Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Hongera mkuu umechangia kitafiti kabisaBiashara kubwa ya Elon Musk ni magari ya Tesla.
●Hisa za Tesla zomeshuka kwa kiwango kikubwa sana zaidi ya 60% wawekezaji wamepunguza ununuaji wa hisa
●Sababu ya pili ni ushindani mkali kutoka kwa kampuni ya China ya utengenezaji wa magari ya umeme ya BYD ambayo kwa sasa imeizidi Tesla kwenye mauzo
Kuna uwezekano Musk akapunguza 10% ya wafanyakazi wake kwenye viwanda vyake vya magari ya Tesla kwa sababu ya kushuka kwa demand
Duh hii ilitokeaje mistake kubwa SanaTesla stock imeshuka sana, na sasa wamesema cybertruck zote zilizouzwa zirudishwe zina shida ya pedal ya kuongeza mwendo wa gari.
EVs za Mchina zinaua soko la Tesla hadi Tesla wanalazimika kushusha bei ili wauze. Mauzo yameshuka sana pia. So, Elon is taking a deeper Dive
Mkuu kawaida mbona tu magari mengi huwa yanakuwa called back viwandani, si toyota, si merecedes, si Nissan. Tesla stock yake ilikuwa ina thamani kubwa kwa sababu inachukuliwa kama tech company kuliko automobile company. Mchina ana zaidi ya makampuni 200 ya EVs na wanauza EVs zao cheap na ziko backed na serikali huko Ulaya wanataka zuia maana zinaua soko.Duh hii ilitokeaje mistake kubwa Sana
Mbona jamaa ni smart sana
Nchini China katika jiji la Shanghai ana kiwanda kikubwa sana cha kutengeneza magari cha TeslaHongera mkuu umechangia kitafiti kabisa
INGAwa jamaa alikuwa na mpango wa kufungua kiwanda kikubwa kichina sijui ilikuwaje
Tesla wana mega factory Shanghai mbona toka muda tu.Hongera mkuu umechangia kitafiti kabisa
INGAwa jamaa alikuwa na mpango wa kufungua kiwanda kikubwa kichina sijui ilikuwaje