Kwanini utajiri wa Elon Musk anashuka sana?

Hongera mkuu umechangia kitafiti kabisa
INGAwa jamaa alikuwa na mpango wa kufungua kiwanda kikubwa kichina sijui ilikuwaje
 
Duh hii ilitokeaje mistake kubwa Sana
Mbona jamaa ni smart sana
 
Duh hii ilitokeaje mistake kubwa Sana
Mbona jamaa ni smart sana
Mkuu kawaida mbona tu magari mengi huwa yanakuwa called back viwandani, si toyota, si merecedes, si Nissan. Tesla stock yake ilikuwa ina thamani kubwa kwa sababu inachukuliwa kama tech company kuliko automobile company. Mchina ana zaidi ya makampuni 200 ya EVs na wanauza EVs zao cheap na ziko backed na serikali huko Ulaya wanataka zuia maana zinaua soko.
By the way miaka yote gari za Tesla zinalalamikiwa kwa kuwa na makosa ya finishing, hawako makini sana kwa kila detail. Lakini hii ya pedal ni kosa ambalo linahatarisha maisha ya watu. Pedal inaweza kugomea chini inamaana gari full mbio.
 
Reactions: FWC
Hongera mkuu umechangia kitafiti kabisa
INGAwa jamaa alikuwa na mpango wa kufungua kiwanda kikubwa kichina sijui ilikuwaje
Nchini China katika jiji la Shanghai ana kiwanda kikubwa sana cha kutengeneza magari cha Tesla

Ilikuwa leo aende India kukutana na PM wa India Narendra Modi. Ilikuwa aende kutangaza kufungua kiwanda kingine cha magari ila amehairisha safari ya kwenda India

Wadadisi wa mambo ya kibiashara wanasema huenda alitaka kufanya hivyo ili kuwaboost wawekezaji wanunue hisa zaidi
 
Reactions: FWC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…