Kwanini utajiri wa watu wa Nyanda za juu Kusini, huwa hauchechemui watu?

Kwanini utajiri wa watu wa Nyanda za juu Kusini, huwa hauchechemui watu?

Utakuwa na wewe ni mmoja wapo. Kazi kuchapa wanachapa makabila mengi tu ila nyinyi mumeongeza na uchawi wa makafara. Sasa kama nyinyi ni matajiri kwanini hamuishi maisha ya starehe kama Wachagga?? Wachagga wwnapiga kazi, wanatunza hela lakini kwenye matumizi bado ndiyo kabila linaongoza kula bata.

Waangalie Wachagga Desemba wanavyondoka na magari ya fahari kwenda Kilimanjaro. Wanafanya sherehe, wanakaa kwwo kwenye majumba mazuri.

Nyinyi Wakinga bado Makete iko kama enzi za Nyerere. Mnamiliki magorofa Kariakoo, Mbeya ma Iringa lakini Makete hakuna kitu.

Acheni USHIRIKINA
We jamaa unanichekesha sana. Inaonekana kuna kitu mmetofautiana na Mkinga mmoja kuhusu pesa.

Ushirikina upo ila haukufanyi uwe tajiri wa kutupwa. Fuatilia wakinga wote kama ni wavivu wa kufanya kazi na kusubiri pesa za ushirikina. Hawa jamaa wanapiga kazi balaa. Kwao kutoendelea kuna sababu nyingi zilizosababisha ikiwemo Elimu kuchelewa kufika kuliko mikoa mingine.
Wengi wa vijana wa kikinga wa leo wamepata utajiri kupitia misitu ya mbao waliyoachiwa na babu zao. Fuatilia Mbao nyingi nchini zinatoka wapi hapa nchini.
 
Miti kuanzia kupanda hadi kuja kuvuna ni miaka mingapi? Mbona mnaongea kama headless chicken nyie??
Daaah! We jamaa una hasira na wakinga ila huwajui unasikiliza ya kuambiwa.

Africa ukitaka uonekane mshirikina na unaua ndugu zako uwe na pesa au tajiri kuliko ndugu zako wote au jamii inayokuzunguka. Na ukitaka uonekane mchawi basi uwe mzee kuliko wengine na macho mekundu. Fikra potofu na ovu
 
Acha mambo ya KIKUMAH dogo...hizi ni kashfa ambazo hazina sababu, unwezaje kumzushia mtu kashfa nzito hizi ,unamjua?
Je kila tajiri unajua alikopata pesa zake,
Wewe unaonekana ni maskini wa kutupwa na zaidi una chuki sana na wakinga una ukabila wa kikumah, na unachukia watu wenye hela..
Huwez kufanikiwa maisha kama una chuki na waliofanikiwa, kila aliefanikiwa kwako ni mchawi, basi kwa taarifa yako we kumah, mchawi ni yule anaychukia na kukashifu makabila na mafanikio ya wengine, acha mambi ya kikumah..kama unaona rahisi na ndicho wanachofanya, na wewe kamweke mama ako yule maskini kwenye chumba
Ignorance at highest level. [emoji706][emoji706][emoji706] Rubbish in rubbish pit!
Mkuu najua umekerwa ila tujibu hoja bila matusi itafaa sana
 
Haya yote umeambiwa, umesimuliwa na hujawahi kuona kwa macho yako.
Umri mkubwa lakini uwezo wa kufikiri ni mdogo.

Nyie ndio mnatapeliwa na waganga wa kienyeji, hakuna pesa zinapatikana hivyo hizo ni stori za kutengeneza ili kufurahisha genge na kujipa moyo.
Huyu kasimuliwa hana uhakika, kwann na yeye asijaribu au yy anapenda kuteseka??
Maskini tuna shida sana hata waarabu pamoja na kumiliki visima vya mafuta lakini bado tunawashutumu nao wachawi wanaweka mandondocha watoto wao, hao kina Elon tunajifariji ni Freemason au Illuminat ili mradi tujipe faraja tushindwe kufanya kazi.!!
Ni uvivu umetujaa na chuki
 
Acha mambo ya KIKUMAH dogo...hizi ni kashfa ambazo hazina sababu, unwezaje kumzushia mtu kashfa nzito hizi ,unamjua?
Je kila tajiri unajua alikopata pesa zake,
Wewe unaonekana ni maskini wa kutupwa na zaidi una chuki sana na wakinga una ukabila wa kikumah, na unachukia watu wenye hela..
Huwez kufanikiwa maisha kama una chuki na waliofanikiwa, kila aliefanikiwa kwako ni mchawi, basi kwa taarifa yako we kumah, mchawi ni yule anaychukia na kukashifu makabila na mafanikio ya wengine, acha mambi ya kikumah..kama unaona rahisi na ndicho wanachofanya, na wewe kamweke mama ako yule maskini kwenye chumba
Ignorance at highest level. [emoji706][emoji706][emoji706] Rubbish in rubbish pit!
Japo umetumia lugha ngumu kufikisha ujumbe ila Igweeeeeeeeeee 🙏
Ukabila utamuua, atuache kinga’s
 
Mwenye story ya yule tajiri wa miaka Ile ya 1990+ alikua na mabasi COMFORT VIDEO COACH (CVC) hotel lodge Shel pale mlima kitonga.achana na majumba pale iringa na kwingineko inasemekana pesa zake zilikua za hivyohivyo,👹👺👹👺mwenye story kamili atujuze
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    42.4 KB · Views: 12
Matajiri wa nyanda za juu ni Wakinga kutoka Makete mkoa wa Njombe. Utajiri wao ni mateso tu. Wanaishi maisha duni kuliko mtu asiye na mali. Sasa huo utajiri wa masharti nani atautamani?

Pili kufika hapo lazima utor kafara ya kuua mtu wako wa karibu hasa mama yako, mdogo wako. Halafu mali haihamii kizazi cha pili. Tajiri mkinga akifa na mali inakufa.

Unakuta tajiri ana gorofa lakini yeye analala kwenye stoo ya mizigo. Au anavaa malapa. Mara nyingine unakuta kuna chumba anaingia peke yake hata mkewe na watoto hawaruhusiwi. Ukifosi kuingia unakutana na mama yake kamfanya msukule.

Achana na wakinga, hawana utajiri wowote zaidi ya mateso
Watu wanaishi dingii acha stori za vijiweni
 
Nimejaribu kujiuliza ni kwanini mautajiri ya watu wa nyanda za juu kusini si utajiri unao sisimua au kuvutia watu wengi tofauti na ule utajiri wa watu kama bakhresa, mengi, ndesamburo, nadhani kinachochefua watu ni ile dhana ya mautajiri ya kichawi na siyo utajiri wa kisomi!
walio wengi wanapenda biashara za mizimu
Mdani ya miaka 2 tajiri bilionea,ni mwe do wa kafara tu na hizi biashara hazidumu muda mrefu ukikosea sharti kidogo
 
Back
Top Bottom