Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,340
Zile post za technician mzee hukuotea TRA naona waliita krbu 50 km sjasahauNoma hawa jamaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile post za technician mzee hukuotea TRA naona waliita krbu 50 km sjasahauNoma hawa jamaaa
Sikua nimepiga vyeti mhuri wa mwanasheria so ikala kwanguZile post za technician mzee hukuotea TRA naona waliita krbu 50 km sjasahau
Ahaa duh pole sn ilikua bonge la chnce nfs 50 nyingi snaSikua nimepiga vyeti mhuri wa mwanasheria so ikala kwangu
Kikubwa ushawakanda PSRS[emoji3][emoji3]Nishachanganyikiwa mkuu [emoji1787][emoji1787]
Zilikua nyingi 30 Kama sikosei wakaingia oral watu kama 50 na kitu wote wakachukuliwaAhaa duh pole sn ilikua bonge la chnce nfs 50 nyingi sna
Si itakuwa kuziba nafasi bure, sasa ile itakayoachwa wataijaza lini, utakuwa ni upotezaji wa muda pia.Oral zote utapangiwa placement then utachagua wewe uende wapi
Hata mie hii ndo nzuri ukipangiwa sehemu moja inakua poa huzibi nafasi za wengine pia inakutolea mawazo ya kuwaza sijui niende Huku au Huku.Si itakuwa kuziba nafasi bure, sasa ile itakayoachwa wataijaza lini, utakuwa ni upotezaji wa muda pia.
Mimi naona wakupangie sehemu moja uliyowakanda zaidi, zingine uwaachie wengine
Huwa wanatoa siku nadhani 30 kama hujaenda kuchukua barua nakupeleka ofisi uliyopangiwa nafasi hutangazwa tena au kama watu wengine wapo database wanachukuliwa haoSi itakuwa kuziba nafasi bure, sasa ile itakayoachwa wataijaza lini, utakuwa ni upotezaji wa muda pia.
Mimi naona wakupangie sehemu moja uliyowakanda zaidi, zingine uwaachie wengine kwa sababu kama umefanya usahili nafasi hizo zote ina maana kuwa uko interested na ukipangiwa yeyote utaenda
Kama hujachukua barua na Wana address Yako mkuu wanakutumia tu labda kama hujalipotiHuwa wanatoa siku nadhani 30 kama hujaenda kuchukua barua nakupeleka ofisi uliyopangiwa nafasi hutangazwa tena au kama watu wengine wapo database wanachukuliwa hao
DUCE mkuuZa sasahivi ndugu….matokeo ya chuo kipi yametoka maana mi niko nasubiria ya ifm
Ndio watakutumia lakini kwa muajiri wako itakuwa haijafika kwahiyo ndani ya siku hizo 30 watachagua wengine au kutangaza tena nafasiKama hujachukua barua na Wana address Yako mkuu wanakutumia tu labda kama hujalipoti
Uzuri waliwachukua zaidi ya 5 kama 9 hvi that was goodPost ilitaka watu 5 ila oral tulikua kama 30
HAPANA SIO KWELI UKIWA NA MASTERS UKIOMBA YA DEGREE INAKUBALIHata kwenye masters mfumo upo hivyo. Huwezi kuomba kazi inayotaka first degree ukiwa na masters. Labda hiyo master iwe listed kama additional advantage.
😃😃😃 inatakiwa ujiandae aswaaUtumishi unatkiwa usome mzee ukienda kichwa kichwa utakandwa kisw sw mpk ujione kama hujaenda shule 🤣🤣
Kumbe inawezekana wakachukua wengi wakati mwingineUzuri waliwachukua zaidi ya 5 kama 9 hvi that was good
Hii pia inatokeaga kwahyo inwezekana utumishi wakatangaza nafas mbili uku nyuma ya pazia zipo nafas nying?Uzuri waliwachukua zaidi ya 5 kama 9 hvi that was good
Kada za veta imetokea hviyoKumbe inawezekana wakachukua wengi wakati mwingine
Labda maaana ipo sana hiiHii pia inatokeaga kwahyo inwezekana utumishi wakatangaza nafas mbili uku nyuma ya pazia zipo nafas nying?
Naomba Mungu namm itokee hvo namimi nipate maana nafas zetu zilikua 2 tuLabda maaana ipo sana hii
Wanakosesha watu nafasi bure kabisa kwa mtindo huo. Mtu apangiwe nafasi 1 aliyofanya vizuri zaidi, zingine wapewe wengine waliofaulu piaHuwa wanatoa siku nadhani 30 kama hujaenda kuchukua barua nakupeleka ofisi uliyopangiwa nafasi hutangazwa tena au kama watu wengine wapo database wanachukuliwa hao