Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimekwishamalizana nae mkuu,wala simjibu kitu tena.wazee kausheni basi yameshapita tusubiri maamuzi ya utumishi basi haina mpango kujibizana
Huyo jamaa Hana point,, sema najaribu kumpa makavu.. Obviously nimeomba kazi UDSM Ila sio hizi za TA/LA/L. Ila nashangaa kashikilia kuwa mara nimeachwa kutokuita mara sijui UDSM wanaitana wenyewe kwa wenyewe..
Hata kama siko miongoni,lakini ni ujinga kuwatukana watu usiowajua humu eti kisa wako against na wewe.Je,, wewe ni Miongoni mwa mafala ..?
Siwezi kuzozana na vijana mkuu.Wewe nae nakuona una matatizo na una overreact kwa issue ndogo ndogo sana.
Na sio kila kitu ni cha kujibu humu jf,vingine viangaliage tu uachane navyo.huyo mwenzio sijui kyagata mliyekua mnazozana keshaamua yaishe.wewe bado unajibishana na watu kwa issue ndogo ndogo.huyo Perry nae mtaanza kuzinguana muda si mrefu.
Principle moja ya jf humu ni kujifunza kukaa kimya tu,ukijifanya much know utapakimbia mwenyewe.
Swadaktah,,, basi nikwambie kitu kimoja mkuu.. yaan Huwa natype nikiwa normal kabisa Wala sija- Overreact kama unavyosema. Ila kwa kweli siwezi kuwa mvivu kwa mtu anayekuja kunicharura bila hoja ya msingi.. na Kusema kweli mda wa kufanya majadiliano nae ninao sana,, Inawezekana hii ndo Ikiwa weakness yangu na Wala sio Umuch Know.. Uhalisia siwezi kukimbia mtu JF kwa issues kama hizo labda tukimbiane.Wewe nae nakuona una matatizo na una overreact kwa issue ndogo ndogo sana.
Na sio kila kitu ni cha kujibu humu jf,vingine viangaliage tu uachane navyo.huyo mwenzio sijui kyagata mliyekua mnazozana keshaamua yaishe.wewe bado unajibishana na watu kwa issue ndogo ndogo.huyo Perry nae mtaanza kuzinguana muda si mrefu.
Principle moja ya jf humu ni kujifunza kukaa kimya tu,ukijifanya much know utapakimbia mwenyewe.
Daahh, sijui tatizo liko wapi.Jobless sikua na MB Toka Jumapili nimepata bando now Uzi unakimbia kweli aiseee sema nimesoma page kumi zote Kifupi ni kwamba process ya kutangaza kazi, then shortlist itoke, then placement, then kulipoti ,then usubiri upigiwe simu kupangiwa kituo cha kazi inachukua mda sana wazee afu kitu kingine ambao hamjui mfano siku nimeenda chukua barua barua tarehe yake imetoka mwezi wa nane huko wanakuita kuchukua barua baada wa mwezi na siku kama kumi fikiria wanakuita kuchukua barua tarehe 29 barua imetoka tarehe 12 mwezi wa nane
Yangu ni hayo tu mkuu.Swadaktah,,, basi nikwambie kitu kimoja mkuu.. yaan Huwa natype nikiwa normal kabisa Wala sija- Overreact kama unavyosema. Ila kwa kweli siwezi kuwa mvivu kwa mtu anayekuja kunicharura bila hoja ya msingi.. na Kusema kweli mda wa kufanya majadiliano nae ninao sana,, Inawezekana hii ndo Ikiwa weakness yangu na Wala sio Umuch Know.. Uhalisia siwezi kukimbia mtu JF kwa issues kama hizo labda tukimbiane
Anza kupiga tizi la NAOT mkuu.Hongereni wote mliopata nafasi ya mrija wa Asali.
Haya tumepata kaplacement cha kuzugia mwezi huu, zingine zinaweza kuja mwezi ujao.
PSRS kazeni buti, mnatukanda bila huruma, mtucheleweshee na placements!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja nile kwanza ndo nikazifungue sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha.dah..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeicheki nina imani haupo, maana imejaa Madereva, Social welfare, Record Assistants na Watu wa TARI
Watu wa social wamekula bingo la ukwel safr hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeicheki nina imani haupo, maana imejaa Madereva, Social welfare, Record Assistants na Watu wa TARI
🙏🙏🙏Yangu ni hayo tu mkuu.
All the best
Mkuu Mwifwa unanipiga like Hadi najiogopa🤓🤓🤓 Hali ya kuwa nilikuwa napambania status yangu.. maana mtu kama 3 zilikuwa zinanipambania.. Duuuuh maisha haya.. nisijikute napiga zogo na Babu zangu hapa walahi..Daahh, sijui tatizo liko wapi.
Oral za mwezi wa 9 tutegemee mikeka yake February mwakani
Niko standby aisee ila majina yakitoka na nikiwemo, oblongata itafunguka ipasavyo sio kama sasaAnza kupiga tizi la NAOT mkuu.
😂😂😂😂Ngoja nikalime sasa kama hii ya leo ni interview za june hiyo September wataifikia leo kweli??Daahh, sijui tatizo liko wapi.
Oral za mwezi wa 9 tutegemee mikeka yake February mwakani
Kweli mkuu, mkeka uliopita walikuwemo wengi na huu pia wapoWatu w
Watu wa social wamekula bingo la ukwel safr hii