakini kwa upande mwingine Tanganyika imesababisha matatizo makubwa sana kwa Zanzibar pale ilipolizuia koloni lake hili kujiunga na OIC. Kama Zanzibar wangejiunga na OIC huenda uchafu huu ungepungua au ungetokomezwa kabisa kwenye nchi yao kwa kushirikiana na nchi rafiki za kiarabu.
Aisee🙌sababu ni nyingi na kila mmoja ana yake.
Zanzibar ushoga upo kama ulivyo sehemu nyinginezo huku Tanzania baraTakwimu zinaonyesha na ukweli unadhihirisha kwamba vitendo vya kishoga nchini Tanganyika ni vichache kuliko ilivyo nchini Zanzibar, hadi kufikia hatua ya kukemewa na viongozi wa dini wanaokerwa na tabia hizi chafu.
View attachment 3168326
Tazama jinsi mashoga yanavyofanya shughuli zao na kujinadi hadharani bila kushughulikiwa. Sio viongozi wa dini wala serikali inayochukua hatua kukomesha vitendo hivi.
View attachment 3168338
Imefikia hatua hadi mashoga wamejipenyeza kwenye tasnia ya utumbuizaji na watu wanafurahia kazi zao za sanaa licha ya kuonyesha ushoga wao kinaghaubaga. Kwa kweli inasikitisha na inahudhunisha sana. Mungu atufanyie wepesi atunasue kutoka kwenye kadhia hii.
View attachment 3168343
Sababu zinazopelekea hali hii kuwa kama ilivyo bado hazijawahi kutolewa majawabu na wanazuoni. Tanganyika imeikalia Zanzibar kimabavu hadi wameshindwa kabisa kudhibiti vitendo vya kishoga kwenye nchi yao wamebaki kuilaumu Tanganyika kuwa chanzo cha mashoga. Sasa walitarajia Tanganyika iwasaidie kupambana na mashoga kwenye nchi yao?
Lakini kwa upande mwingine Tanganyika imesababisha matatizo makubwa sana kwa Zanzibar pale ilipolizuia koloni lake hili kujiunga na OIC. Kama Zanzibar wangejiunga na OIC huenda uchafu huu ungepungua au ungetokomezwa kabisa kwenye nchi yao kwa kushirikiana na nchi rafiki za kiarabu.
Makanisani mnaamrishana kua mashoga na kila kafiri ni shogaTakwimu zinaonyesha na ukweli unadhihirisha kwamba vitendo vya kishoga nchini Tanganyika ni vichache kuliko ilivyo nchini Zanzibar, hadi kufikia hatua ya kukemewa na viongozi wa dini wanaokerwa na tabia hizi chafu.
View attachment 3168326
Tazama jinsi mashoga yanavyofanya shughuli zao na kujinadi hadharani bila kushughulikiwa. Sio viongozi wa dini wala serikali inayochukua hatua kukomesha vitendo hivi.
View attachment 3168338
Imefikia hatua hadi mashoga wamejipenyeza kwenye tasnia ya utumbuizaji na watu wanafurahia kazi zao za sanaa licha ya kuonyesha ushoga wao kinaghaubaga. Kwa kweli inasikitisha na inahudhunisha sana. Mungu atufanyie wepesi atunasue kutoka kwenye kadhia hii.
View attachment 3168343
Sababu zinazopelekea hali hii kuwa kama ilivyo bado hazijawahi kutolewa majawabu na wanazuoni. Tanganyika imeikalia Zanzibar kimabavu hadi wameshindwa kabisa kudhibiti vitendo vya kishoga kwenye nchi yao wamebaki kuilaumu Tanganyika kuwa chanzo cha mashoga. Sasa walitarajia Tanganyika iwasaidie kupambana na mashoga kwenye nchi yao?
Lakini kwa upande mwingine Tanganyika imesababisha matatizo makubwa sana kwa Zanzibar pale ilipolizuia koloni lake hili kujiunga na OIC. Kama Zanzibar wangejiunga na OIC huenda uchafu huu ungepungua au ungetokomezwa kabisa kwenye nchi yao kwa kushirikiana na nchi rafiki za kiarabu.
Na wengi wanadhani shoga ni mpaka awe legevu kama mlenda wakati wengine ni vijana ngangari kabisa ila hawana ubingwa.Aisee🙌
Mungu atusaidie Vizazi vyetu 🙏🙏
Kwa kweli inasikitisha sana MkuuNa wengi wanadhani shoga ni mpaka awe legevu kama mlenda wakati wengine ni vijana ngangari kabisa ila hawana ubingwa.
Wale legevu sijui wanaishije mtaani na wazazi wao wanawaonaje aisee, ni huzuni.
Nani anawalipa kwaunafiki wenu baada kujua Wazungu mmekimbia uzi mizwazwa ya kilokole mnapenda kufanya propaganda kuuchafua Uislam wkt kwenu mnanyaona adi mavz! Mbele za watu. Mnataka tuleta uchafu wenu JFKhaaa🤣🤣🤣