Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Oya wadau Yakunle na kyagata , potezeaneni wakuu Haina issue kurumbana sisi wote ni wamoja plus hata sababu inayofanya kurumbana hapo Haina mashiko, let's be cool wadau✌️
Huyo jamaa Hana point,, sema najaribu kumpa makavu.. Obviously nimeomba kazi UDSM Ila sio hizi za TA/LA/L. Ila nashangaa kashikilia kuwa mara nimeachwa kutokuita mara sijui UDSM wanaitana wenyewe kwa wenyewe..
Honestly sijawahi kuomba kazi yoyote ya Kufundisha tena kwenye chuo chochote. Post yangu naifahamu mwenyewe.
 
Wewe nae nakuona una matatizo na una overreact kwa issue ndogo ndogo sana.
Na sio kila kitu ni cha kujibu humu jf,vingine viangaliage tu uachane navyo.huyo mwenzio sijui kyagata mliyekua mnazozana keshaamua yaishe.wewe bado unajibishana na watu kwa issue ndogo ndogo.huyo Perry nae mtaanza kuzinguana muda si mrefu.
Principle moja ya jf humu ni kujifunza kukaa kimya tu,ukijifanya much know utapakimbia mwenyewe.
Siwezi kuzozana na vijana mkuu.
 
Wewe nae nakuona una matatizo na una overreact kwa issue ndogo ndogo sana.
Na sio kila kitu ni cha kujibu humu jf,vingine viangaliage tu uachane navyo.huyo mwenzio sijui kyagata mliyekua mnazozana keshaamua yaishe.wewe bado unajibishana na watu kwa issue ndogo ndogo.huyo Perry nae mtaanza kuzinguana muda si mrefu.
Principle moja ya jf humu ni kujifunza kukaa kimya tu,ukijifanya much know utapakimbia mwenyewe.
Swadaktah,,, basi nikwambie kitu kimoja mkuu.. yaan Huwa natype nikiwa normal kabisa Wala sija- Overreact kama unavyosema. Ila kwa kweli siwezi kuwa mvivu kwa mtu anayekuja kunicharura bila hoja ya msingi.. na Kusema kweli mda wa kufanya majadiliano nae ninao sana,, Inawezekana hii ndo Ikiwa weakness yangu na Wala sio Umuch Know.. Uhalisia siwezi kukimbia mtu JF kwa issues kama hizo labda tukimbiane.
Huyo kyagata nilishamuona nae katreat na kasurrender na Wala sikumquote comments yake ya mwsho Ila huyo au wewe pia umeingilia na lazima nikujibu/niwajibu.. Inawezekana mmenogewa na mnahitaji paendelee palipoishia
 
Jobless sikua na MB Toka Jumapili nimepata bando now Uzi unakimbia kweli aiseee sema nimesoma page kumi zote Kifupi ni kwamba process ya kutangaza kazi, then shortlist itoke, then placement, then kulipoti ,then usubiri upigiwe simu kupangiwa kituo cha kazi inachukua mda sana wazee afu kitu kingine ambao hamjui mfano siku nimeenda chukua barua barua tarehe yake imetoka mwezi wa nane huko wanakuita kuchukua barua baada wa mwezi na siku kama kumi fikiria wanakuita kuchukua barua tarehe 29 barua imetoka tarehe 12 mwezi wa nane
Daahh, sijui tatizo liko wapi.

Oral za mwezi wa 9 tutegemee mikeka yake February mwakani
 
Swadaktah,,, basi nikwambie kitu kimoja mkuu.. yaan Huwa natype nikiwa normal kabisa Wala sija- Overreact kama unavyosema. Ila kwa kweli siwezi kuwa mvivu kwa mtu anayekuja kunicharura bila hoja ya msingi.. na Kusema kweli mda wa kufanya majadiliano nae ninao sana,, Inawezekana hii ndo Ikiwa weakness yangu na Wala sio Umuch Know.. Uhalisia siwezi kukimbia mtu JF kwa issues kama hizo labda tukimbiane
Yangu ni hayo tu mkuu.
All the best
 
Hongereni wote mliopata nafasi ya mrija wa Asali.

Haya tumepata kaplacement cha kuzugia mwezi huu, zingine zinaweza kuja mwezi ujao.

PSRS kazeni buti, mnatukanda bila huruma, mtucheleweshee na placements!!
 
Hongereni wote mliopata nafasi ya mrija wa Asali.

Haya tumepata kaplacement cha kuzugia mwezi huu, zingine zinaweza kuja mwezi ujao.

PSRS kazeni buti, mnatukanda bila huruma, mtucheleweshee na placements!!
Anza kupiga tizi la NAOT mkuu.
 
Ngoja nile kwanza ndo nikazifungue sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimeicheki nina imani haupo, maana imejaa Madereva, Social welfare, Record Assistants na Watu wa TARI
 
Daahh, sijui tatizo liko wapi.

Oral za mwezi wa 9 tutegemee mikeka yake February mwakani
Mkuu Mwifwa unanipiga like Hadi najiogopa🤓🤓🤓 Hali ya kuwa nilikuwa napambania status yangu.. maana mtu kama 3 zilikuwa zinanipambania.. Duuuuh maisha haya.. nisijikute napiga zogo na Babu zangu hapa walahi..
Ila hawa nao Mababu sijui wanafuata nini Huku jukwaa za vijna.
Ukhorophy huu 😁😁
 
Back
Top Bottom