Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umedanganyika na zile noti fake za dollar alizozipost hilo dume linalojifanya mwanamke ili kuwatepeli majuha kama nyie humu JF. Acha ushamba dogo.Mimi huo utajiri unanisisimua sana labda wewe mkuu, dhana ya ushirikina ni dhana duni sqna watu wanachapa kazi Lamomy
Wewe ni mmoja wao au mnufaika, anza kujipanga mapema, mwisho uko karibu!Haya yote umeambiwa, umesimuliwa na hujawahi kuona kwa macho yako.
Umri mkubwa lakini uwezo wa kufikiri ni mdogo.
Nyie ndio mnatapeliwa na waganga wa kienyeji, hakuna pesa zinapatikana hivyo hizo ni stori za kutengeneza ili kufurahisha genge na kujipa moyo.
Nitakuwa NASOMA bar braza...Ratiba yako leo Mbeya inasemaje?😀😃
Hii dhana ya utajiri wa kichawi ni dhana duni sana mkuu.Naona umedanganyika na zile noti fake za dollar alizozipost hilo dume linalojifanya mwanamke ili kuwatepeli majuha kama nyie humu JF. Acha ushamba dogo.
Acheni ndagu jamani,hata habari za Mungu na shetani umesimuliwaHaya yote umeambiwa, umesimuliwa na hujawahi kuona kwa macho yako.
Umri mkubwa lakini uwezo wa kufikiri ni mdogo.
Nyie ndio mnatapeliwa na waganga wa kienyeji, hakuna pesa zinapatikana hivyo hizo ni stori za kutengeneza ili kufurahisha genge na kujipa moyo.
Na kama issue ni discipline, pia Wakinga wote wangekuwa matajiri.Wakinga wana discipline ya matumizi ya pesa usidanganywe na story za mitaani. Wakinga wanachapa kazi sana. Kama pesa zao zinapatikana kwa ushirikina basi Makete nzima wangekuwa matajiri.
Nakataa. Wakinga walikuwa na hela siku nyingi ila walikuwa hawajui. Wana kaushamba flan na wanamfumo wao wa maisha tofauti na wabongo wengi ni wabahili ila wana malengo mazuri. Uchawi sikatai kila kabila hawakosi. Kumbuka mkinga una duka karibu nae lakin kwao ana shamba la miti. Miaka hiyo tunaenda minadan na tugimbe ukiambia ndio huyu hutaamin.Matajiri wa nyanda za juu ni Wakinga kutoka Makete mkoa wa Njombe. Utajiri wao ni mateso tu. Wanaishi maisha duni kuliko mtu asiye na mali. Sasa huo utajiri wa masharti nani atautamani?
Pili kufika hapo lazima utor kafara ya kuua mtu wako wa karibu hasa mama yako, mdogo wako. Halafu mali haihamii kizazi cha pili. Tajiri mkinga akifa na mali inakufa.
Unakuta tajiri ana gorofa lakini yeye analala kwenye stoo ya mizigo. Au anavaa malapa. Mara nyingine unakuta kuna chumba anaingia peke yake hata mkewe na watoto hawaruhusiwi. Ukifosi kuingia unakutana na mama yake kamfanya msukule.
Achana na wakinga, hawana utajiri wowote zaidi ya mateso
Miti inawatoa sana wakinga ila watu wanasema ni wachawiNakataa. Wakinga walikuwa na hela siku nyingi ila walikuwa hawajui. Wana kaushamba flan na wanamfumo wao wa maisha tofauti na wabongo wengi ni wabahili ila wana malengo mazuri. Uchawi sikatai kila kabila hawakosi. Kumbuka mkinga una duka karibu nae lakin kwao ana shamba la miti. Miaka hiyo tunaenda minadan na tugimbe ukiambia ndio huyu hutaamin.
Akili za watu wenye kipaji cha ufukara ndo hizi.Utakufa ukiwa maskini wa kutupwa.Matajiri wa nyanda za juu ni Wakinga kutoka Makete mkoa wa Njombe. Utajiri wao ni mateso tu. Wanaishi maisha duni kuliko mtu asiye na mali. Sasa huo utajiri wa masharti nani atautamani?
Pili kufika hapo lazima utor kafara ya kuua mtu wako wa karibu hasa mama yako, mdogo wako. Halafu mali haihamii kizazi cha pili. Tajiri mkinga akifa na mali inakufa.
Unakuta tajiri ana gorofa lakini yeye analala kwenye stoo ya mizigo. Au anavaa malapa. Mara nyingine unakuta kuna chumba anaingia peke yake hata mkewe na watoto hawaruhusiwi. Ukifosi kuingia unakutana na mama yake kamfanya msukule.
Achana na wakinga, hawana utajiri wowote zaidi ya mateso
Kwa zaidi ya miaka 15 niliyoishi na kufanya shughuli zangu mikoa ya nyanda za juu kusini nakubaliana na wewe kabisa. Matajiri wengi ninaowafamu binafsi (wengine ni marafiki zangu) wana nidhamu kubwa sana ya pesa, hakuna hata senti moja yao inayochezewa. Hawa ni watu waliokuwa hawana kitu 15 years ago, sasa hivi wako mbali sana, siri kubwa ni nidhamu ya pesa na kujituma. Hayo ya pesa za punje za mahindi ni blabla za kujifariji tu.Haya yote umeambiwa, umesimuliwa na hujawahi kuona kwa macho yako.
Umri mkubwa lakini uwezo wa kufikiri ni mdogo.
Nyie ndio mnatapeliwa na waganga wa kienyeji, hakuna pesa zinapatikana hivyo hizo ni stori za kutengeneza ili kufurahisha genge na kujipa moyo.
Wakinga nimeishi nao Mbeya kuanzia niko mvulana hadi nazeeka. Ukitaka nikutajie matajiri wa zamani halafu na wewe uniambie mali zao ziko wapi??Haya yote umeambiwa, umesimuliwa na hujawahi kuona kwa macho yako.
Umri mkubwa lakini uwezo wa kufikiri ni mdogo.
Nyie ndio mnatapeliwa na waganga wa kienyeji, hakuna pesa zinapatikana hivyo hizo ni stori za kutengeneza ili kufurahisha genge na kujipa moyo.
Kulikuwa na Mwakipande Baba lakini alikufa kwenye miaka ya 2010. Kamrithisha mwanaye. Waulize wakinga watakupeleka ila uwe tayari kwa mashartiNionyeshe huyo mganga NAMI nimikiki Jeep na vxr