meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,353
- 2,924
Swali gumu sana hili mkuu mie nilijibu walichouliza tu mkuu hata Kama sikijui natunga tu juu kwa juu mkuuBased na wew ulivofanya unadhan nn kimekubeba zaid confidence au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali gumu sana hili mkuu mie nilijibu walichouliza tu mkuu hata Kama sikijui natunga tu juu kwa juu mkuuBased na wew ulivofanya unadhan nn kimekubeba zaid confidence au
😂😂😂😂HahhhhhAcha tu mkuu ninawakanda ipasavyo🤣🤣 situation niliyonayo ni kua nikikandwa ni Kama nimewakanda na nikiwakanda nimewakanda tu
Ahahaha Amna shda kakaSwali gumu sana hili mkuu mie nilijibu walichouliza tu mkuu hata Kama sikijui natunga tu juu kwa juu mkuu
😂😂😂😂Sema ningesomaga mambo ya business panelists wangenikoma sasa shida kwenye kada yangu ni ngumu kudanganya lakini sijawahi kukubali kuwa sijui Bora hata nikudanganye yaniSwali gumu sana hili mkuu mie nilijibu walichouliza tu mkuu hata Kama sikijui natunga tu juu kwa juu mkuu
Umesoma kada gani😂😂😂😂Sema ningesomaga mambo ya business panelists wangenikoma sasa shida kwenye kada yangu ni ngumu kudanganya lakini sijawahi kukubali kuwa sijui Bora hata nikudanganye yani
IT mkuuUmesema kada gani
Sema utumishi ukipata nafasi yakuwakanda wakande kweli kweli yani mpaka washangaeAcha tu mkuu ninawakanda ipasavyo🤣🤣 situation niliyonayo ni kua nikikandwa ni Kama nimewakanda na nikiwakanda nimewakanda tu
Hahahha mkuu wale jamaa acha tu wanajua kukanda sana heeee ukijichanganya unakutana na mark 16 huko mkianiSema utumishi ukipata nafasi yakuwakanda wakande kweli kweli yani mpaka washangae
Uliomba za juz egaIT mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie nishitwa kazini mkuu ila Bado utaratibu haujakamilika pia Bado nasubr majibu Ya IAE Nilipiga interview pia nasubiri mkeka wa ASA kwenda interview [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pia nasubiri mkeka Wa TRA Yan kifupi utumishi wamedandia mtumbi wa vibengo mkuu[emoji1787]
Umejibu swali sio lako[emoji3][emoji3][emoji3]IT mkuu
Nishachanganyikiwa mkuu 🤣🤣Umejibu swali sio lako[emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂Ukijichanganya utumishi wanakushangaza yani mpka unajiuliza hizi ni marks zangu kweli au??Hahahha mkuu wale jamaa acha tu wanajua kukanda sana heeee ukijichanganya unakutana na mark 16 huko mkiani
Oral zote utapangiwa placement then utachagua wewe uende wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo hii PSRS wadandia mtumbwi wetu.
Naomba kuuliza kwa yeyote anayefahamu:
Eti ukipiga oral kadhaa halafu kati ya hizo oral ukawa umefaulu baadhi ya oral(hapa panel pekee ndio wanaojua), kwenye placement watakupangia nafasi moja tu? au wanaweza kukupangia nafasi zaidi ya moja halafu baadae utachagua mwenye pa kwenda kuripoti?
Aliyewahi kuexperience hiki kitu atupatie muongozo maana hapa tunabet hata kama mtu ushafanya oral, utaendelea kufanya oral zaidi endapo tu kama bado hujapata nafasi(ukiwa bado unasubiri placements)
Utumishi unatkiwa usome mzee ukienda kichwa kichwa utakandwa kisw sw mpk ujione kama hujaenda shule 🤣🤣😂😂😂😂Ukijichanganya utumishi wanakushangaza yani mpka unajiuliza hizi ni marks zangu kweli au??
Noma hawa jamaaa😂😂😂😂Ukijichanganya utumishi wanakushangaza yani mpka unajiuliza hizi ni marks zangu kweli au??
😂😂😂😂Tena sio kusoma ile zima Moto nikusoma haswaUtumishi unatkiwa usome mzee ukienda kichwa kichwa utakandwa kisw sw mpk ujione kama hujaenda shule 🤣🤣
Za sasahivi ndugu….matokeo ya chuo kipi yametoka maana mi niko nasubiria ya ifmYametoka nimekandwa mkuu
IFM yatatolewa na utumishi mzee cool down...yaliyotoka ni ya duce walioendesha mchakto wao wenyeweZa sasahivi ndugu….matokeo ya chuo kipi yametoka maana mi niko nasubiria ya ifm
Sawa sawa nduguIFM yatatolewa na utumishi mzee cool down...yaliyotoka ni ya duce walioendesha mchakto wao wenyewe