[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikalime sasa kama hii ya leo ni interview za june hiyo September wataifikia leo kweli??
πππππHahhhh mkuu sipo pale naona ningesomaga hata sociology tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeicheki nina imani haupo, maana imejaa Madereva, Social welfare, Record Assistants na Watu wa TARI
Jobless mnapataje nguvu ya kuwa na makasiriko mkiangusha nyanya za watu mna ela ya kulipa?Ndo maana Sina time nawe na hata mawazo yako kwakuwa ni mkurupukaji na hueliwi nini mtu anasema.. Ingelikuwa muelewa nadhan ungekuwa umefahamu ni nafasi zipi au mikeka ipi Nazungumzia.
Be patient kijana, maisha hayahitaji kisirani.
always najua ni kitu gani nafanya na Wala sibabaishwi na mtu.
Over
ππππUnalima na unavuna placement inakuwa bado tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli unaweza kulima mahindi na ukavuna, placement ikiwa bado imefungiwa kabatini
Lazima uwemo mkuu,hawana sababu ya kukukata.Niko standby aisee ila majina yakitoka na nikiwemo, oblongata itafunguka ipasavyo sio kama sasa
Dah mbona umenikata mood ase kote ukoDaahh, sijui tatizo liko wapi.
Oral za mwezi wa 9 tutegemee mikeka yake February mwakani
πππππHahhhhh jobless wanahasira sana mkuu wanaweza kukupiga hahhhhJobless mnapataje nguvu ya kuwa na makasiriko mkiangusha nyanya za watu mna ela ya kulipa?
Hivi hawa interview zao walifanya lini?Kweli mkuu, mkeka uliopita walikuwemo wengi na huu pia wapo
Ulichokiandika hapa ni pumba zisizomithilika.Pole kwa kutokuitwa.pale huwa wana culture yao ambayo huwezi kuwabadilisha.
Huko vyuo vingine wanapigishwa written kwanza lakini hawa wenyewe direct wanaanza na oral.nadhani umeona tofauti iliyopo.mwenye kisirani ni wewe unaeita watu mafala kisa wanakuambia ukweli.
Nikutakie kila la heri katika mapambano yako.
πππππHaiwezi kuvuka mwaka huu mzee tuombe ije kwa heri tuDah mbona umenikata mood ase kote uko
Nimechagua kukupuuzaUlichokiandika hapa ni pumba zisizomithilika.
Wengine wanatafta sababu ya kucommit suicide aje aandike wosia kua alitukanwa jf kuwen makinππππππππππHahhhhh jobless wanahasira sana mkuu wanaweza kukupiga hahhhh
Yeah ata kama ni mwakan cha msing tuwemoπππππHaiwezi kuvuka mwaka huu mzee tuombe ije kwa heri tu
hahhhhhππππanakanyaga nyanya za watu halafu akajinyonge hahhhhWengine wanatafta sababu ya kucommit suicide aje aandike wosia kua alitukanwa jf kuwen makinπππππ
Hilo ndo la msingi tuYeah ata kama ni mwakan cha msing tuwemo
πππππWanaweza wasizitoe kabisa hahhhhYan usaili wa June ,placement inatoka Leo sijui wa September placement ztatoka lini?
Sema ukiwaweka sawa unaonekana ni muchKnow.. Ila ukweli usiopingika kuwa tuna vijnawenzetu wengi humu mawazo Yao ni mgando.. So tunazidiana kimitizamo.. So tukiwekana sawa tusinununiane wakuu ndo maishaUlichokiandika hapa ni pumba zisizomithilika.
Mkuu Perry naona umekuja kwenye uzi huu, tupe abc za kutoboa UTUMISHI maana nakumbuka sana hustle zakoHata kama siko miongoni,lakini ni ujinga kuwatukana watu usiowajua humu eti kisa wako against na wewe.
Wote job seekers halafu mnaleteana mbwembwe za kishamba.