Kwanini utajiri wa watu wa Nyanda za juu Kusini, huwa hauchechemui watu?

Kwanini utajiri wa watu wa Nyanda za juu Kusini, huwa hauchechemui watu?

Nimejaribu kujiuliza ni kwanini mautajiri ya watu wa nyanda za juu kusini si utajiri unao sisimua au kuvutia watu wengi tofauti na ule utajiri wa watu kama bakhresa, mengi, ndesamburo, nadhani kinachochefua watu ni ile dhana ya mautajiri ya kichawi na siyo utajiri wa kisomi!
Speaking of this bhana kuna sehemu naifanyia uchunguzi findings zangu zikikamilika ntakuj na majibu humu. Ni person mmoja wa huko nyanda za juu kusini
 
Nimejaribu kujiuliza ni kwanini mautajiri ya watu wa nyanda za juu kusini si utajiri unao sisimua au kuvutia watu wengi tofauti na ule utajiri wa watu kama bakhresa, mengi, ndesamburo, nadhani kinachochefua watu ni ile dhana ya mautajiri ya kichawi na siyo utajiri wa kisomi!
Sikubaliani na Habari za uchawi Nadhani ni utajiri usiona formula informal unaotokana na kilimo Cha miti ya mbao

Ni kweli ukifanya kazi na mkinga kukulipa consultancy fees inayostahili ni ngumu

Kuna mkinga nilimfanyia consultancy flan nikampa invoice ya 21 million alinishangaa NAMI nikamshangaa ilikuwaje akaja mjini na kupata utajiri mkubwa
 
Sikubaliani na Habari za uchawi Nadhani ni utajiri usiona formula informal unaotokana na kilimo Cha miti ya mbao

Ni kweli ukifanya kazi na mkinga kukulipa consultancy fees inayostahili ni ngumu

Kuna mkinga nilimfanyia consultancy flan nikampa invoice ya 21 million alinishangaa NAMI nikamshangaa ilikuwaje akaja mjini na kupata utajiri mkubwa
Lazima akushangae. Auze miti ya mbao aliyorithi toka babu yake halafu umdai 21M kwa kuongea na kuandika tu hawezi kukuelewa. Haya mambo yanahitaji elimu
 
Tangu lini utajiri wa ndagu ukavutia? Mtu kama Mengi tunajua na wengi wanamfuatilia hustle zake tangu kitambo, Bakhresa anauza migahawa tangu kitambo, same to ndesamburo, Mtei n.k Sasa huko nyanda za juu unashangaa ghafla kijana haeleweki anafanya shughuli gani, kutwa yupo mtandaoni anaonyesha magari, hafanyi kilimo, hachimbi dhahabu, hafanyi biashara inayoeleweka na kujulikana, maana hauwezi kuwa tajiri bila ukubwa wa kile unachokifanya kujulikana, mfano ukiwa mfanyabiashara tajiri utajulikana kupitia biashara yako, ukiwa tajiri mwanasiasa utajulikana shughuli yako, ukiwa tajiri mkulima mashamba na kutwa utakuwa uko shambani, maana mpaka upate utajiri sio lelemama.Sasa huko unakuta kijana hajulikani anafanya shughuli gani mara aunganishe watu jicho la tatu 😀 mara nguvu ya pesa 😀 kutwa kushinda tiktok, IG akipost utajiri usiojulikana chanzo.

NB' huko nyanda za juu ndipo wanapotokea wataalam wa NDAGU 100%
 
Exposure hawana Hawa ndugu zetu labda watabadilika kuendana na wakati na dunia
Exposure na pesa inahitaji elimu mkuu. Wapo walio na Exposure na bado wanataka ufanye kazi yao cheaply! Sembuse ambaye hana elimu? Si ndio atakuambia nyie ndio mnaoiba kwa kalamu?
 
Tangu lini utajiri wa ndagu ukavutia? Mtu kama Mengi tunajua na wengi wanamfuatilia hustle zake tangu kitambo, Bakhresa anauza migahawa tangu kitambo, same to ndesamburo, Mtei n.k Sasa huko nyanda za juu unashangaa ghafla kijana haeleweki anafanya shughuli gani, kutwa yupo mtandaoni anaonyesha magari, hafanyi kilimo, hachimbi dhahabu, hafanyi biashara inayoeleweka na kujulikana, maana hauwezi kuwa tajiri bila ukubwa wa kile unachokifanya kujulikana, mfano ukiwa mfanyabiashara tajiri utajulikana kupitia biashara yako, ukiwa tajiri mwanasiasa utajulikana shughuli yako, ukiwa tajiri mkulima mashamba na kutwa utakuwa uko shambani, maana mpaka upate utajiri sio lelemama.Sasa huko unakuta kijana hajulikani anafanya shughuli gani mara aunganishe watu jicho la tatu 😀 mara nguvu ya pesa 😀 kutwa kushinda tiktok, IG akipost utajiri usiojulikana chanzo.

NB' huko nyanda za juu ndipo wanapotokea wataalam wa NDAGU 100%
Tutajie matajiri kadhaa walioko kusini ambao utajiri wao haujulikani ulikotoka.

Hata wengi hamjafuatilia the story behind ya wale mnaowataja na kuwaamini kuwa walipata utajiri ulionyooka.
 
nakazia

eti kisa mtu tajiri halafu anavaa malapa basi ni mchawi, ubahili ni uchawi?

na ni lazima kila tajiri awe maarufu?

imani hizi ndo zinafanya watu kuwa mazuzu
Vibuyu dabo dabo

Tatizo hawana nidhamu na pesa, wakinga siku hizi wanasomesha watoto havard huko, yenyewe yapo kupiga mikelele humu hata bando lenyewe la kuokoteza.!!
Hii platform ingekuwa inatumia mb 50 kwa kila comment majinga mengi yangepungua.!!
 
Nitakuwa NASOMA bar braza...
Sema hapa nimeamka kidogooo niko ""Ovesiiii""

Halafu pale NASOMA kwa nje kuna mdada mweupe ana saluni, mtoto mtamu balaaaa.
Nikifika pale nitajifanya napita nje ya saluni yake ili anione, aniite, nimpigishe bia, tukumbushie ile yangu mimi na yeye..!!!

#YNWA
Oya kumbe uko Mbeya mi nipo hapa pia
 
Rudi kwenye post yangu uliyoijibu kasome kwa utulivu kuhusu ASAS, mshirikina kijana wewe

Lazima utetee kwa nguvu zote maboss wako ila huamini watu weusi wanaweza kuwa matajiri.

Kuamini uwepo wa ushirikina dunia ya leo ni uzwazwa wa kiwango cha juu.
 
Back
Top Bottom