Kwanini utajiri wa watu wa Nyanda za juu Kusini, huwa hauchechemui watu?

Hili ni tatizo kweli kweli lakini hatuwezi tu kuhitimisha kuwa sababu ni pesa za masharti. Sababu zinaweza kuwa ni tofauti kabisa na pengine kujengewa uelewa kutawabadilisha. Mbona Wakinga webgi sasa hivi wanadrive magari mazuri sana na kukaa majumba mazuri sana , watoto wao wanasoma sana tu. Ni suala la muda tu watapunguza huo mtizamo wao.
 

Watu wachawi balaa na hela zao za magumashi. Wanakula na wanaliwa
 
Ivi watu wa aina ya benjamin fernandez, jack ma, tunaweke kundi gan😆
 
Lazima utetee kwa nguvu zote maboss wako ila huamini watu weusi wanaweza kuwa matajiri.

Kuamini uwepo wa ushirikina dunia ya leo ni uzwazwa wa kiwango cha juu.
Matajiri weusi wanaofanya bila MAUZA UZA wapo kama Wachagga vile. Angalia Reginald Mengi alikufa mwaka 2019 kama sikosei lakini business empire yake hiyo inaendelea miaka 5 baadaye. Lakini siyo huo UTOPOLO wenu Wakinga
 
Exposure na pesa inahitaji elimu mkuu. Wapo walio na Exposure na bado wanataka ufanye kazi yao cheaply! Sembuse ambaye hana elimu? Si ndio atakuambia nyie ndio mnaoiba kwa kalamu?
Sawa lakini mbona wakienda kwa dk wanaacha maokoto kaunter kabla hajatibiea ni elimu tu wanakosa
 
Matajiri weusi wanaofanya bila MAUZA UZA wapo kama Wachagga vile. Angalia Reginald Mengi alikufa mwaka 2019 kama sikosei lakini business empire yake hiyo inaendelea miaka 5 baadaye. Lakini siyo huo UTOPOLO wenu Wakinga

Utajiri kwako ni nini? Isije kuwa unacompare oranges to apples.

Mkinga mwenye ghorofa moja aliyojenga kwa miaka 30 naye ni tajiri wa kumfananisha na Mengi aliyekuwa na viwanda kila kona? Nitajie viwanda vitatu vya wakinga?

Nyie msiokuwa washirikina biashara zenu mmemrithisha nani? Zipo wapi tuzione?
 
Kama unakataa nifuate dm nkupe mtu akupeleke Lindi na Njombe ukaoshwe utakate ni wewe tu kusema unataka huo wa Punje au wa kuoza taratibu
 
Mnamkumbuka tajiri wa Air Makete?!!!!!
 
Hawa ndio vijana wasomi tulionao yaaani ubahili wote wa wakinga na kuepuka starehe za kijinga hamuoni
 
Kuna mmoja huku Dom..ana duka kubwaaaa la urembo...ila sasa...mhh hata kama ni ubahili hapana aisee..yani tushindwe kuishi kisa masharti lol..bora nibaki nachangu cha halali...niishe kwa raha
 
Wakinga wana discipline ya matumizi ya pesa usidanganywe na story za mitaani. Wakinga wanachapa kazi sana. Kama pesa zao zinapatikana kwa ushirikina basi Makete nzima wangekuwa matajiri.
Unaishi Tanzania hii hii?
 
Kwanini mlogane, kwanini msiwaloge CCM wananchi tukawe ma -don?
 
Umewahi kwenda kwa waganga wa kienyeji kama watatu hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…